Buzi Nene
Senior Member
- Feb 10, 2020
- 139
- 310
Katika vituo vya kutolea huduma za afya za msingi kwa yaani vituo vyote ambavyo vipo chini ya Tamisemi yani, Zahanati,vituo vya Afya, Hospitali za wilaya kuna utaratibu wa misamaha kwa makundi watoto chini ya miaka 5, wajawazito ikijumlisha na huduma ya kujifungua,na wazee wasio na "uwezo " zaidi ya miaka 60,watu wenye magonjwa ya kudumu etc.
Ukiangalia kwa makini hayo ndio makundi yenye watu wengi nchini lakini ndio yanapata huduma kwa msamaha.
Madhara yake ni vituo kukosa dawa na sisi serikali kutumia gharama kubwa katika kuendesha vituo hivyo.
Kwanini utaratibu huu usiondolewe maana mimba sio ugonjwa na mtu akitaka kuzaa inamaana amejipanga sasa kwanini apewe msamaha.
Hapo kwa wazee angalau panajieleza mana umri umeenda, lakini kwanini walishindwa kujipanga tangu ujanani?
Serikali ibadilishe utaratibu huku chini ifanye kama hospitali za mikoa na zile za kanda
Ukiangalia kwa makini hayo ndio makundi yenye watu wengi nchini lakini ndio yanapata huduma kwa msamaha.
Madhara yake ni vituo kukosa dawa na sisi serikali kutumia gharama kubwa katika kuendesha vituo hivyo.
Kwanini utaratibu huu usiondolewe maana mimba sio ugonjwa na mtu akitaka kuzaa inamaana amejipanga sasa kwanini apewe msamaha.
Hapo kwa wazee angalau panajieleza mana umri umeenda, lakini kwanini walishindwa kujipanga tangu ujanani?
Serikali ibadilishe utaratibu huku chini ifanye kama hospitali za mikoa na zile za kanda