Nasikia toka
Lizzy apotee hapa jamvini
Bishanga kawa mpole na ndio hasa nia ya kutulia na mmoja ambae ni
The secretary. Nimepata fununu pia kuwa
Cantalisia,
Mwali,
obsesd,
Smile na
Okya walifumwa wakijadili jinsi gani wanaweza kujisajili kikundi cha wadada wa mjini kwa madai kuwa wanataka wawe wana run lile city la Jamii. Hata hivo hilo lengo lao liliingia dosari kwa sababu hawakuwashirikisha dada zao wakubwa kama
Zion Daughter,
Roulette,
FirstLady1,
Chauro,
WiseLady,
Preta,
blacki womani
BelindaJacob na
Keren_Happuch.
Nasikia chama kuu MMU cha Infidel kinakufa kiutendaji baada ya
Kaizer kuonekana anaenda kinyume na sheria mama za chama. Hio imefanya Darling shem
Asprin akiongozwa na @RR, waite kikao cha dharura cha wanachama wachache tu; yaani
Kimey,
TIMING,
Dreamliner,
Baba_Enock,
Fidel80,
Teamo,
The Finest,
The Boss,
klorokwini,
Memo,
Bigirita, kwa ajili ya hatma ya hicho chama.
Pia toka chama cha wabeba ma box kisajiliwe na
Nyani Ngabu hapa jf nimepata tetesi kuwa kimepata wanachama wengi sana (atae hakiki hizi habari nitashukuru sana), wakiwemo
jmushi1,
BAK,
Kiranga,
Steve Dii,
Mr Rocky na
Ndahani majina mengine sijasikia... Ila Mzee
Dark City hata hiyana atanipatia tu. lol
Nilitaka kusahau, soon kwa yeyote mwenye sherehe inayohitaji mapambo na maposhi ya cake
afrodenzi kafungua kampuni.