Umemsevu vipi mpenzi wako katika simu??

mdada kachukua simu ya mpenzi wake akaibip ili aone mpenzi wake kamsev kwa jina gani. Akajua litatokea jina kama Wife, honey, sweety au mpenzi. Lahaula jina lililotokea Agustino Fundi Majeneza.
hahahaaaa... hii kali sana aiseee
 
nimecheka mpaka watu wameniona chiz fulan, cyo vizur wanaume wabaya sana mtaunguzwz jehanum na mshahara ni hapa dunian
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom