Una kipawa gani?

Una kipawa gani?

Natambua fikra za MTU kwa kumwangalia tu. Haihitaji anieleze. Nikimuona tu physically basi. Sikusomea na wala si kwa dawa.
Naajiuliza sana no uwezo gani Mola alinipa
Kijana unaota ndoto za mchana.
 
Nina kipaji Kama chako. Me naweza kujua ulivo kitabia hata kwa picha tu
Asante sana. Mi kuna padri mmoja mwingereza alikuwa rafiki yangu mi nikiwa primary. Alikuwa anakuja kwetu mara nyingi sana anaongea na mshua kisha tunaongea naye mambo mengi.
Alikuwa anajua lugha yetu ya kienyeji pia.
Alimsihi sana baba niende shule za seminary.
Mshua hakuridhia.
Baadaye padri alihamishiwa Canada. Alimuomba baba niende naye , baba hakukubali kama unavyojua mila za makabila Fulani hawataki kupoteza watoto.

Leo najiuliza, yaweza kuwa padri huyo alikuwa AME sense kipawa changu.
 
Ninamudu mambo mengi na yote najua ni vipawa vyangu

Drawing - kipawa changu cha kwanza kabisa kugundua. Bado naendelea kuchora (picha zangu binafsi si kwaajili ya business)

Singing - Yea mon, I can sing.

Math

Sio tu napenda hesabu pia naelewa kwa urahisi sana nikifundishwa

Visualization

Hii nilidhani si muhimu kwangu lakini nimegundua naweza kuona mambo yanavyokuwa hasa ninapowazia mambo ya miradi yangu

Musical instruments

Yea mon, I'm guitarist. Nikiwa na safari kwa muda mrefu lazima niwe na acoustic guitar pembeni. Music soothes my soul

Negotiation skills

Hiki ni kipawa muhimu sana. Nimekuwa nikijifunza kwa miaka mingi. Naendelea kufanikiwa.

Ability to focus

Ninauwezo mkubwa kusimamia mambo nayoyapanga.

Persuasive

Yes...naweza kushawishi.
 
Ulozi
3a5e873c3cfeee6c48da86ff5dfceda5.jpg
teh teh teh aise ww Mkuu kiboko eti ulozi duuuu
 
Natambua fikra za MTU kwa kumwangalia tu. Haihitaji anieleze. Nikimuona tu physically basi. Sikusomea na wala si kwa dawa.
Naajiuliza sana no uwezo gani Mola alinipa
Hapa kuna utofauti inamaana ukiangalia hata picha ya mtu au lazima ukutane nae in personal. Jibu tafadhari
 
Kwa mfano kuna ishu fulani,nilishaipeleleza,nikawa na taarifa nini kitatokea,nikatoa ushauri kwa mtu mmoja wa kitengo,akapuuzia ushauri wangu,nikamwambia haya,kilichotokea. Mpaka yeye haamini,ananiona na mimi kitengo kumbe wala.
Mimi mganga njaa tu.
 
Ninamudu mambo mengi na yote najua ni vipawa vyangu

Drawing - kipawa changu cha kwanza kabisa kugundua. Bado naendelea kuchora (picha zangu binafsi si kwaajili ya business)

Singing - Yea mon, I can sing.

Math

Sio tu napenda hesabu pia naelewa kwa urahisi sana nikifundishwa

Visualization

Hii nilidhani si muhimu kwangu lakini nimegundua naweza kuona mambo yanavyokuwa hasa ninapowazia mambo ya miradi yangu

Musical instruments

Yea mon, I'm guitarist. Nikiwa na safari kwa muda mrefu lazima niwe na acoustic guitar pembeni. Music soothes my soul

Negotiation skills

Hiki ni kipawa muhimu sana. Nimekuwa nikijifunza kwa miaka mingi. Naendelea kufanikiwa.

Ability to focus

Ninauwezo mkubwa kusimamia mambo nayoyapanga.

Persuasive

Yes...naweza kushawishi.
Sidhani kuwa unaweza kuwa navyo vyote as inborns nahisi umekuwa exposed ktk mazingira fulani ya kukufanya uwe hivyo au training. Ni ngumu kuwa na vipaji vingi as inborn
 
Kila mtu ana kitu kile ambacho mwenzake hana na kila mmoja anatumia kipawa chake kwa usahihi kabisa kuliko mwenzake.

Kipawa na uwezo wa kufanya kitu chochote kile ambacho kinaweza kuwa kigumu kwa baadhi ya watu/mtu (Kipaji)

Naamini kila mmoja anajua kipawa chake hadi sasa kama huna kipawa basi pole sana na Mungu akuoneshe kipawa chako na jinsi ya kukitumia.

Kwangu mimi nina kipawa cha USHAWISHI nasema hili kwa uhakika sana ninaweza kushawishi pande mbili kuwa sawa au pale ambapo hakuna amani kukawa na amani, naweza kubadilisha mtu mawazo yake na akaenda vile navyotaka kwa muda mfupi sana.

Kwangu mimi Najivunia sana kuwa na kipawa hiki wote ambao wamekuwa na mimi wamejikuta wanapita njia yangu, marafiki, wapenzi, ndugu na jamaa.

Kwako wewe una kipi unachoweza kushukuru Mungu kuwa amekupa kitu cha kipekee kuliko yeyote?

Karibu.
kipawa changu mimi.kuto lewa pombe aisee sjawai.kulewa kapokuwa nakunywa bia ata kumi na tano

alafu kipawa kingine mimi hata nkaongea upumbav lazma utimie
 
Back
Top Bottom