tya02
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 850
- 1,064
tena mpumbavu kabisa...ngoja nichomeleemke wa mtu unaanzaje kuvuliwa nguo...
kutongozwa,kutoa namba ya simu mpk kuingizwa gesti....!!
mshenzi hapa na mchafu ni mwanamke
tena mpumbavu kabisa...ngoja nichomeleemke wa mtu unaanzaje kuvuliwa nguo...
kutongozwa,kutoa namba ya simu mpk kuingizwa gesti....!!
mshenzi hapa na mchafu ni mwanamke
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ntakusemea kwa mume wanguNa mbona unaongea kama unayajua fika maumivu ya mwanaume kuchapiwa, na majuto baada ya kumaliza mchezo? Oh wait, umejisahau.
Nimejisahau nini mkuu? Mm ni mwanamke mwenye ndoa nimejaribu kuwaza siku nimemkuta mume wangu na mwanamke mwingine.Na mbona unaongea kama unayajua fika maumivu ya mwanaume kuchapiwa, na majuto baada ya kumaliza mchezo? Oh wait, umejisahau.
Mwanamke akishaanza kuchanulia watu nje ya ndoa ni kumwacha tu hilo halina mjadalaUlishawahi kuwaza siku ukute mkeo amemchanulia mwanaume mwenzio?
Hebu fikiria ujasiri huwa unatoka wapi wa kumtongoza mpaka kutembea na mke wa mtu?
Jibu ni moja tu kipindi anafanya hivyo anakuwa akili zake haziko kawaida, fikiria kidogo uchungu wa mke au mume.
mwanamke ndo wa kujitunzatena mpumbavu kabisa...ngoja nichomelee
Mkuu Mimi najua sana kutukana lkn pawe na sababu , sasa wewe matusi yote haya umeyaleteje hapa?we ni fyatu tena kahaba mzoefu. sa hapo mwanaume ana kosa gani. we unajua ni mbebez wa mtu unakubali vipi kuvuliwa chupi na kuingiziwa hogo la jang'ombez
Na wewe unaamini ya waswahili??mwanamke ndo wa kujitunza
asili ya mwanaume ni kuchovya chovya mda wote...!!
hvyo mke wa mtu ndo wa kutunza heshima sana tu
waswahili wanasema'umalaya wa mwanaume ni sifa wa mwanamke ni kashfa'
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ntakusemea kwa mume wangu
mpangaji wewee....!!
.
Mama haka kamsemo kwa mafiga matatu wewe hujakasikia!!!Wanaume ni watu ambao ufahamu wao unaweza kuwa interrupted kirahisi zaidi linapokuja suala na tamaa ya ngono.
Hebu fikiria ujasiri huwa unatoka wapi wa kumtongoza mpaka kutembea na mke wa mtu?
Jibu ni moja tu kipindi anafanya hivyo anakuwa akili zake haziko kawaida, fikiria kidogo uchungu wa mke au mume.
Vipi ukimkuta mwanaume mwenzio juu ya kifua cha mkeo?
Maumivu unayoyapata ndiyo anayoyapata mwanaume mwenzio pale anapogundua mkewe kaliwa nje.
Ukitaka kujua hili jiulize baada ya tendo kwann unajilaumu?
Akili haiwezi kuja mpaka mbegu zimetoka wanaita bao sijui mara round moja.
Inamaana akili za mwanaume huwa hazifanyikazi kbsa kabla ya kupizi.
Nisaidieni niwaelewe nyie viruka njia msiyokuwa na haya.
Najua walioguswa zaidi wenye hekima watajirekebisha ambao akili zao wamekabidhisha kwa shetani watatokwa na mitusi kitusi ambacho huwa kinafanywa na mtu asiye na akili.
Karibuni
Mwenyewe wananikwaza saaana. Wanatuzibiaga riziki saana kwa sisi mabachela (tangazo hili limedhaminiwa na BUZZ. Buzz ni bomba)Mkuu wanaoongoza kutongoza hovyo ni wanaume za watu, tena na Pete anayo kidoleni. Yaani huwa na nakwazika sana.