machafuko jr
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 856
- 1,873
Wakuu habarini za uzima.
Niende moja kwa moja kwenye mada hivi mbona kama umaarufu wa raisi umepungua yaan raisi wetu hasikiki sana kama ilivo kuwa mwanzo.
Ma inside man Kuna Nini kinaendelea au ni hisia zangu tu?
Niende moja kwa moja kwenye mada hivi mbona kama umaarufu wa raisi umepungua yaan raisi wetu hasikiki sana kama ilivo kuwa mwanzo.
Ma inside man Kuna Nini kinaendelea au ni hisia zangu tu?

