Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,778
- 168,036
Nipo nipo tu maskini hata kipawa sina
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hata kusuuta hujuiNipo nipo tu maskini hata kipawa sina
Utambuzi huo unaitwa, yaani unasoma kitu/mtu/mazingira then mwishoni unapata jibu ndani ya muda mfupi...Natambua fikra za MTU kwa kumwangalia tu. Haihitaji anieleze. Nikimuona tu physically basi. Sikusomea na wala si kwa dawa.
Naajiuliza sana no uwezo gani Mola alinipa
Mmh mbona hata maneno au maandishi unaweza kumjua mtu alivyo?? au unatumia picha tu?Nina kipaji Kama chako. Me naweza kujua ulivo kitabia hata kwa picha tu
[emoji85] [emoji86] [emoji23]Ulozi![]()
Kubembeleza walio pigwa au watu wazima wanaodeka?Kubembeleza
Yaani kukuweka katika Hali ya usawa ukatulia tulii na ukapata amani,.Kubembeleza walio pigwa au watu wazima wanaodeka?
Nakuomba nyumbani tafadhali kama una muda.Yaani kukuweka katika Hali ya usawa ukatulia tulii na ukapata amani,.
Kusutana ndo sijawahi kuweza labda kusuta online 😀[emoji23] [emoji23] [emoji23] hata kusuuta hujui
supa nyamwela...Kukata viuno
Mngh!Ulozi![]()
Lazima unacho ..jichunguze zaidi...!!Nipo nipo tu maskini hata kipawa sina
Kama Zari?Kuzaa
Kama ninacho nadhani ni kukwichiLazima unacho ..jichunguze zaidi...!!