Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??

Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??

Ilikuwa mwezi wa kumi na moja,nikiwa siku mbili nyumbani nilipoenda kwenye send off ya binamu yangu Vai! Kwa kuwa nilifika siku moja kabla ikabidi nipoteze muda kusabahi wawili watatu mjini kwa kuwa ni muda sasa nilikuwa mbali na mkoa wangu wa nyumbani...

Nafika stend nakuta mini bus ikiwa wazi nafasi tatu,moja mbele nyingine back bench,nikaopt kukaa nyuma..hamadi namwona binti mmoja mzuuuuur anavuka kuja upande wa gari letu,daa nikawa nasali kimoyo moye awe anasafiri route yangu,na kweli alikuja akaja seat ya nyuma,kanipa hi matata huku vishimo vikijichora mashavuni...moyo ukaruka kichura chura!

Tukaendelea na story mbili tatu na baada ya mwendo wa almost 20 km nikaomba no of which tulibadilishana...ilikuwa hivyo...since there acheni kabisa! Tunapendana....
 
cc Ntuzu Mlaleo Nicholas Nyenyere na padri mwenye kutapeli watu MaxShimba

HALAFU NIKUKUTE UNATANGAZA DINI TENA!! Ntakuwekea huu uchafu wote wenzako wakuone,

Mchafuzi wa jamii we!!​

Wacha kuni tag ovyo... sitangazi dini mimi... JF nakuja elimika... usiharibu thread za watu kwa kuweka udini wako... kwasababu unapenda ligi za dini hivyo unataka na wenzio waanze ku quote thread za waislam na kuwadhihaki.... hatuhukumu humu kila mtu yupo free... sio kama nyinyi mlimtaka kumtenga Diamond platinum Naseeb kwa sababu ya Bongo flava zake... Ya Mungu mpe Mungu na Kaisari mpe kaisari....
 
Wacha kuni tag ovyo... sitangazi dini mimi... JF nakuja elimika... usiharibu thread za watu kwa kuweka udini wako... kwasababu unapenda ligi za dini hivyo unataka na wenzio waanze ku quote thread za waislam na kuwadhihaki.... hatuhukumu humu kila mtu yupo free... sio kama nyinyi mlimtaka kumtenga Diamond platinum Naseeb kwa sababu ya Bongo flava zake... Ya Mungu mpe Mungu na Kaisari mpe kaisari....

Nashkuru kwa kuonyesha namna wasabato walivyo.
Wala mimi sijaleta udini sehemu yyt.
Hapa nilijaribu kukuonyesha wewe unaejiita MchaMungu uje umuone MchaMungu mwenzako kitu anachofanya.
Lkn sikutegemea kuwa mnaruhusiwa kutangaza Ngono na Neno la Mungu kwa wakati mmoja!

Yaani mchana mnakuwa wachungaji. Usiku mnafanya ya Kaisari.
Haya ! Yetu macho.
Manake Yesu ndio alifundisha hayo unayosema wewe!
Watu wenye sura mbili ni wabaya kuliko nyoka.
 

  • JF Senior Expert MemberArray


    Join Date : 17th April 2011
    Location : Mwanza
    Posts : 14,361
    Rep Power : 1182295
    Likes Received5630
    Likes Given5723


    [h=2]
    icon1.png
    Re: Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??[/h]

    quote_icon.png
    By Asprin
    Mwalimu endelea kuniombea nisijeingia kwenye mtego wa huyu dogo. shetani alale pema motoni.



    images

    Babu hebu tukumbushe the first day ya hii makitu aiseeee!!!!!!!!!!!​



    "We have people making definite judgements and proclaiming certanties about the nature of life and creation when we can't even see 99.5% of our own universe!"

