Umewahi kuwa na bidhaa zisizouzika ukabaki nazo kwa kushindwa kupata hata mteja wa bei ya hasara?

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,034
Nakumbuka 2016 niliwahi kuwa na duka la vifaa vya computer, nikaona nijiongeze ongeze nikaweka mabegi ya laptop kwa mtaji wa milioni 1 nikiamini kwamba yatatoka fasta sana, yaani hayo mabegi yalikuwa hayauziki kabisa, nilitaka niyauze kwa bei ya hasara lakini wapi.

Hadi nafungua duka lingine biashara nyingine hayo mabegi yalibaki nyumbani tu, kazini kuna mtu moja tu ndio alinunua.

Kama zali vile leo ndio nimeyauza japo kwa bei niliyojumulia miaka hio.
 
Nakumbuka 2016 niliwahi kuwa na duka la vifaa vya computer, nikaona nijiongeze ongeze nikaweka mabegi ya laptop kwa mtaji wa milioni 1 nikiamini kwamba yatatoka fasta sana, yaani hayo mabegi yalikuwa hayauziki kabisa, nilitaka niyauze kwa bei ya hasara lakini wapi.

Mabegi hayo niliamua kuyaweka nyumbani tu, leo ndio nimeyauza kwa bei ya hasara mnooo!!!

pole mkuu inatokea mara kadhaa !
Lakini wafanya biashara hawana muda wakuja kukwambia hapa
 
Back
Top Bottom