Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 22,520
- 28,366
Ni mtu mzuri ona wadada wanavyojianika.Hahaha mugabe sio mtu mzurii
Ni mtu mzuri ona wadada wanavyojianika.Hahaha mugabe sio mtu mzurii
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa hizo huzipati kwani au...?!!!Siyo kweli. Nilifuata chumba, na potential benefits za kuishi hapo. You tricked me, na siyo fair.
Mkuu usitukane sana maana usilolijua ni sawa na usiku wa giza....mke wa mtu unaanzaje kuvuliwa nguo...
kutongozwa,kutoa namba ya simu mpk kuingizwa gesti....!!
mshenzi hapa na mchafu ni mwanamke
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Some women legs are like rumours they keep on spreading.
Hahaha mugabe sio mtu mzurii
Yaaani wewe dada mungu akupe heshima zaidi nimekufatilia sana uchangiaji wako ni wabusara sana na kujenga!!! Na kukubali sana mama mwenye nyumbamke wa mtu unaanzaje kuvuliwa nguo...
kutongozwa,kutoa namba ya simu mpk kuingizwa gesti....!!
mshenzi hapa na mchafu ni mwanamke
Kuna wanaume ni ving'ang'anizi mummy hasikii hawaelewiAsante Dada kwa kuona tatizo ila kosa hapa haliko kwa mwanaume anaekuomba namba na kukutongoza labda kama anajua wewe ni mke Wa Fulani .
Pia Mara zote wewe uliyekula kiapo cha kulinda ndoa ndiye unapaswa kuwa makini na hilo suala wala sio huyo mwanaume unayemlaumu hapa labda kama na yeye ana ndoa yake huko.
Na wanaoongoza kukubali hovyo ni wake za watu... REJEA DNA 49% YA WANAUME WANALEA WATOTO SIYO WAOMkuu wanaoongoza kutongoza hovyo ni wanaume za watu, tena na Pete anayo kidoleni. Yaani huwa na nakwazika sana.
Shikamoomke wa mtu unaanzaje kuvuliwa nguo...
kutongozwa,kutoa namba ya simu mpk kuingizwa gesti....!!
mshenzi hapa na mchafu ni mwanamke
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa hizo huzipati kwani au...?!!!
sijakutrick wala nn...!!!
Unaaamini kwenye lipi? Ukiachana na unayoyaona au unayoyasikia!mm mswahili ht siku moja husikii mwanaume anadharaulika kwa umalaya. .
Nimekukubali, wake za watu wangeacha kutawanya miguu yao kwa wanaume wengine hii thread isingekuwepo.Yaaani wewe dada mungu akupe heshima zaidi nimekufatilia sana uchangiaji wako ni wabusara sana na kujenga!!! Na kukubali sana mama mwenye nyumba
Tunatafuta experience...Hahahaha! Kuwa bachela bado si sababu ya kuwa onja onja maana mazoea hujenga tabia
kizuri share na nduguyooo...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuna mdada mmoja hapa job namuona ananiletea mambo kbs...asbh anakuja na kitafunwa kaniletea kila siku mara usiku msg story kibao,w/end mara aulize leo wapi sijui nnKuna wengine huwa wanaleta shobo wenyewe