Waafrika kama kweli mko serious na kukataa ushoga na cultural imperialism pigeni marufuku movies za magharibi, pigeni marufuku nguo za magharibi, pigeni marufuku muziki wa magharibi, pigeni marufuku internet.
Anzisheni mifumo yenu yenye maadili ya kiafrika mnayoyataka.
Otherwise mtapiga kelele sana kumshangilia Mugabe (kwa habari ambazo hata hajazisema!) wakati mnaangalia shows za Hollywood zilizojaa LGBT themes na subtle sympathy.
Mtajikuta nyie mnapiga kelele wakati watoto wenu wanaoangalia haya mambo na kufuatilia wataona ndio mambo ya kisasa.
Ndiyo maana jibu la Kikwete kwa Amanpour in a way, ingawa halikuwa smart, lilikuwa na admirable candor (labda kwa sababu Kikwete is not smart/ confrontational enough to duck and deflect kama Mkapa na Mugabe). Waafrika hawawezi ku fight haya mambo, it is only a matter of time kabla hayajakubalika Afrika. I have to agree with Kikwete on that even though the answer was not statesmanlike, especially the tepid answer to the follow up question.
As long as hatu make content tunayo consume, basi hata mass psychology yetu itakuwa dictated na wengine, kwa mfano Hollywood.
Angalia vijana wanavyovaa kata k utaona jinsi gani hata kama Obama akinyamaza kuhusu ku force issue ya gay rights, Hollywood itamfanyia kazi yake.
Kwa hiyo hii focus nzima ya kuangalia viongozi na kusahau popular culture iko misguided.
Hawa hawa wanaomsema Obama na kumshangilia Mugabe ndio hawa hawa watakaoshangilia shows na movies za Hollywood zilizotengenezwa na the Hollywood gay crowd na kujazwa a disproportionate level of gay scenes.
I have noticed that there is a dramatic increase in gay/ lesbian sympathetic scenes in Hollywood movies/ shows. Are you guys going to boycott those too or just blabber hypocritically?
Nenda Facebook na Instagram uangalie watoto wa Kiafrika wanavyoshindana kujifanya Wamarekani.