gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
jamani leo ni j1-1 ila kiukweli kazi zimeisha mapemaaa kwa ofc sina cha kufanya nikaamua nijitupe jf nikanza MMU nimeona leo hakuna dili na sina topic ya kuitupamo huko nikaona niende siasani nikaona duh! hapa nanukia harufu ya kumtusi mtu sasa nifanyeje? nikaenda kwenye photos huko nikakutana na Boflo nikaona kaamua makusudi kunifupuishia wiki nikasema sasa ili niifupishe vyema basi nije chit chat hapa nipatemo umbea kidogo.
haya sasa shosti wangu na msiri wangu wa ukweli cacico njoo ukiwa na wake wenzio wote BADILI TABIA Yummy pamoja na dada yangu mkubwa AshaDii nipeni umbea jamani lol!
haya wadada wote wa jf nipenipo umbea mkiongozwa na King'asti, Kongosho, snowhite wakiwa na Kaunga nitupienipo umbea tafadhali ninahamu na umbea.
hivi nimesahau wanaume nao huwaga wanagossip sasa leo nataka Mr Rocky, Asprin KARIA Ndahani BAK @mpitwaga Bishanga na wanaume wote wa jf njooni leo mnipenipo umbea jamani.
chombezo: mwanamke umbea kusutwa sunna atii.
haya sasa shosti wangu na msiri wangu wa ukweli cacico njoo ukiwa na wake wenzio wote BADILI TABIA Yummy pamoja na dada yangu mkubwa AshaDii nipeni umbea jamani lol!
haya wadada wote wa jf nipenipo umbea mkiongozwa na King'asti, Kongosho, snowhite wakiwa na Kaunga nitupienipo umbea tafadhali ninahamu na umbea.
hivi nimesahau wanaume nao huwaga wanagossip sasa leo nataka Mr Rocky, Asprin KARIA Ndahani BAK @mpitwaga Bishanga na wanaume wote wa jf njooni leo mnipenipo umbea jamani.
chombezo: mwanamke umbea kusutwa sunna atii.
Last edited by a moderator: