Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??

Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??

Yani ugumu wake umemlazimisha akumbke yaleee yalotokea, japo kajibu lakin mmmmmh! Naogopa haya mambo ya divorce hata ctaman kabisa
Jesus saidia huyu mtu aiseee

yaa ni mbaya bt ndo ishatokeae ss no way
maisha lazima yaendelee Walas Ba
 
ahahahahahaaaaaa, ni kweli kabisa, ule mti ungepewa nafasi ya kuongea usingemaliza, umeona na kusikia mengi.
 
Miaka minne iliyopita alikuja stationary kwetu, ndo alikuwa amemaliza advance anasubiria kwenda chuo, tulipendana tu tulivoonana nikawa nashinda stationary kila siku ili nimuone,ilichukua miezi 2 kuanzisha mahusiano. Mwaka na nusu sasa hatuko pamoja penzi lilivamiwa na mdudu.
 
nimesoma za watu had nimesahau yangu!!!!uuuwwwww!!no way mambo mengine hayasahauliki jamani tuache masihara!!!

first time nilivyomwona alikuwa wa kawaida sana hata sikumkumbuka ila kulikuwa na sababu ya mimi kuacha namba zangu na yeye akajitolea kunisaidia ila hata namba zake sikusave,akanisalimia wala sikujibu nikajua ni mojawapo wa wasumbufu wangu.Next time nilimkuta yupo down sana kumbe kanisusia mi nikampuuzia nikajua maringo tu kwa sababu eti watu wanasema ni HB.akaniuliza mbona sijajib sms yake ndo nikashtuka,nikasema samahani unajua hii sm blablabla kbao.Nikagundua ana mapozi nikasema safi sana akijileta tu namchezea akili hanigongi halafu namdamp mapozi akampelekee mama yake!!!!!Huwa ndio kamchezo kangu kwa wanaume wanaoringa ila hapa nilibugi men!!!!!

wazungu wanasema falling in love like an idiot,wakati naendelea kumchezea akili,nikajikuta mi ndo nachezewa akili.maisha yangu yalibadilika moja kwa moja.Sikuwahi kurudia kale kamchezo kabisa.Nikajikuta na game nimetoa wakati sikupanga kabisa siyo kwake tu ila kwa wakati huo sikupanga kabisa hayo mambo!!!!
Baada ya kutoa game nikajua sasa naachwa kwa sababu nilijifanya najua sana na jamaa kashajua hata game sijawahi kulicheza,hakuna kipindi katika maisha yangu confidence yangu kama mwanamke ilishuka kama kipindi hicho!!!!!!halafu jamaa alionekana hana masihara katika hilo!!!
Nashukuru Mungu aliamua kuwa mwalimu wangu mzuri sana na aliniheshimu hadi confidence ikarudi!!!pamoja na maudhi ya hapa na pale katika maisha ya mapenzi ndani ya moyo wangu kabisa huwezi kukuta mwanaume mwingine zaidi yake!!!ndo maana baada ya miaka mi4 ya tukaamua kuwa na familia yetu!!ilikuwa ngumu sana mimi kukubali hapo ndo kigoma mwisho wa reli!!!!Japo alikuwa anasifiwa sana kwa vitu mbalimbali kwangu mimi havikuwa criteria yangu ila nilimpenda hivyohivyo na bado nampenda sana!!
Hope Mungu atatuzidishia upendo na amani.Nawaombea na wengine mema katika raha ya mapenzi!!!
 
Baba paroko unavonichokonoa hivo mwisho ntaanza kuungama hapa,wakati si mahala pake

Hilo sio tatizo unaweza tu kuungama tu kama uko free....lol!!!!!!
 
Miaka minne iliyopita alikuja stationary kwetu, ndo alikuwa amemaliza advance anasubiria kwenda chuo, tulipendana tu tulivoonana nikawa nashinda stationary kila siku ili nimuone,ilichukua miezi 2 kuanzisha mahusiano. Mwaka na nusu sasa hatuko pamoja penzi lilivamiwa na mdudu.

hiv mnajua yupo parokia gani?

Mi sina hakika. Lkn ukifuatilia uzi huu wale wapambe nuksi wanasema yuko Mwanza na alikuwa ni mpiga debe mzuri sana wa kisabato.
Sasa naona usabato kaona hauna mpango kahamia kwenye ile mijimama mizito upande wa nyuma!

Eti yeye huenda kule beach kuangalia yale makalio lkn hapati mfazaiko!
Sasa ya nini kutazama kama hupati hisia zzt? Yaani kaasi vibaya sana huyu baba upako.
Ukimsachi mfukoni hivi sasa humkosi na nyenzo (soksi) tayari kwa ajili ya kutoa mapepo.
 
got u babe wa luck dube

"I've Got You Babe"

I have gone right round the world
Trying to find a women
A women that'll understand me [x2]
All the women I had before
Never understood me

Now that I've found you baby
I ain't gonna look no further [x3]

It's so nice when you're there
So nice so nice
I love you I love you I love you I love you I love you

I've got you babe to make me feel alright [x3]
I've got you babe to make me feel alright [x3]

Baby you know how much I need you baby
Please never leave me baby
Never leave me ooh...

Ayo ayo
Ayo ayo [x7]
You know baby my life depends on you
You are my future you are everything I got
Please baby please baby yeah...

I've got you babe to make me feel alright [x3]
I've got you babe to make me feel alright [x3]
 
well,
aliniona kituoni nikiwa narudi hom, alikuwa na marafiki zake, akawauliza km kuna anaenifaham kati ya wale marafiki zake hakuna aliyekuwa ananifaham,

basi kuna fundi 1 hiv wa nguo nilikuwa naongea nae coz niliacha nguo yangu pale ni njiani kutoka kituoni to hom, akasubur niondoke akamfuat na kumuomba no yangu....

anasema akawa anaogopa kunicol ataanzaje/ataongea nn...cku ya cku kanicol, nikamjib kwa ukali na maswali juu umeipata wap no yangu bt alikuwa mpole mwingine angeanipotezea, akaniambia naomba tuonane ndo utanifaham, hakuwa anaishi mbali sn, nikakubali huku nina ham sn ya kujua ni nan....
baada ya dkk 30 hamadi amefika nilipomuelekeza anikute....nilipomuona mi mwenyewe nilimkubali nikajisemea moyoni km yupo serious simuachii. .....

mhh baada ya salam/story kidogo coz alikuja na rafk ake ndo urafiki ukaanza hapo though @1st ckuonyesha km nipo interested. bt I was.....muda unavyoenda tukazoeana na anavyoni care ndo nikazama kabisa na cku 1 akaniambia anatamani niwe mkewe km nipo tayar......ndo hivyo tena.
im proud of him

....Mungu mkubwa ndo nipo nae na ndo Mume wangu mtarajiwa, soon cherekochereko mambo yakienda km yalivyopangwa

Ilikuwaje kwenye mtoko wa kwanza .....??????
 
Babu hiyo inakufaaa....

images

Wewe ni baba upako wa ngono!
Haya mambo yesu alikufundisha??
Unapenda makalio makubwa kwani wewe msodomi?
 
Confession nyingine zinaweza kuharibu wito wako kaa nazo mbali

Nina uwezo mkubwa sana wa kuhimili majaribu yoyte yale
We mwagika tu .....!!!!!!!
 

  • JF Senior Expert MemberArray


    Join Date : 17th April 2011
    Location : Mwanza
    Posts : 14,361
    Rep Power : 1182295
    Likes Received5630
    Likes Given5723


    [h=2]
    icon1.png
    Re: Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??[/h]

    quote_icon.png
    By Asprin
    Mwalimu endelea kuniombea nisijeingia kwenye mtego wa huyu dogo. shetani alale pema motoni.



    images

    Babu hebu tukumbushe the first day ya hii makitu aiseeee!!!!!!!!!!!​



    "We have people making definite judgements and proclaiming certanties about the nature of life and creation when we can't even see 99.5% of our own universe!"

    Send PM

  • user-online.png
    Eiye


    JF Senior Expert MemberArray


    Join Date : 17th April 2011
    Location : Mwanza
    Posts : 14,361
    Rep Power : 1182295
    Likes Received5630
    Likes Given5723


    [h=2]
    icon1.png
    Re: Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??[/h]

    quote_icon.png
    By jullysexy
    Duuu mimi nilikua natembea kuelekea home nikapande daladala jamaa alikua na gari ananiita flani mi nilimcheki kwa jicho baya nikajisemea kirohon.
    Watu wengn bwana wakiazima magari ni shida tupu. Niko kweny daladala kumbe na yeye alishuka kweny gari lake kanifata kwny daladala niliposhuka na yy akashuka oooh my god
    .....jamaa akaanz mambo unaenda wap nikamwambia bado tu unanifata fata kaniambia naomba namba yko ya simu nikamjibu sina tulipelekana hadi mtaa ya home. Akaniabdikia namba yke kweny karatas .mi sikumzingatia hata .wiki mbili zilipita ndo nikamtafuta
    ..............kwel tumetoka mbali mimi na g wangu mpk sasa naitwa mama lov u hubby



    Siku ya mtoko wa kwanza ilikuwaje bibie??​

    quote_icon.png
    By Eiyer
    Babu hiyo inakufaaa....

    images



    Hebu jipongezeni bana

    images

    Unaikumbuka siku hii ya kwanza??
    Ulijisikiaje??


    user-online.png
    Eiyer

    Yesterday 16:38

    JF Senior Expert MemberArray


    Join Date : 17th April 2011
    Location : Mwanza
    Posts : 14,361
    Rep Power : 1182295
    Likes Received5630
    Likes Given5724


    [h=2]
    icon1.png
    Re: Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??[/h]

    quote_icon.png
    By snowhite
    ahahahag labda kwa picha picha kama hiv
    mi siku ya kwanza nilitema mate njia nzima af nilivofika home nkapiga mswaki.lolest
    mi staki jamani!!



    Je mlifika huku?
    JF Senior Expert MemberArray


    Join Date : 17th April 2011
    Location : Mwanza
    Posts : 14,361
    Rep Power : 1182295
    Likes Received5630
    Likes Given5725


    [h=2]
    icon1.png
    Re: Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??[/h]

    By pooh
    nilijiskia faraja kwa kweli na niliamini huyo ndio mume mungu kaniletea...



    Tueleze mtoko wa kwanza basi ulikuwaje na ulijisikiaje??​



    images



    user-online.png
    Eiyer

    Yesterday 17:05
    JF Senior Expert MemberArray


    Join Date : 17th April 2011
    Location : Mwanza
    Posts : 14,361
    Rep Power : 1182295
    Likes Received5630
    Likes Given5725


    [h=2]
    icon1.png
    Re: Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??[/h]

    By snowhite
    Ahahahaha mine is a million dollar storie!!
    Si unaona mwanxo wake!??
    Ngoja nkapige kwanza puffs zangu kadhaa af naja.



    Nakusubiri ........!!!!!!!!!!!
    Naona umepata mzuka wa hii..

    user-online.png
    Eiyer

    Yesterday 17:24

    JF Senior Expert MemberArray


    Join Date : 17th April 2011
    Location : Mwanza
    Posts : 14,361
    Rep Power : 1182295
    Likes Received5630
    Likes Given5725


    [h=2]
    icon1.png
    Re: Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??[/h]

    By snowhite
    Ngoja niende kisamare samare
    siku ya kwanza ya kukiss -nilitema mate na mswaki juu
    siku ya kwanza kutoka out niliporud home nilibambwa nasoma kadi nkachezea sana kichapo
    siku ya kwanza nilipomuona nilikosea wimbo niliokuwa naimba basi zima wakanicheka tulikuwa tunaenda mazishini
    siku ya kwanza nilipodo nilibana miguu af nikatoka mbio.nikarud after a year!
    Siki ya kwanza nilipo..........ah memory imegoma bana!!



    Ni mara ya ngapi uli enjoy hii makitu???

    images




    HAPA WALE WENYE KUKUFAHAMU ULE UONGO WAKO WA kutangaza jina LA YESU WANAULIZA!!

    user-offline.png
    Walas Ba

    Yesterday 23:28

    JF Senior Expert MemberArray


    Join Date : 6th September 2012
    Posts : 1,668
    Rep Power : 703
    Likes Received300
    Likes Given138


    [h=2]Re: Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??[/h]
    Paroko eiyer kaasi nin???​







    user-online.png
    Eiyer

    Yesterday 17:31

    JF Senior Expert MemberArray


    Join Date : 17th April 2011
    Location : Mwanza
    Posts : 14,361
    Rep Power : 1182295
    Likes Received5630
    Likes Given5725


    [h=2]Re: Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??[/h]

    quote_icon.png
    By miss chagga
    wenye makalio makubwa basi




















    images




    BAADA YA KUPANDISHA MANYEGERE YA MWANAKONDOO HAPA UNAAHIDI KUFANYA NGONO YA BLUETOOTH!

    user-online.png
    Eiyer

    Yesterday 16:40
    JF Senior Expert MemberArray


    Join Date : 17th April 2011
    Location : Mwanza
    Posts : 14,362
    Rep Power : 1182295
    Likes Received5630
    Likes Given5726


    [h=2]Re: Unaikumbuka hii siku ya kwanza..??[/h]

    quote_icon.png
    By Heaven on Earth
    Eiyer anataka umkumbushe first day ilikuaje

    halafu wewe Eiyer hizo picha unazoweka hizo ujue wengine tuko kwa wakolon

    sasa wadudu wakiamka sijui nani atawwabembeleza walale tena



    Unani PM tu namaliza kila kitu via Bluetooth....!!!!!!!!!



    HUU UZI WAKO WOTE UMEJAA VISHAWISHI NA MAMBO YA NGONO TUPU!

    HALAFU KESHO UNATUJIA NA ZILE KWAYA ZAKO, OHH YESU ANAKUPENDA OHHH MIMI BABA PAROKO!

    WEWE UNALAANA! NA NDIO MAANA MAKANISA YANATEKETEA KILA SIKU KWA KUWAWEKA WATU KAMA NYIE KWENYE UONGOZI WAO.

    WEWE UNAJIITA MSABATO SAFI, KUMBE UMEJAA UCHAFU NA NAJISI MWILI MZIMA!

    Ngoja nikuitie wasabato wenzako waje wakuone hapa! cc Ntuzu Mlaleo Nicholas Nyenyere na padri mwenye kutapeli watu MaxShimba

    HALAFU NIKUKUTE UNATANGAZA DINI TENA!! Ntakuwekea huu uchafu wote wenzako wakuone,

    Mchafuzi wa jamii we!!​
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom