Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,352
Shhiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!We kajamaa kujifanya kafuuundi!
Shhiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!We kajamaa kujifanya kafuuundi!
Unaona sasa? Yaani AshaDii ntakushtaki kwa kumuambukiza Zion Daughter umbea wako.
Hahahahaha......... naona ushakuwa mtaalam wa fotoshopu kama mtotosix @C6. Khaaa!!
hubby si nimekwambia nimekumiss!!??hahahahaha......... Naona ushakuwa mtaalam wa fotoshopu kama mtotosix @c6. Khaaa!!
Kwanini hukuniamsha asubuhi? Huoni nimechelewa kwa mkoloni? Nikifukuzwa tutakula nini?hubby si nimekwambia nimekumiss!!??
hubby maendeleo ni kama tulivyoongea mtaa wa tatu! ila baada ya wiki moja wanadai ile kazi itakuwa imekamilika, itabaki kula bata tu sasa! STUKA hubby THINK!Kwanini hukuniamsha asubuhi? Huoni nimechelewa kwa mkoloni? Nikifukuzwa tutakula nini?
Haya nijaalie hali yako na unipe maendeleo ya ile kazi nlokupa.
Orayt, ngoja nikakutongozee mtaa wa pili. Nna mahaba yako sana!hubby maendeleo ni kama tulivyoongea mtaa wa tatu! ila baada ya wiki moja wanadai ile kazi itakuwa imekamilika, itabaki kula bata tu sasa! STUKA hubby THINK!
Hahahahaha!
kwi kwi kwi! we kweli hamnazo, lolest!Hahahahaha!
nakungojaje sasa shemeji??