nalijua,nafahamu ninachoongea100%Mkuu usitukane sana maana usilolijua ni sawa na usiku wa giza....
Savannah light kwako plz au ni dompo waiter hii bill ije kwangu.mke wa mtu unaanzaje kuvuliwa nguo...
kutongozwa,kutoa namba ya simu mpk kuingizwa gesti....!!
mshenzi hapa na mchafu ni mwanamke
[emoji23] [emoji120] yy hapo anazungumzia mke wa mtu na Mme wa mtu ...!!!Kama ni hivyi,inakuaje Monicca analalamika?
[emoji124] [emoji124] huwa nakupendaga Sana tu..mke wa mtu unaanzaje kuvuliwa nguo...
kutongozwa,kutoa namba ya simu mpk kuingizwa gesti....!!
mshenzi hapa na mchafu ni mwanamke
Mkuu mume anauma asikwambie mtu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] asante sana[emoji124] [emoji124] huwa nakupendaga Sana tu..
Lazima utakuwa Mwalimu wa Literature wewe...
Nimekupenda buremke wa mtu unaanzaje kuvuliwa nguo...
kutongozwa,kutoa namba ya simu mpk kuingizwa gesti....!!
mshenzi hapa na mchafu ni mwanamke
Mi nakulike tu kwa coment zako usije sema na mm na like like haaaahaaa..Kuna mdada mmoja hapa job namuona ananiletea mambo kbs...asbh anakuja na kitafunwa kaniletea kila siku mara usiku msg story kibao,w/end mara aulize leo wapi sijui nn
Mungu atanilinda kwa haya majaribu lkn
Mm nakutakaMi nakulike tu kwa coment zako usije sema na mm na like like haaaahaaa..
Kamatia fursa hiyo jamaa acha kumbwela!Kuna mdada mmoja hapa job namuona ananiletea mambo kbs...asbh anakuja na kitafunwa kaniletea kila siku mara usiku msg story kibao,w/end mara aulize leo wapi sijui nn
Mungu atanilinda kwa haya majaribu lkn
Unatumia kinywaji gani vile???mke wa mtu unaanzaje kuvuliwa nguo...
kutongozwa,kutoa namba ya simu mpk kuingizwa gesti....!!
mshenzi hapa na mchafu ni mwanamke
[emoji23] [emoji120] yy hapo anazungumzia mke wa mtu na Mme wa mtu ...!!!
USHINDWE.Mm nakutaka