platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,548
- 11,517
MwanzaHahahah mkui we unatoka mkoa UPI!
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Mmh! Wanafanyanaje na mbwa hapo?Nasikia sumu yake haina tiba ila ni kipindi cha utoto tuliambiwaga hivyo ila kwasasa itakuwepo tiba yake.
Ni kweli kuna rafiki yangu aling'atwa tangu 2009 mpaka leo kidonda hakiponi,na huo mguu umepooza kabisa.unapona lakini lazima kuna mawili either utembee kama kilema, au mguu unaweza ukavimba au mkono usirudi katika hali yake ya kawaida, au ukatwe kabisa, manake sumu yake ni kama ina kansa huyu kifutu, na ukimuona tembea yake kama kinyonga hana haraka
nasema hivyo mkuu nina mifano haiNi kweli kuna rafiki yangu aling'atwa tangu 2009 mpaka leo kidonda hakiponi,na huo mguu umepooza kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmh! Mkuu vp kuhusu chatu ambao wanakula kiumbe chochote.Usipotoshe umma aisee.Black mamba sina uhakika nae ila chatu hakuachi aisee hasa ukikutana naye sehemu tulivu.Black mamba ni nyoka asiyependa bughudha na usumbufu akikuona unamfuata kama alikuwa ametulia utamuona anaanza kuondoka ,
Hakuna nyoka duniani anayekimbiza ,nyoka wote wanamuogopa binaadamu kuliko binaadamu anavyomuogopa nyoka
Panaitwa snake park kama sijakosea.Kuna shamba moja la nyoka pale a town duuuu nilikaa DKK moja tu nikaenda mbali kuwasubiria tulioenda nao
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Ha ha ha haaasasa je, ugali mutamu bana asikwambie mtu
Umetuambia na kuishia hapo ili iweje? Tukuulize nini kiliendelea au?
Kuwa serious MkuuHuyu nyoka mpole sana wanapatikana sana maeneo ya baridi , siku moja nikiwa mafinga jkt nilitoroka mkesha nikaenda kulala porini nilikuwa na blanket nikiwa nmelala kumbe likaja likifutu na kuingia kwenye blanket asubuhi nashtuka linanitekenya...
Wala halikunidhuru
Imani yako ipoje? Ushawahi kuomba Mungu juu ya kuua wachawi? Au ushawahi kwenda kwa waganga kufanyiwa matambiko ya kujikinga? Unaweza usiwe wewe ika huyo uliyeongozana nae.na mm nasubiri jibu la swali hili maana ishawahi kunitokea huyu kifutu mida ya usiku alipita mbele yetu nikiwa na ba mdogo wangu tukafanikiwa kumuua tulipopiga hatua tena kadhaa tukakutana na mwingine anakatisha barabara tukamuua. kesho yake tukapokea taarifa mbaya ya msiba ndugu wawili wa familia moja kaka na dada wamefariki na walipishana masaa machache katika vifo vyao!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna maua yake ukipanda huwa hafiki maeneo hayo. Ningekushauri umwage Petroli au Mafuta ya taa ila ndo hivyo ni gharama kisha sio dawa nzuri kuliko hayo maua.hamna kitu naogopa kama nyoka,,kuna dawa za kupuliza home nyoka wasiwepo kabisa?