Una kipawa gani?

Una kipawa gani?

Me mpaka sasa napata ukakasi ktk kukitambua kipawa changu.
In short bado sielewi vzr nna kipaji gan exactly.
 
Kila mtu ana kitu kile ambacho mwenzake hana na kila mmoja anatumia kipawa chake kwa usahihi kabisa kuliko mwenzake.

Kipawa na uwezo wa kufanya kitu chochote kile ambacho kinaweza kuwa kigumu kwa baadhi ya watu/mtu (Kipaji)

Naamini kila mmoja anajua kipawa chake hadi sasa kama huna kipawa basi pole sana na Mungu akuoneshe kipawa chako na jinsi ya kukitumia.

Kwangu mimi nina kipawa cha USHAWISHI nasema hili kwa uhakika sana ninaweza kushawishi pande mbili kuwa sawa au pale ambapo hakuna amani kukawa na amani, naweza kubadilisha mtu mawazo yake na akaenda vile navyotaka kwa muda mfupi sana.

Kwangu mimi Najivunia sana kuwa na kipawa hiki wote ambao wamekuwa na mimi wamejikuta wanapita njia yangu, marafiki, wapenzi, ndugu na jamaa.

Kwako wewe una kipi unachoweza kushukuru Mungu kuwa amekupa kitu cha kipekee kuliko yeyote?

Karibu.
Nitajuaje kwamba una kipawa cha ushawishi kweli na si kipawa cha kujipigia debe kwamba una kipawa cha ushawishi?

Unaweza kunishawishi?
 
Aisee hii ni bonge ya thread kama tutakua serious..mm nina kipawa cha ajabu sana,hata niwe na shida kiasi gani nitapata hela tu ya kutatua hiyo shida..yaani ni kama hela inanifataga yenyewe...tena wakati mwingine najua kabisa simu yangu ikiita ni hela tu..of course nafanya biashara,sijawahi feli biashara yoyote nayoianzisha au kuweka hela
mkuu Kama mimi
 
Naweza kushawishi ndio na hii ni kazi niliyoifanya kwa muda mrefu naijua vyema.
Ili unishawishi,inabidi unielewe.

Nimeuliza.

Kwa nini unasema nimejiandaa kushawishiwa wakati nahoji uwezo wako wa kushawishi?

Swali langu si "unaweza kunishawishi au huwezi kunishawishi?"

Hili ndilo swali ulilolijibu.

Umejibu swali ambalo sijauliza.

Swali nililouliza ni "Kwa nini unasema nimejiandaa kushawishiwa wakati nahoji uwezo wako wa kushawishi?".

Sio tu hujaweza kunishawishi, hata hujaweza kunielewa.

Utajigamba vipi kwamba una uwezo mkubwa wa ushawishi wakati hata uelewa wako tu unatiliwa shaka na swali dogo tu?
 
Ili unishawishi,inabidi unielewe.

Nimeuliza.



Swali langu si "unaweza kunishawishi au huwezi kunishawishi?"

Hili ndilo swali ulilolijibu.

Umejibu swali ambalo sijauliza.

Swali nililouliza ni "Kwa nini unasema nimejiandaa kushawishiwa wakati nahoji uwezo wako wa kushawishi?".

Sio tu hujaweza kunishawishi, hata hujaweza kunielewa.

Utajigamba vipi kwamba una uwezo mkubwa wa ushawishi wakati hata uelewa wako tu unatiliwa shaka na swali dogo tu?
Sawa katika vipawa kuna kipawa cha kiburi na ubishi hivi pia ni aina ya vipawa ambavyo nikitaka kushawishi mtu lazima niwe nimekwisha mjua vyema akili yake.

Uwezo wa kushawishi ninao.
 
Back
Top Bottom