Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,492
Nahisi hufikirii vizuri
Hizo sifa za viongozi bora ni zipi na ni nani alikupa au kukufundisha kama sio haohao wazungu?! na unafikiri kwanini hawakuweka hiyo sifa ya hapo kwenye red kuwa sifa ya kiongozi bora.
Unahici tukikukabidhi wewe nafasi ya hao unaowaita sio viongozi bora utaweza kuyafanya hayo yatakayo kupa sifa za kiongozi bora? NI BORA WAO MUGABE NA MUSEVENI WAMEFANYA WANAYOWEZA BADALA Y AKUFANYA WANAYOTAMANI KUFANYA HATA KAMA HWATAWEZA.
Je! Unahici kutowakemea Wazungu kunamfanya kiongozi kuwa Bora, au kunaleta tija kwenye maisha ya Mtanzania,
Sitaki kusadiki kwamba hujui kihistoria na kimwenendo wa hiio dunia sasa wazungu ni watu wa kuturudisha nyuma kwenye nyanja yoyote ile ili tubaki tegemezi. SASA UNASEMA TUSIWAKEMEHE?! Duh
Endelea kumlaumu mzungu kwa kila kitu. Hata ukijisaidia barabarani hilo ni kosa la mzungu.