    Send PM

  • user-online.png
    Eiye


    JF Senior Expert MemberArray


    Join Date : 17th April 2011
    Location : Mwanza
    Posts : 14,361
    Rep Power : 1182295
    Likes Received5630
    Likes Given5723


    [h=2]
    icon1.png
    Re: Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??[/h]

    quote_icon.png
    By jullysexy
    Duuu mimi nilikua natembea kuelekea home nikapande daladala jamaa alikua na gari ananiita flani mi nilimcheki kwa jicho baya nikajisemea kirohon.
    Watu wengn bwana wakiazima magari ni shida tupu. Niko kweny daladala kumbe na yeye alishuka kweny gari lake kanifata kwny daladala niliposhuka na yy akashuka oooh my god
    .....jamaa akaanz mambo unaenda wap nikamwambia bado tu unanifata fata kaniambia naomba namba yko ya simu nikamjibu sina tulipelekana hadi mtaa ya home. Akaniabdikia namba yke kweny karatas .mi sikumzingatia hata .wiki mbili zilipita ndo nikamtafuta
    ..............kwel tumetoka mbali mimi na g wangu mpk sasa naitwa mama lov u hubby



    Siku ya mtoko wa kwanza ilikuwaje bibie??​

    quote_icon.png
    By Eiyer
    Babu hiyo inakufaaa....

    images



    Hebu jipongezeni bana

    images

    Unaikumbuka siku hii ya kwanza??
    Ulijisikiaje??


    user-online.png
    Eiyer

    Yesterday 16:38

    JF Senior Expert MemberArray


    Join Date : 17th April 2011
    Location : Mwanza
    Posts : 14,361
    Rep Power : 1182295
    Likes Received5630
    Likes Given5724


    [h=2]
    icon1.png
    Re: Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??[/h]

    quote_icon.png
    By snowhite
    ahahahag labda kwa picha picha kama hiv
    mi siku ya kwanza nilitema mate njia nzima af nilivofika home nkapiga mswaki.lolest
    mi staki jamani!!



    Je mlifika huku?
    JF Senior Expert MemberArray


    Join Date : 17th April 2011
    Location : Mwanza
    Posts : 14,361
    Rep Power : 1182295
    Likes Received5630
    Likes Given5725


    [h=2]
    icon1.png
    Re: Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??[/h]

    By pooh
    nilijiskia faraja kwa kweli na niliamini huyo ndio mume mungu kaniletea...



    Tueleze mtoko wa kwanza basi ulikuwaje na ulijisikiaje??​



    images



    user-online.png
    Eiyer

    Yesterday 17:05
    JF Senior Expert MemberArray


    Join Date : 17th April 2011
    Location : Mwanza
    Posts : 14,361
    Rep Power : 1182295
    Likes Received5630
    Likes Given5725


    [h=2]
    icon1.png
    Re: Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??[/h]

    By snowhite
    Ahahahaha mine is a million dollar storie!!
    Si unaona mwanxo wake!??
    Ngoja nkapige kwanza puffs zangu kadhaa af naja.



    Nakusubiri ........!!!!!!!!!!!
    Naona umepata mzuka wa hii..

    user-online.png
    Eiyer

    Yesterday 17:24

    JF Senior Expert MemberArray


    Join Date : 17th April 2011
    Location : Mwanza
    Posts : 14,361
    Rep Power : 1182295
    Likes Received5630
    Likes Given5725


    [h=2]
    icon1.png
    Re: Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??[/h]

    By snowhite
    Ngoja niende kisamare samare
    siku ya kwanza ya kukiss -nilitema mate na mswaki juu
    siku ya kwanza kutoka out niliporud home nilibambwa nasoma kadi nkachezea sana kichapo
    siku ya kwanza nilipomuona nilikosea wimbo niliokuwa naimba basi zima wakanicheka tulikuwa tunaenda mazishini
    siku ya kwanza nilipodo nilibana miguu af nikatoka mbio.nikarud after a year!
    Siki ya kwanza nilipo..........ah memory imegoma bana!!



    Ni mara ya ngapi uli enjoy hii makitu???

    images




    HAPA WALE WENYE KUKUFAHAMU ULE UONGO WAKO WA kutangaza jina LA YESU WANAULIZA!!

    user-offline.png
    Walas Ba

    Yesterday 23:28

    JF Senior Expert MemberArray


    Join Date : 6th September 2012
    Posts : 1,668
    Rep Power : 703
    Likes Received300
    Likes Given138


    [h=2]Re: Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??[/h]
    Paroko eiyer kaasi nin???​







    user-online.png
    Eiyer

    Yesterday 17:31

    JF Senior Expert MemberArray


    Join Date : 17th April 2011
    Location : Mwanza
    Posts : 14,361
    Rep Power : 1182295
    Likes Received5630
    Likes Given5725


    [h=2]Re: Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??[/h]

    quote_icon.png
    By miss chagga
    wenye makalio makubwa basi




















    images




    BAADA YA KUPANDISHA MANYEGERE YA MWANAKONDOO HAPA UNAAHIDI KUFANYA NGONO YA BLUETOOTH!

    user-online.png
    Eiyer

    Yesterday 16:40
    JF Senior Expert MemberArray


    Join Date : 17th April 2011
    Location : Mwanza
    Posts : 14,362
    Rep Power : 1182295
    Likes Received5630
    Likes Given5726


    [h=2]Re: Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??[/h]

    quote_icon.png
    By Heaven on Earth
    Eiyer anataka umkumbushe first day ilikuaje

    halafu wewe Eiyer hizo picha unazoweka hizo ujue wengine tuko kwa wakolon

    sasa wadudu wakiamka sijui nani atawwabembeleza walale tena



    Unani PM tu namaliza kila kitu via Bluetooth....!!!!!!!!!



    HUU UZI WAKO WOTE UMEJAA VISHAWISHI NA MAMBO YA NGONO TUPU!

    HALAFU KESHO UNATUJIA NA ZILE KWAYA ZAKO, OHH YESU ANAKUPENDA OHHH MIMI BABA PAROKO!

    WEWE UNALAANA! NA NDIO MAANA MAKANISA YANATEKETEA KILA SIKU KWA KUWAWEKA WATU KAMA NYIE KWENYE UONGOZI WAO.

    WEWE UNAJIITA MSABATO SAFI, KUMBE UMEJAA UCHAFU NA NAJISI MWILI MZIMA!

    Ngoja nikuitie wasabato wenzako waje wakuone hapa! cc Ntuzu Mlaleo Nicholas Nyenyere na padri mwenye kutapeli watu MaxShimba

    HALAFU NIKUKUTE UNATANGAZA DINI TENA!! Ntakuwekea huu uchafu wote wenzako wakuone,

    Mchafuzi wa jamBy badian kinwiko:
    Nashukuru mkuu kwa ushauri mzuri. Je ni mikoa gani ninaweza kupata ardhi ya kununua kwa ajili ya kupanda miti ya mbao tukiachana na mikoa ya njombe na Iringa?
    Mikoa yote unaweza kuotesha miti ya mbao kwa sababu kila mkoa kuna aina ya mti unaomea vizuri, sasa kuna miti ya muda mfupi ( 10yrs to 15yrs), kuna miti ya muda mrefu ( 15yrs to 25) na kuna miti ambayo ukiotesha wewe, hata mtoto wako hatavuna.

    Tatizo linaanzia hapo kwenye muda, mikoa yote ambayo inaangukia kundi la pili,wengi wanadhani haiwezi kuotesha miti ya mbao, kwa hiyo tunadhani ile mikoa ya kundi la kwanza ndio pekee.

    Mtiki ni 25yrs, upo tayari kusubiri?
    Cyprus ni 15/25yrs je utasubiri?
    Pinus patula 10/15yrs
    Eucalyptus 6yrs to infinite - kuanzia poles,nguzo mpaka mbao
    Accrocarpus 9yrs to 12yrs.

    Pinus patula inamea vizuri nyanda za juu kusini, sasa hivi hadi Bukoba/Pemba iko na inavunwa mapema. Lakini ukiniambia nipande Mvule unaomea vizuri Tabora, halafu nivune baada ya miaka 70 !!!!!!! hesabu inakataa.

    Reply Report Post
    ii we!!​



  • Duh! Ingekua ni Elimu ya kujenga ndoa ingekua ni nzuri sn!
 
Last edited by a moderator:
Kwangu ilikuwa furaha kubwa maana nilishakata tamaa yakupenda baada yakutendwa. Sehemu niliyokutana nae siri yangu but tulikuwa marafiki wa kawaida kwa muda mfupi sana kama wk 2hivi then akaniomba nimtafutie kitabu fulani sababu miye nilikuwa mahali ambapo kidogo naweza kukipata kirahisi basi nikamtafutia in few days nikamtumia alifurahi sana kilichofuata tulikuwa marafiki wa karibu zaidi na ndipo aliponiambia ananipenda na angependa niwe wa ubavu wake.
Na niko nae hadi leo kiwatengu wangu

Seven Habits of highly effective people-- Covey.
thank you my darling!!!
 
Jamani ma single tutateseka hadi lini.....
😕🙄😕🙄😕🙄
 
Dah nimekumbuka mbaaaali sana kuna mama nilikua nasoma nae chuo kikuu alikuwa mambo yake fresh mme wake balozi wa Tz nchi flan jirani na yeye Afisa elimu mkoa flan hivi hapa nchini basi huyo mama alitokea kunipenda sana kwa vile nilikua smart sana kimavazi lakini hata darasan nilikua niko vizuri so mda wote nashinda na huyo mama tunadiscuss au kama assignments nafanya mimi, presentations tuko pamoja hadi test na exams tunakaa karibu. Huyo mother kila bash la chuo lazima atie timu na tunaenda wote kwani alikua ana gari lake zuri landcruiser pia kama hamna bash w'end tunatoka wote ma clubs mbalimbali hapa jijini. Mara nyingi nilikua namgegeda kwenye gari hakuwa tayari tufanyie hotelini wala sehem nyingine yoyote ile zaidi ya ndani ya gari yake, aliogopa sana yasije kufumuka akaniweka matatani lakini pia akahatarisha ndoa yake. Zaidi ya kunipa love alikuwa ananisponsor karibu kila kitu nikiwa chuo kweli nilienjoy japo nilikuwa nalipa kwa kumsaidia kimasomo na kumtimizia kimwili.

Mistake aliyoifanya huyu mother ni pale tulipofika 3rd year yaani finalists kuna mtoto wa shemeji yake yaani mtoto wa mdogo wake na mme wake alikuja kuanza chuo first year mtoto mkali balaa akawa karibu na huyo mama na mimi nikatambulishwa tukajenga ukaribu ikawa mara kwa mara tunakutana kwa huyo mother na sometime tukitoka out tunatoka nae lakini tulijitahidi kuficha mahusiano yetu. Nilijikuta nimempenda sana yule binti na hata yeye alionyesha dalili zote za kunipenda kikwazo kilikuwa ni yule mama. Siku moja tulienda billicanas yule mama alilewa sana na siku hiyo alikuwa hajisikii vizuri akaanza kutapika hovyo mimi na yule binti tulimkimbiza hospital alituambia tumpeleke agha kan baada ya mda mfupi alipewa huduma nikamrudisha chuoni hostel. Binti alikua anaishi campus sisi tulikuwa mabibo ilibidi nimuombe gari yule mama ili nimpeleke binti campus tukiwa njiani huku wote tukiwa tumechangamka tulianza kushikana, ilibidi nipaki gari kilichofata ni full kissing almost two hours kabla ya kugegedana hadi asubuhi kwenye gari utamu nilioupata siku ile niliapa sitaacha hadi nife. Hatukuweka wazi mahusiano yetu lakni mother alikua anashtukia ila hakugundua hadi tunamaliza chuo na baada ya kumaliza chuo nikapata nafas ya kujiachia na mrembo wangu Paura. Tangia tuko wote ni 4 years imepita na last year mwezi novemba tumefunga ndoa takatifu.
 
Back
Top Bottom