UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 18,121
- 9,531
Kwani kuna serikali iliyo chini ya rais gani hapa Tanzania ambayo haikusemwa kuwa ni sikivu na inawajibika kufanyia kazi watanzania? Yaliwekwa mabango nchi nzima yakimsifia Samia kwa sifa mbalimbali halafu wewe leo unakuja kusema sio kitu muhimu, haya tuambie yale mabango nchi nzima aliweka ya nini au yalisaidia vp wananchi katika maendeleo?Gentleman,
umaarufu sio kitu cha maana au muhimu sana kwenye masuala ya kuongoza nchi na kuwaletea waTanzania maendeleo endelevu kijamii, kisiasa na kiuchumi.
watafuata umaarufu nadhani nadhani wanafahamika vizuri kwa kila mtu hususani Tanzanai, right?
ni watu wa porojo, uzushi na drama za kutafuta tension, kiki na public sympathy nonsense,
but serikali sikivu ya ccm chini ya kiongozi wake madhubuti sana DR.SAMIA SULUHU HASSAN inawajibika kufanyia kazi waTanzania na sio kutafuta umaarufu![]()
