sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,034
Nakumbuka 2016 niliwahi kuwa na duka la vifaa vya computer, nikaona nijiongeze ongeze nikaweka mabegi ya laptop kwa mtaji wa milioni 1 nikiamini kwamba yatatoka fasta sana, yaani hayo mabegi yalikuwa hayauziki kabisa, nilitaka niyauze kwa bei ya hasara lakini wapi.
Hadi nafungua duka lingine biashara nyingine hayo mabegi yalibaki nyumbani tu, kazini kuna mtu moja tu ndio alinunua.
Kama zali vile leo ndio nimeyauza japo kwa bei niliyojumulia miaka hio.
Hadi nafungua duka lingine biashara nyingine hayo mabegi yalibaki nyumbani tu, kazini kuna mtu moja tu ndio alinunua.
Kama zali vile leo ndio nimeyauza japo kwa bei niliyojumulia miaka hio.