Dah🙆UNA HOJA LAKINI USISIKILIZWE
Duh hatariMapokezi kuandikiwa bei kadhaa kufika kwa muhasibu bei inaongezeka na hapo ni hospitali ya mkoa
Kwenye kupima afya ya uzazi kuna mambo mengi kama VVU na magonjwa mengine ya ngono, lakini ini hawapimi.Folen kubwa
Milango ya daktar mitano ila milango miwili ndio ina madaktari
Ukiwaambia unahisi kuumwa wanachojua wao
Ni kukupima MARALIA,UTI ,TYPHOID basi ndio maana watu wengi sana Tz kansa wanakutwa nayo stage ya mwisho maana ukienda hospital ni kupimwa maralia na uti😂😂
Vyoo vichafu si hospitali wala stendi maji tiririka hakuna,ndoo moja kikombe cha kuchotea maji kimoja.kwa hali hii tunatibu afya na kuangamiza afya.Habari,
Afya ni miongoni mwa huduma muhimu na msingi katika katika Jamii yoyote. Katika kupata Huduma za Afya kuna michakato na mambo mengi katikati yake.
Je, umeshawahi kukutana na kero gani katika kupata Huduma za Afya Kishingo akusaidie kuisemea?
Habari,
Afya ni miongoni mwa huduma muhimu na msingi katika katika Jamii yoyote. Katika kupata Huduma za Afya kuna michakato na mambo mengi katikati yake.
Je, umeshawahi kukutana na kero gani katika kupata Huduma za Afya Kishingo akusaidie kuisemea?
Folen kubwa
Milango ya daktar mitano ila milango miwili ndio ina madaktari
Ukiwaambia unahisi kuumwa wanachojua wao
Ni kukupima MARALIA,UTI ,TYPHOID basi ndio maana watu wengi sana Tz kansa wanakutwa nayo stage ya mwisho maana ukienda hospital ni kupimwa maralia na uti😂😂
😭😭😭😭Yaani unakuta mhudumu anamchoma mtu sindano bila kuvaa glovu.
Licha ya hilo pale inapobidi kutoa ushauri wa awali kabla ya kupima VVU wanaongea blaa blaa tu wakati ni jambo muhimu ambapo usipokuwa makini kumuandaa mpokeaji majibu anaweza kuzimia.
Halafu nyingine zahanati unakuta haina kipimo cha kundi la damu na uwingi wa damu, wanakwambia uende maabara ya mtu binafsi.
Very sad kwa Kweli 😢Folen kubwa,
Milango ya Daktari mitano ila milango miwili ndiyo ina madaktari.
Ukiwaambia unahisi kuumwa wanachojua wao
Ni kukupima MARALIA, UTI, TYPHOID basi.
Ndiyo maana watu wengi sana Tanzania kansa wanakutwa nayo stage ya mwisho maana ukienda hospital ni kupimwa maralia na UTI.
Hii mbaya sana.Yaani Wahudumu wengine wanafanya kazi kwa mazoea hawapo makini.
Wanauzembe wakati fulani na wanajiona kazi yao very uniqueNilifiwa na mgonjwa MOI kizembe zembe tu, alipata ajali ya kuanguka. Alikuwa ni mtu ambaye aliwekewa vyuma miaka minne nyuma baada ya kupata ajali ya kuangukiwa na ukuta. Alipona vizuri tu ila aliwekewa chuma mguuni akawa anaishi nacho. Mwaka jana akaja kuanguka akiwa mazoezi. MOI wakasema anatakiwa kufanyiwa upasuaji, maana pale kwenye chuma palivunjika tena. Baada tu ya kulipia gharama za upasuaji wakaanza kujizungusha wakidai wanahitaji kumfanyia vipimo kabla ya upasuaji. Alikaa MOI wiki mbili akipewa panadol tu, hakuna kipimo chochote alichofanyiwa. Mara hali ikaanza kubadilika mpaka kufariki. Siku yake ya mwisho ndio wakajifanya wanampeleka ICU ila ndio ikawa too late