Umeshawahi kumsikia nyoka aitwaye Kifutu?

Umeshawahi kumsikia nyoka aitwaye Kifutu?


Basi leo ngoja nikueleze habari ya kifurahisha kuhusu nyoka huyu, kwanza ni miongoni mwa viumbe ambao wamesaidia lugha ya kiswahili kukua, kwa waliosoma kiswahili wanaweza kufahamu vyema kuwa miongoni mwa mambo ambayo husaidia kukua kwa lugha ni pamoja na lugha kukopa maneno, misimu pia kufananisha umbo la kitu na maneno, ikiwa pamoja na mambo mengine mengi,

Basi nyoka kifutu amefananishwa umbo lake na jina alilopewa, ukimuona kichwani ni mwembamba na mkia mwembamba lakini mwili wa kati ni kibonge mbaya.

Nyoka huyu hatagi bali anazaa ! Sasa usitoe macho, kama ulikuwa hujui nakufahamisha hivi nyoka katika masuala ya uzazi wamegawanyika katika makundi matatu, kundi la kwanza hutaga, kundi la pili huzaa na kundi la tatu huwa wanataga na kuzaa (hapa ndio utashangaa yaani anataga na akitotoa akabaini watoto bado dhaifu basi atawameza na kuwazaa hapo baadaye, au akiwa na mayai akabaini kwamba mazingira hayo si rafiki atameza mayai na kuzaa baadaye).

Turudi kwa kifutu wetu yeye huzaa watoto 20 na kuendelea huko, na watoto huendelea na maisha yao punde tuu baada ya kuzaliwa, Chakula kikuu cha mnyama huyu ni pamoja na wadudu, panya, mayai ya ndege, wanyama wadodo wadogo kama sungura nk, hapa hutegemea sana na umri, wapo katika makundi mawili moja wale ambao hujitokeza sehemu ambazo binadamu hufanya shughuli zake kama shambani nk.

Hawa huwa na sumu lakini si kali sana, ila waishio polini akikuuma una hatari ya kufa mapema sana na nyoka huyu ni miongoni mwa nyoka ambao wapo katika kundi la nyoka walioua sana binadamu.

Ana meno mawili juu na makali sana yaliyochongoka kama ambayo huonekana kwa simba au chui, na meno ya chini ni madogo na hujipanga kwa wingi sana lakini hayazidi kumi.

SIFA ZAKE
  1. Bingwa sana wa kujificha, watu wengi humkanyaga kwakuwa ni ngumu kumuona kwa urahisi.
  2. Si mkorofi pamoja na ukatili alionao, lakini akiona binadamu humkimbia, pamoja kwamba atakukimbia lakini atarudi mara kwa mara kuangalia je umeondoka ! Lengo likiwa ni kuendelea na shughuli zake, hivyo akikupa heshima na wewe uwe mstarabu kumpisha.
  3. Akikuona sura yake huitengeneza kama anatabasamu, sasa sio anataka kukuchekea anaweka meno sawa.
  4. Ana aibu pia.
  5. Anapowinda akiwa penye ardhi laini hujifukia, sasa kanyaga.
  6. Ana urefu wa mita moja na kilo sita au zaidi.
  7. Akikuuma utapatwa na yafuatayo, kutwoka sana na jasho, kutapika na kuishiwa nguvu.

Je umeshawahi kujua nyoka akikuuma yatakiwa ufanye nini ?

[HASHTAG]#wasalaam[/HASHTAG].
=======

Nimekopi nikiamini humu ntapata ufafanuz wa kutaalam zaidi hasa kwenye kuzaa hapo

Basi leo ngoja nikueleze habari ya kifurahisha kuhusu nyoka huyu, kwanza ni miongoni mwa viumbe ambao wamesaidia lugha ya kiswahili kukua, kwa waliosoma kiswahili wanaweza kufahamu vyema kuwa miongoni mwa mambo ambayo husaidia kukua kwa lugha ni pamoja na lugha kukopa maneno, misimu pia kufananisha umbo la kitu na maneno, ikiwa pamoja na mambo mengine mengi,

Basi nyoka kifutu amefananishwa umbo lake na jina alilopewa, ukimuona kichwani ni mwembamba na mkia mwembamba lakini mwili wa kati ni kibonge mbaya.

Nyoka huyu hatagi bali anazaa ! Sasa usitoe macho, kama ulikuwa hujui nakufahamisha hivi nyoka katika masuala ya uzazi wamegawanyika katika makundi matatu, kundi la kwanza hutaga, kundi la pili huzaa na kundi la tatu huwa wanataga na kuzaa (hapa ndio utashangaa yaani anataga na akitotoa akabaini watoto bado dhaifu basi atawameza na kuwazaa hapo baadaye, au akiwa na mayai akabaini kwamba mazingira hayo si rafiki atameza mayai na kuzaa baadaye).

Turudi kwa kifutu wetu yeye huzaa watoto 20 na kuendelea huko, na watoto huendelea na maisha yao punde tuu baada ya kuzaliwa, Chakula kikuu cha mnyama huyu ni pamoja na wadudu, panya, mayai ya ndege, wanyama wadodo wadogo kama sungura nk, hapa hutegemea sana na umri, wapo katika makundi mawili moja wale ambao hujitokeza sehemu ambazo binadamu hufanya shughuli zake kama shambani nk.

Hawa huwa na sumu lakini si kali sana, ila waishio polini akikuuma una hatari ya kufa mapema sana na nyoka huyu ni miongoni mwa nyoka ambao wapo katika kundi la nyoka walioua sana binadamu.

Ana meno mawili juu na makali sana yaliyochongoka kama ambayo huonekana kwa simba au chui, na meno ya chini ni madogo na hujipanga kwa wingi sana lakini hayazidi kumi.

SIFA ZAKE
  1. Bingwa sana wa kujificha, watu wengi humkanyaga kwakuwa ni ngumu kumuona kwa urahisi.
  2. Si mkorofi pamoja na ukatili alionao, lakini akiona binadamu humkimbia, pamoja kwamba atakukimbia lakini atarudi mara kwa mara kuangalia je umeondoka ! Lengo likiwa ni kuendelea na shughuli zake, hivyo akikupa heshima na wewe uwe mstarabu kumpisha.
  3. Akikuona sura yake huitengeneza kama anatabasamu, sasa sio anataka kukuchekea anaweka meno sawa.
  4. Ana aibu pia.
  5. Anapowinda akiwa penye ardhi laini hujifukia, sasa kanyaga.
  6. Ana urefu wa mita moja na kilo sita au zaidi.
  7. Akikuuma utapatwa na yafuatayo, kutwoka sana na jasho, kutapika na kuishiwa nguvu.

Je umeshawahi kujua nyoka akikuuma yatakiwa ufanye nini ?

[HASHTAG]#wasalaam[/HASHTAG].
=======

Nimekopi nikiamini humu ntapata ufafanuz wa kutaalam zaidi hasa kwenye kuzaa hapo
Mkuu nyoka huyu kifutu(Puff adder) anasumu inayoozesha misuli(Myotoxin). Akikuuma usipofanya hima kutafuta matibabu, kama ameuma mguu basi mguu huo utaishia kukatwa kwa sababu utaoza na hakuna jinsi ya kurudisha misuli(nyama ) zilizooza ila kuziondoa kwa kukata. Sumu yake haiendi haraka kama sumu ya wale wengine wenye sumu inayoathiri mishipa ya fahamu (Neurotoxins) nerves au damu.
 

Basi leo ngoja nikueleze habari ya kifurahisha kuhusu nyoka huyu, kwanza ni miongoni mwa viumbe ambao wamesaidia lugha ya kiswahili kukua, kwa waliosoma kiswahili wanaweza kufahamu vyema kuwa miongoni mwa mambo ambayo husaidia kukua kwa lugha ni pamoja na lugha kukopa maneno, misimu pia kufananisha umbo la kitu na maneno, ikiwa pamoja na mambo mengine mengi,

Basi nyoka kifutu amefananishwa umbo lake na jina alilopewa, ukimuona kichwani ni mwembamba na mkia mwembamba lakini mwili wa kati ni kibonge mbaya.

Nyoka huyu hatagi bali anazaa ! Sasa usitoe macho, kama ulikuwa hujui nakufahamisha hivi nyoka katika masuala ya uzazi wamegawanyika katika makundi matatu, kundi la kwanza hutaga, kundi la pili huzaa na kundi la tatu huwa wanataga na kuzaa (hapa ndio utashangaa yaani anataga na akitotoa akabaini watoto bado dhaifu basi atawameza na kuwazaa hapo baadaye, au akiwa na mayai akabaini kwamba mazingira hayo si rafiki atameza mayai na kuzaa baadaye).

Turudi kwa kifutu wetu yeye huzaa watoto 20 na kuendelea huko, na watoto huendelea na maisha yao punde tuu baada ya kuzaliwa, Chakula kikuu cha mnyama huyu ni pamoja na wadudu, panya, mayai ya ndege, wanyama wadodo wadogo kama sungura nk, hapa hutegemea sana na umri, wapo katika makundi mawili moja wale ambao hujitokeza sehemu ambazo binadamu hufanya shughuli zake kama shambani nk.

Hawa huwa na sumu lakini si kali sana, ila waishio polini akikuuma una hatari ya kufa mapema sana na nyoka huyu ni miongoni mwa nyoka ambao wapo katika kundi la nyoka walioua sana binadamu.

Ana meno mawili juu na makali sana yaliyochongoka kama ambayo huonekana kwa simba au chui, na meno ya chini ni madogo na hujipanga kwa wingi sana lakini hayazidi kumi.

SIFA ZAKE
  1. Bingwa sana wa kujificha, watu wengi humkanyaga kwakuwa ni ngumu kumuona kwa urahisi.
  2. Si mkorofi pamoja na ukatili alionao, lakini akiona binadamu humkimbia, pamoja kwamba atakukimbia lakini atarudi mara kwa mara kuangalia je umeondoka ! Lengo likiwa ni kuendelea na shughuli zake, hivyo akikupa heshima na wewe uwe mstarabu kumpisha.
  3. Akikuona sura yake huitengeneza kama anatabasamu, sasa sio anataka kukuchekea anaweka meno sawa.
  4. Ana aibu pia.
  5. Anapowinda akiwa penye ardhi laini hujifukia, sasa kanyaga.
  6. Ana urefu wa mita moja na kilo sita au zaidi.
  7. Akikuuma utapatwa na yafuatayo, kutwoka sana na jasho, kutapika na kuishiwa nguvu.

Je umeshawahi kujua nyoka akikuuma yatakiwa ufanye nini ?

[HASHTAG]#wasalaam[/HASHTAG].
=======

Nimekopi nikiamini humu ntapata ufafanuz wa kutaalam zaidi hasa kwenye kuzaa hapo
Nyoka akikung'ata unapaswa ufanye nini ili kupona?
 
Unahurumia snake!? Yeye hawezi kukuhurumia jombaa... Na tumeagizwa tuwaponde vichwa, hivyo hao jamaa walitimiza maandiko....

Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
Mkuu Fernando; Nyoka hakushambulii kwa lengo la kukushambulia tuu. La hasha. Mara zote nyoka anajihami mathalani umemkanyaga, umemfikia karibu mno na hana pa kukimbilia au kujificha au umeng'ngana kumuua. Sumu yake ni kwa ajili ya kujipatia chakula au tuseme kukamata mawindo yake. Tena ukumbuke anapokung'ata hakupi "Full Dose" kwani anaihitaji sumu hiyo kwa malengo yaliyokusudiwa. Tena nyoka kifutu (na wengineo) wanafaida ya kula panya kama afanyavyo paka tunayemfuga. Kumbuka Tanzania(By then Tanganyika) tuliwahi ku-import vifutu from Malawi kwa ajili ya kudhibiti panya waharibifu kwenye ule mradi mkubwa wa Karanga Kongwa.
 
Nikweli kabisa au unamshika mzima unamweka ili akung'ate kibamia akishakung'ata tu kibamia kinaanza kukua ndani ya masaa matatu tu
Hivi kweli binadamu au tuseme MTU hasa ww Mgiriki unathubutu kumwelekeza mwenzio hivy? Akifa utafaidika nn? Tupendane, tusaidiane, tushauriane.Acha kuwaelekeza wenzio kwenye kifo.
 
