Umemsevu vipi mpenzi wako katika simu??

Umemsevu vipi mpenzi wako katika simu??

Nimesave kwa majina: kakobe, mzee wa upako, mwingira, gamanywa, pengo na kilaini. Mke wangu akiyaona hayo majina anafurahi kuwa nawasiliana na watumishi wa bwana.
 
Fundi Maji Tegeta, Fundu Umee wa Kawe, Fundi Saa wa Sinza, kutgemea nimempata wapi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom