Umemsikia MUGABE alichomwambia OBAMA.?

Umemsikia MUGABE alichomwambia OBAMA.?

Hakuna mtu amesema muwe mashoga ,tatizo ni pale mnapoanza kuwanyanyasa na kuwafunga for a reason they are gay,hii haikubaliki na mtabadilika kwa nguvu hata kwa kukatiwa misaada ikibidi

Piganieni haki “zenu” best
 
Sipendi na nalaani ushoga, sipendi kutawaliwa na nalaani kutawaliwa, sipendi kunyanyaswa na nalaani mtu kunyanyasika kwa sababu yeyote Ile (mimi si Mungu nitapata wapi haki ya kumhukumu mtu ikiwa mimi si mkamilifu) LAKINI PAMOJA NA HAYO YOTE NAAMINI MUGABE NI MSALITI WA UHURU WA AFRIKA!
Teteeni “haki yenu”
 
Kule kwao hawa watu
mugabe, kagame, na museveni hawamwagiwi sifa kama wanazopataga humu JF so naamini hata Rais wetu kuna wat huko nje wanatamani angekuwa anawaongoza.Jiwe walilolikataa waashi! Endeleeni kumwaga sifa za Mugabe..........

Ha ha haaaaaa,raisi wetu anasifiwa wapi??ha habhaaaaaaaa
 
"If Obama wants me to allow gays marriage in Zimbabwe,I should marry him first to show the good example"-Robert Mugabe..

Ndio huyu huyu mzee,ambaye alipoulizwa na wanahabari wa Uingereza kuwa kwanini asiachie ngazi ilhali ameshazeeka, aliwauliza kama walishawahi kumuuliza swali kama hilo malkia wao..

Salute kwako uncle mugabe..

I like BOb Mugabe...he has shown us they can survive bila ya visenti vya hongo vya itwayo misaada.
He know how to handle double standard
Amesimamia misingi na haki ya nchi yake.
Viongozi wote wa kiafrika walobaki ni vibaraka au wanajipendekeka kwa wazungu
 
Nyani Ngabu
Inakuwaje wewe unamshutumu Mugabe kwa kutokubaliana na vitu ambavyo haviendani na mila na desturi zao? unataka kusema kila linalosemwa na viongozi wa nje ni bora na halipaswi kuhojiwa? Kama ni haki za binadamu mbona hamuongelei wale Mormons wa Utah na Arizona ambao wao kwa kufuata imani ya dini yao wanaoa zaidi mke mmoja? kila kukicha viongozi wao wanatafutiwa sababu za kufungwa kisa ni mafundisho ya imani zao kama hoja ya kuchagua namna ya kuishi wao wameshaamua inakuwaje wao wanabaguliwa? kama ni haki za binadamu wangeanza kuwapa wao kabla ya kuingilia tamaduni za kiafrika; haiwezekani ushabikie watu wapige tokomile kama wewe sio mchezaji!
Activister
wewe unapigiliwa hakuna nuomer endelea na game; sisi tunafuata mafundisho ya vitabu vitakatifu; kukaa kwangu mtoni hakunifanyi nichukue kila mila na desturi za huku ; makazini nafanya kazi na mashoga ni siwabugui na si washangai ni mila zao ila nikiona mtoto wa kiafrika ameamua kupigiliwa kama wewe hapo ndipo yanaponishangaza!
 
Nyani Ngabu
Inakuwaje wewe unamshutumu Mugabe kwa kutokubaliana na vitu ambavyo haviendani na mila na desturi zao?

Kwa sababu sishikiwi akili zangu na mtu mwingine yeyote. Niko huru kukubaliana au kutokukubaliana na yeyote yule. Kuna nyakati huwa hata sikubaliani na mimi mwenyewe. Upo hapo?

unataka kusema kila linalosemwa na viongozi wa nje ni bora na halipaswi kuhojiwa?

Hapana, sitaki kusema hivyo.

Kama ni haki za binadamu mbona hamuongelei wale Mormons wa Utah na Arizona ambao wao kwa kufuata imani ya dini yao wanaoa zaidi mke mmoja?

Binafsi sina tatizo lolote lile na ukewenza wala umewenza ili mradi tu kila mshiriki kaamua kushiriki kwa utashi wake.

kila kukicha viongozi wao wanatafutiwa sababu za kufungwa kisa ni mafundisho ya imani zao kama hoja ya kuchagua namna ya kuishi wao wameshaamua inakuwaje wao wanabaguliwa? kama ni haki za binadamu wangeanza kuwapa wao kabla ya kuingilia tamaduni za kiafrika; haiwezekani ushabikie watu wapige tokomile kama wewe sio mchezaji!

Nadhani Kiranga keshalizungumzia hilo kwa ujumla wake hususan kwenye wake na waume wenza. Na kwenye hilo nakubaliana naye.
 
Nyani Ngabu akili zako za kidaka ni kushikiwa vinginevyo usingekuja jamvini na kumponda Mugabe kwasababu tu hakubaliani na hiyo michezo yenu; Na kama hao viongozi wenye kutetea haki zenu inakuwaje hawaendi Saudia au Kuwait kutetea haki hizo?? au kuonea viongozi wa Afrika kwa sababu tunategemea misaada kutoka kwao??? Tokomile chezeni wenyewe sisi mdundiko na vanga linatosha!!
 
Nyani Ngabu akili zako za kidaka ni kushikiwa vinginevyo usingekuja jamvini na kumponda Mugabe kwasababu tu hakubaliani na hiyo michezo yenu;

Kwa hiyo nikimpinga Mugabe ndo ninakuwa na akili za kushikiwa lakini nikimuunga mkona inakuwa sivyo? Kaazi kweli kweli!

Na kama hao viongozi wenye kutetea haki zenu inakuwaje hawaendi Saudia au Kuwait kutetea haki hizo??

Haki zetu kivipi?

au kuonea viongozi wa Afrika kwa sababu tunategemea misaada kutoka kwao??? Tokomile chezeni wenyewe sisi mdundiko na vanga linatosha!!

Hata hueleweki wewe. Jipange upya!
 
Nyani Ngabu Wewe ndio kajipange upya; context ya alichosema Mugabe ni hakubaliani na kulazimishwa kuukubali ushoga inawezekana hakuwa na uchaguzi mzuri wa maneno; hivi hujioni kama akili zako ni za kushikiwa?? pole sana kamanda; mimi ni mwafrika naelewa mafundisho niliyopewa na wazazi wangu na jamii yangu; naujua utamaduni wangu; hujui hata haki zenu??? Hiyo michezo mliyojifunzia ukubwani ni janga sana kwa jamii za kiafrika; Nimekuuliza hao wapenda demokrasia na haki binadamu mbona hawaendi Saudia na kudai mpewe haki zenu kama vile wanavyopigania mpewe haki Afrika?? ni kitu gani hujaelewa?????
 
Last edited by a moderator:
tatizo kuna watu humu wanafikiri kila analoongea mzungu lina akili kwa sababu tu ana ngozi nyeupe.
 
mbona huyo obama hakumpigia simu vladmir putin kumpiga mkwara au zoezi hili ni kwa nchi za afrika tu?
 
Kuna watu wana credibility na moral high ground ya kuwabana wamagharibi (kwenye reciprocity na authenticity, siyo gay rights, gay rights are human rights), sio Mugabe. Mugabe at this point kwa wafuatiliaji wa mambo watamuona ni "trapeze artist" tu anaye capitalize kwenye ujinga wa waafrika.

By "watu" unamaanisha nani?

Mimi nishahoji hapo awali kwenye thread hii hii, kwamba kama wamagharibi wako concerned sana na human rights, wasiishie tu kutaka waafrika wahalalishe ushoga, bali pia na wao wamagharibi wahalalishe ukewenza ili kusudi waafrika wanaotaka kuoa wake wengi magharibi waweze kufanya hivyo bila kuvunja sheria as long as wanakubaliana na wake zao.

This is a legitimate question which I have never heard raised.

Kama wamagharibi lengo lao ni haki za binadamu tu, na sio kutaka waafrika wafuate wanachotaka wao, bila wao kufuata utamaduni wa waafrika, there should be a mutual exchange of cultures and mores.

Waafrika wakubali kuhalalisha ushoga ili kutowabania mashoga haki zao za binadamu, na wamagharibi wakubali habari za ukewenza ili kutowabania wanaotaka ukewenza haki zao za binadamu.

Marekani kuna sehemu wazungu wanaoa wakewenza kisirisiri kwa sababu sheria ya nchi hairuhusu mtu mmoja kuwa na mke zaidi ya mmoja.

Sasa rais Mwinyi akiamua kwenda kukaa Marekani afundishe wanafunzi Boston College hapo kwenye fellowship ya marais wa zamani wa Africa na yeye ana wake zake wawili, akitaka aende na wake zake wote, atakuwa anavunja sheria za Marekani kimsingi.

Mugabe awe ni "trapeze artist" au jina lolote utakalopenda kumpa, kumbuka kwamba inahitaji ujasiri kutoa kauli kama hiyo kwa kiongozi wa taifa kubwa kama Amerika

Watu namaaniha watu

Nimeona ukiongelea hicho kitu wamagharibi waige au waruhusu mila za kiafrika kwa lipi wanalotaka kutoka kwetu? na hata kama lipo viongozi wetu wameshindwa kufanya wamagharibi kujua msimamo wetu na tunanufaikaje na wao kupata hicho wanachokitaka kutoka kwetu. Wanachofanya ni kuhakikiha wanaendelea kupata/kunufaika zaidi na rasilimali za waafrika huku wakiendelea kutuletea mambo yao hata kama yanapingana na desturi na mila za kiafrika.

Kikwete alichekacheka alipoulizwa kuhusu ushoga licha ya kujua ukweli kwamba sio utamaduni wetu, alijua fika vitu gani anaweza kuvikosa kwa jibu lake. Mugabe tayari ana vikwazo vya kiuchumi ndio maana anaweza kuongea chochote kwa taifa lolote hasa wamagharibi, hana cha kupoteza kutoka kwao.

Hujaona mtu hata akiwa bwana mdogo kama ana uwezo watu wanamuogopa kumkosoa hata pale anapokosea kisa watakosa msaada wake?

Unafikiri ni kiongozi gani wa Afrika ambaye ameshatatua matatizo ya nchini kwake angestahili kutoa hiyo kauli ya kupinga ushoga? Kwa sababu Mugabe kwa mtazamo wako hana credibility kisa uchumi mbovu na mauaji ya wananchi wake.
 
Mugabe awe ni "trapeze artist" au jina lolote utakalopenda kumpa, kumbuka kwamba inahitaji ujasiri kutoa kauli kama hiyo kwa kiongozi wa taifa kubwa kama Amerika

Watu namaaniha watu

Nimeona ukiongelea hicho kitu wamagharibi waige au waruhusu mila za kiafrika kwa lipi wanalotaka kutoka kwetu? na hata kama lipo viongozi wetu wameshindwa kufanya wamagharibi kujua msimamo wetu na tunanufaikaje na wao kupata hicho wanachokitaka kutoka kwetu. Wanachofanya ni kuhakikiha wanaendelea kupata/kunufaika zaidi na rasilimali za waafrika huku wakiendelea kutuletea mambo yao hata kama yanapingana na desturi na mila za kiafrika.

Kikwete alichekacheka alipoulizwa kuhusu ushoga licha ya kujua ukweli kwamba sio utamaduni wetu, alijua fika vitu gani anaweza kuvikosa kwa jibu lake. Mugabe tayari ana vikwazo vya kiuchumi ndio maana anaweza kuongea chochote kwa taifa lolote hasa wamagharibi, hana cha kupoteza kutoka kwao.

Hujaona mtu hata akiwa bwana mdogo kama ana uwezo watu wanamuogopa kumkosoa hata pale anapokosea kisa watakosa msaada wake?

Unafikiri ni kiongozi gani wa Afrika ambaye ameshatatua matatizo ya nchini kwake angestahili kutoa hiyo kauli ya kupinga ushoga? Kwa sababu Mugabe kwa mtazamo wako hana credibility kisa uchumi mbovu na mauaji ya wananchi wake.

Katamka lini na wapi hiyo kauli Mugabe?
 
Nyani Ngabu
Inakuwaje wewe unamshutumu Mugabe kwa kutokubaliana na vitu ambavyo haviendani na mila na desturi zao? unataka kusema kila linalosemwa na viongozi wa nje ni bora na halipaswi kuhojiwa? Kama ni haki za binadamu mbona hamuongelei wale Mormons wa Utah na Arizona ambao wao kwa kufuata imani ya dini yao wanaoa zaidi mke mmoja? kila kukicha viongozi wao wanatafutiwa sababu za kufungwa kisa ni mafundisho ya imani zao kama hoja ya kuchagua namna ya kuishi wao wameshaamua inakuwaje wao wanabaguliwa? kama ni haki za binadamu wangeanza kuwapa wao kabla ya kuingilia tamaduni za kiafrika; haiwezekani ushabikie watu wapige tokomile kama wewe sio mchezaji!
Activister
wewe unapigiliwa hakuna nuomer endelea na game; sisi tunafuata mafundisho ya vitabu vitakatifu; kukaa kwangu mtoni hakunifanyi nichukue kila mila na desturi za huku ; makazini nafanya kazi na mashoga ni siwabugui na si washangai ni mila zao ila nikiona mtoto wa kiafrika ameamua kupigiliwa kama wewe hapo ndipo yanaponishangaza!

Vitabu vitakatifu vipi hivyo tena vimekataza?
 
So if 'He' Is Bad....He Can't Be Praised For A Good Thing....So Is Mugabe A Devil?
And If 'He' Is Good...He Cant Be Condemned For A Bad Thing/Practice...So Mr.O Is An Angel...
Legoooooo.......Pathetic Reasoning....
 
Mnamsifia mjinga huyo alichukuwa nchi ikiwa first world kaifanya third world na nusu ya wananchi wake wameishia ukimbizini kuwa manamba..poleni kwa ujinga

Ni bora hata yeye kalinda heshima ya utu na unyanyasaji wa wazungu, mbona hao viongozi wenu wanaonyanyaswa na kutukanwa na wazungu hawajawapeleka kny first world? SA hii hapa tunaiona, mwafrika ananyanyasika kuliko kitu chochote. Bora ubaki na umaskini wako lakini heshima yako ipo.
 
Sasa mtu kama Mugabe baada ya mauaji yote na economic mismnagement aliyoifanya Zimbabwe naye ni wa kusifiwa?


http://en.m.wikipedia.org/wiki/Gukurahundi
Nyie viongozi wenu ambao hawajafanya hiyo mismanagement mbona mnakula shida tu kama wao? Mzungu sio rafiki yako hata siku moja, atakunyonya na atakudharau na shida zako utabaki nazo pale pale. Ni heri ya Mugabe, wanakula shida lakini hakuna manyanyaso ya wazungu. Fullstop
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom