Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,126
- 62,136
- Thread starter
- #41
ule uzi wako mwingine ulisema nyumba yako ni kaburi lako.
hapa unahoji umuhimu wa nyumba shelter basic human need nyumba??
kwani ukifikisha miaka 70 au 100 unaacha kujitaji mahitaji muhimu ya mwanadamu kama nyumba
unashauri umri wa mwisho kuwa na nyumba uwe miaka mingapi?
Hizi ni mada fikirishi mkuu, kuna umri ukifikisha inabidi ujipe furaha tu, si kuhangaika na ujenzi, vyeo, kujilimbikizia mali n.k kwa sababu ni umri wa lala salama na hautaondoka na chochote.