Waafrika wengi kuwapoteza lengo ni kazi rahisi sana.
Watajie habari za wakoloni, wazungu, utumwa, new world order, ushoga, maadui wa nje, maadui wa ndani, wasaliti, waliokosa uzalendo etc etc.
Utawaibia mabilioni kwa mabilioni huku wanakupigia makofi.
Wengi wanataka waigizaji na vitongozi.
Hawataki viongozi.
Sasa mtu kama Mugabe baada ya mauaji yote na economic mismnagement aliyoifanya Zimbabwe naye ni wa kusifiwa?
Kisa?
Kawatongoza waafrika masikini vizuri na kujipa image ya mpinga wazungu!
Wanaomsifia Mugabe wanajua jinsi gani alivyoua wa Ndebele?
Someni Gukurahundi
http://en.m.wikipedia.org/wiki/Gukurahundi