Nyoka akikung'ata unapaswa ufanye nini ili kupona?
Mkuu nyoka wa aina gan na amekung' ata mazingira gan?
Kila nyoka ana njia za kufanya ili kujiponya lkn common ni kukimbilia hospitali

Basi leo ngoja nikueleze habari ya kifurahisha kuhusu nyoka huyu, kwanza ni miongoni mwa viumbe ambao wamesaidia lugha ya kiswahili kukua, kwa waliosoma kiswahili wanaweza kufahamu vyema kuwa miongoni mwa mambo ambayo husaidia kukua kwa lugha ni pamoja na lugha kukopa maneno, misimu pia kufananisha umbo la kitu na maneno, ikiwa pamoja na mambo mengine mengi,

Basi nyoka kifutu amefananishwa umbo lake na jina alilopewa, ukimuona kichwani ni mwembamba na mkia mwembamba lakini mwili wa kati ni kibonge mbaya.

Nyoka huyu hatagi bali anazaa ! Sasa usitoe macho, kama ulikuwa hujui nakufahamisha hivi nyoka katika masuala ya uzazi wamegawanyika katika makundi matatu, kundi la kwanza hutaga, kundi la pili huzaa na kundi la tatu huwa wanataga na kuzaa (hapa ndio utashangaa yaani anataga na akitotoa akabaini watoto bado dhaifu basi atawameza na kuwazaa hapo baadaye, au akiwa na mayai akabaini kwamba mazingira hayo si rafiki atameza mayai na kuzaa baadaye).

Turudi kwa kifutu wetu yeye huzaa watoto 20 na kuendelea huko, na watoto huendelea na maisha yao punde tuu baada ya kuzaliwa, Chakula kikuu cha mnyama huyu ni pamoja na wadudu, panya, mayai ya ndege, wanyama wadodo wadogo kama sungura nk, hapa hutegemea sana na umri, wapo katika makundi mawili moja wale ambao hujitokeza sehemu ambazo binadamu hufanya shughuli zake kama shambani nk.

Hawa huwa na sumu lakini si kali sana, ila waishio polini akikuuma una hatari ya kufa mapema sana na nyoka huyu ni miongoni mwa nyoka ambao wapo katika kundi la nyoka walioua sana binadamu.

Ana meno mawili juu na makali sana yaliyochongoka kama ambayo huonekana kwa simba au chui, na meno ya chini ni madogo na hujipanga kwa wingi sana lakini hayazidi kumi.

SIFA ZAKE
  1. Bingwa sana wa kujificha, watu wengi humkanyaga kwakuwa ni ngumu kumuona kwa urahisi.
  2. Si mkorofi pamoja na ukatili alionao, lakini akiona binadamu humkimbia, pamoja kwamba atakukimbia lakini atarudi mara kwa mara kuangalia je umeondoka ! Lengo likiwa ni kuendelea na shughuli zake, hivyo akikupa heshima na wewe uwe mstarabu kumpisha.
  3. Akikuona sura yake huitengeneza kama anatabasamu, sasa sio anataka kukuchekea anaweka meno sawa.
  4. Ana aibu pia.
  5. Anapowinda akiwa penye ardhi laini hujifukia, sasa kanyaga.
  6. Ana urefu wa mita moja na kilo sita au zaidi.
  7. Akikuuma utapatwa na yafuatayo, kutwoka sana na jasho, kutapika na kuishiwa nguvu.

Je umeshawahi kujua nyoka akikuuma yatakiwa ufanye nini ?

[HASHTAG]#wasalaam[/HASHTAG].
=======

Nimekopi nikiamini humu ntapata ufafanuz wa kutaalam zaidi hasa kwenye kuzaa hapo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa sie watu waporini huu ndo msimu wao kwetu kiangazi na joto huwa wanakuwa ni comon.. ni wazur na wanaminofu mizuri kama samaki sato
 
We kuna nyoka nao ni aina ya vifutu yaani viper wanaitwa rattle snake wao wanaspika kwenye mkia yaani wakiona hatari wanawasha spika ukisikia inabidi ukimbie ni hatari hao. Ndio lipumba anataka akaimport amweke nyumbani kwa lipumba
 
Nyoka hata kama ni Swila ama Koboko huwa ni wapole kinachotokea tu wakati mwingine ni kujihami...nyoka wengi hata wale wakali akimuona binadamu hutoka nduki ila kama kwa bahati mbaya ukaingia kwenye anga zake ndipo pale atakapokomaa na wewe kwa kusimamia mkia na ukijifanya mtaalamu wa kumpiga au kukimbia anakumaliza
 
Back
Top Bottom