Umaarufu wa bi mkubwa kulikoni

Umaarufu wa bi mkubwa kulikoni

Wakuu habarini za uzima.

Niende moja kwa moja kwenye mada hivi mbona kama umaarufu wa raisi umepungua yaan raisi wetu hasikiki sana kama ilivo kuwa mwanzo.

Ma inside man Kuna Nini kinaendelea au ni hisia zangu tu?
Gentleman,
umaarufu sio kitu cha maana au muhimu sana kwenye masuala ya kuongoza nchi na kuwaletea waTanzania maendeleo endelevu kijamii, kisiasa na kiuchumi.

watafuata umaarufu nadhani nadhani wanafahamika vizuri kwa kila mtu hususani Tanzanai, right?

ni watu wa porojo, uzushi na drama za kutafuta tension, kiki na public sympathy nonsense,
but serikali sikivu ya ccm chini ya kiongozi wake madhubuti sana DR.SAMIA SULUHU HASSAN inawajibika kufanyia kazi waTanzania na sio kutafuta umaarufu :KKonaW:
 
Mbona umaarufu wake umeongezeka toka Oct/29 hukuona January alipewa tuzo

Kama huamini nenda google andika

The "tyranty president of the year 2025" Rais katili zaidi
wa mwaka 2025 usipopata Jina lake mje hapa na mikwaju

Kumbe ni kweli mkuu
IMG_8370.jpeg
 
Mbona umaarufu wake umeongezeka toka Oct/29 hukuona January alipewa tuzo

Kama huamini nenda google andika

The "tyranty president of the year 2025" Rais katili zaidi
wa mwaka 2025 usipopata Jina lake mje hapa na mikwaju
Mkuu lakini mtaani hasikiki sana Kuna ile hata kama mtu huna smartphone lkn habari za raisi lzm utasikia tu lakini ni kama saiv yupo kimya sana
 
Gentleman,
umaarufu sio kitu cha maana au muhimu sana kwenye masuala ya kuongoza nchi na kuwaletea waTanzania maendeleo endelevu kijamii, kisiasa na kiuchumi.

watafuata umaarufu nadhani nadhani wanafahamika vizuri kwa kila mtu hususani Tanzanai, right?

ni watu wa porojo, uzushi na drama za kutafuta tension, kiki na public sympathy nonsense,
but serikali sikivu ya ccm chini ya kiongozi wake madhubuti sana DR.SAMIA SULUHU HASSAN inawajibika kufanyia kazi waTanzania na sio kutafuta umaarufu :KKonaW:
Mkuu umaarufu ni muhimu sana kwa position aliyo kuwa nayo yeye. Kuna ile hata kama huna smartphone ila habari za raisi lazima uzisikie
 
Mkuu umaarufu ni muhimu sana kwa position aliyo kuwa nayo yeye. Kuna ile hata kama huna smartphone ila habari za raisi lazima uzisikie
nadhani watafuta kiki, tensioni, public sympathy na umaarufu wanafahamika sana humu nchini gentleman,

lakini Dr.samia suluhu hassan amepewa dhamana na umma wa waTanzania, kuongoza nchi na kuwaletea maendeleo wananchi na sio kutafuta umaarufu jambo ambalo ni useless tu, kwa watu wachapakazi kama Dr samia suluhu hassan,

labda hiyo ni muhimu kwa watu wavivu na na wale wauza sura ambao kutwa nzima wapo kwenye vioo kujitazama :NoGodNo:
 
Mambo yamekuwa mengi, akitokeza yanaimbuka mengi zaidi... Wasaidizi wake nao wanazidi kumharibia kila kukicha kwa kauli zao.
 
Muda huu tupo Kurasini kwenye sherehe za kufunga mafunzo ya maafisa na wakaguzi wasaidizi wa polisi! Unataka nini mtoa mada?
 
Back
Top Bottom