Una kipawa gani?

Una kipawa gani?

CC: Honey Faith

Hebu mroge nanihii basi 🙂🙂

Ulozi
3a5e873c3cfeee6c48da86ff5dfceda5.jpg
 
Kila mtu ana kitu kile ambacho mwenzake hana na kila mmoja anatumia kipawa chake kwa usahihi kabisa kuliko mwenzake.

Kipawa na uwezo wa kufanya kitu chochote kile ambacho kinaweza kuwa kigumu kwa baadhi ya watu/mtu (Kipaji)

Naamini kila mmoja anajua kipawa chake hadi sasa kama huna kipawa basi pole sana na Mungu akuoneshe kipawa chako na jinsi ya kukitumia.

Kwangu mimi nina kipawa cha USHAWISHI nasema hili kwa uhakika sana ninaweza kushawishi pande mbili kuwa sawa au pale ambapo hakuna amani kukawa na amani, naweza kubadilisha mtu mawazo yake na akaenda vile navyotaka kwa muda mfupi sana.

Kwangu mimi Najivunia sana kuwa na kipawa hiki wote ambao wamekuwa na mimi wamejikuta wanapita njia yangu, marafiki, wapenzi, ndugu na jamaa.

Kwako wewe una kipi unachoweza kushukuru Mungu kuwa amekupa kitu cha kipekee kuliko yeyote?

Karibu.
Maths ndo kipaji kikubwa nilicho nacho japo ninavyo Vingi ila hiki hatari
 
Kulenga Shabaha.. Nikikosa sana napata 10/10, au 5/5

Cha pili.. KUMOKA, napiga heavy rotation kama Bob... Kuna Siku pwani nusura nimdatishe ofisa wa watu.

Cha tatu.. Kupanga mikakati yenye mantiki na utekelezaji rahisi.. Kitengo wananiita "Master Plan"
 
Kama "huruma" ni kipawa basi hicho ndicho Mungu alichonijaalia,,, yaani huwa nakosa amani na moyo kuniuma kma nikiona mtu anateseka niko radhi nitumie senti niliyo nayo ili kumsaidia mtu alie na shida hasa kama amenfata akanielezea tatizo kwa kwel hua ni ngumu sana kushindwa kumsikiliza ma kumtimizia shida yake…!!!
 
Back
Top Bottom