Una kipawa gani?

Una kipawa gani?

Aisee kuigiza hapa ni balaa,ila sikuwahi kukitumia
 
Ulozi
3a5e873c3cfeee6c48da86ff5dfceda5.jpg
Haya matendo yako mkuu ndiyo yananifanya nikuogope.[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Natambua fikra za MTU kwa kumwangalia tu. Haihitaji anieleze. Nikimuona tu physically basi. Sikusomea na wala si kwa dawa.
Naajiuliza sana no uwezo gani Mola alinipa
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] sipati picha zile hotuba mubashara unakuwa umeshajua leo nani anapewa michambo yake [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kila mtu ana kitu kile ambacho mwenzake hana na kila mmoja anatumia kipawa chake kwa usahihi kabisa kuliko mwenzake.

Kipawa na uwezo wa kufanya kitu chochote kile ambacho kinaweza kuwa kigumu kwa baadhi ya watu/mtu (Kipaji)

Naamini kila mmoja anajua kipawa chake hadi sasa kama huna kipawa basi pole sana na Mungu akuoneshe kipawa chako na jinsi ya kukitumia.

Kwangu mimi nina kipawa cha USHAWISHI nasema hili kwa uhakika sana ninaweza kushawishi pande mbili kuwa sawa au pale ambapo hakuna amani kukawa na amani, naweza kubadilisha mtu mawazo yake na akaenda vile navyotaka kwa muda mfupi sana.

Kwangu mimi Najivunia sana kuwa na kipawa hiki wote ambao wamekuwa na mimi wamejikuta wanapita njia yangu, marafiki, wapenzi, ndugu na jamaa.

Kwako wewe una kipi unachoweza kushukuru Mungu kuwa amekupa kitu cha kipekee kuliko yeyote?

Karibu.
Umeshinda nishawishi hata kusema kipawa changu.
 
Natambua fikra za MTU kwa kumwangalia tu. Haihitaji anieleze. Nikimuona tu physically basi. Sikusomea na wala si kwa dawa.
Naajiuliza sana no uwezo gani Mola alinipa
Lazima urakuwa muongo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hicho sio kipawa
 
Aisee hii ni bonge ya thread kama tutakua serious..mm nina kipawa cha ajabu sana,hata niwe na shida kiasi gani nitapata hela tu ya kutatua hiyo shida..yaani ni kama hela inanifataga yenyewe...tena wakati mwingine najua kabisa simu yangu ikiita ni hela tu..of course nafanya biashara,sijawahi feli biashara yoyote nayoianzisha au kuweka hela
 
Aisee hii ni bonge ya thread kama tutakua serious..mm nina kipawa cha ajabu sana,hata niwe na shida kiasi gani nitapata hela tu ya kutatua hiyo shida..yaani ni kama hela inanifataga yenyewe...tena wakati mwingine najua kabisa simu yangu ikiita ni hela tu..of course nafanya biashara,sijawahi feli biashara yoyote nayoianzisha au kuweka hela
Safi sana Mungu akupe zaidi
 
Back
Top Bottom