simu ikiita haionyeshi namba wala jina coz nimeweka nukta.
Battery Low,mama watoto akiona amebeep ananiambia...'baba urassa simu yako itazma sasa hv,coz ishaanza kulia charge'
nimemsevu majani ya chai
Kumbe ndio umenifanyia hivyoooo eeeeh utakoma ukirudi nyumbani uutakuta nimekusevu alama ya ?
Mh Hii kali kweli, yaani fake Names
mke wangu akiona jina tu anaogopa hata kuishika simu....Hahahaah! Kwa nini umemsevu hivyo?
hahahah lazima atakuua tu huyu hawezi kukuacha,chukua zawadi ya nyimbo hii.
Nalog off
karibu.Asante DJ
Teh mi nimemsave kwa jina lake then small house nimewasave 'Afande P'..Engineer F...Beeper...unknown
Ya wife nimesave ma wife lakin ya vimada moja nimesave fundi umeme, cement, nondo hyo yote kwasababu hatujamalzia nyumba.