Umemsevu vipi mpenzi wako katika simu??

Umemsevu vipi mpenzi wako katika simu??

mimi nime save Idara ya habari ""MAELEZO"" nikiboresha SHIHATA, maana hawaishi kuuliza uko wapi, unafanya nini, upo na nani, utarudi saa ngapi, nipe niongee na fulan kama uko kazini n.k
ha! ha! ha! ... hii kali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom