Unaanzaje kumvua nguo mke wa mtu?

Unaanzaje kumvua nguo mke wa mtu?

mwanamke ndo wa kujitunza

asili ya mwanaume ni kuchovya chovya mda wote...!!

hvyo mke wa mtu ndo wa kutunza heshima sana tu

waswahili wanasema'umalaya wa mwanaume ni sifa wa mwanamke ni kashfa'
Umeamka vzr kwel kwel
 
Hv inakuwajeee unamvulia chupii wkt umeolewa au utasemaa n ww huwa unabakwa!!??
 
Navua baada y ww kuridhia kwan ukinigomeaa nitavuaa??!
 
Sasa kifua kama chako hicho nitaachaje kukiwinda ilhali unakiacha wazi wazi sikubali...mpaka na mie nikilalie hata benzi nitakupa mama
 
hata mke wa mtu ni mwanamke,,,, na mwanamke lazima atongozwe.....kukataa au kukubali hilo liko chini ya uweza wake......
 
Nimekupenda bure
Ndio mnaanzaga hv hv mwishoe unaishia kumtindua.... bila yy kujua pamoja na majibu yake mazuri hapa....ndio hapo utajua wanawake wanachoongea na wanachotenda ni vitu viwili tofauti..viumbe vya ajabu hivi mkuu
 
Back
Top Bottom