R_Breazy
JF-Expert Member
- Aug 28, 2025
- 273
- 559
Habari za w'end wakuu
Niende moja kwa moja tu bila chenga, akili imewaza ila sijapata mwafaka.
Thread zangu za nyuma zinaweza kuwa reference ya kile nachopitia, anyway:
Wakuu nipo mjini DSM na hadi Saivi nipo mahakama fulani nijitolea, kuna kipindi nilipitia wakati mgumu hadi nikatamani kurudi kwa mzazi mwenzangu, shida tu alikuwa likizo na bahati mbaya niliondoka baada ya ugomvi mkubwa sana - Saivi karudi na anataka niende nkafanye kilimo nikiwa nasubiri pengine kibarua, mwanzo nilishindwa kukubali moja kwa moja sababu nilikuwa nasubiri passport yangu, mpaka kuja kuipata tayari nilikuwa nimeshapata mahali pa kujitolea(mahakamani) niliona sawa kupata elfu tano tano mara moja moja kuliko kubaki iddle nyumbani.
Probability ya kuja kuajiriwa ni ndogo Sababu hasa wanahitaji watu wenye diploma (Rumors nilizosikia) kazi niliyopewa ni ukarani-kwa wiki mbili tu nlizoserve itoshe kusema wanaume tuwe makini sana na wanawake hasa hawa wanawake wa ndoa 🙌
Nistoke kwenye mzizi wa thread, nafanya with no hope kwamba pengine naweza kupata gape la kuja kuajiriwa, kiuhalisia sioni kama itakuwa kama navyotamani, kumbuka yote yanajiri nipo kwa mshikaji wangu-haonyeshi kunichoka kulingana na hali yangu ananisaport sana kwa kila namna. Kuna muda hadi nasikia aibu hapa ndipo mawazo yanapoanza kwamba nikiondoka ataona nimedharau jitihada zake, lakini pia fursa dar ni nyingi; je naondoka dar then What?? changamoto nyingine ni mimi nitabaki kwake hadi lini, jibu linakuja lazima nitafute kwangu kama kidume-kwa kazi ipi? Hili ni swali jingine.
Option yangu inabaki bora nirudi kwa mzazi mwenzangu ila changamoto kama mnavyojua jinsia upande wa pili hisia zikipungua plus yeye anahudumia dharau zinaanza, ijapo tayari tumeshapangilia nini cha kufanya, bad thing TAMISEMI wamemtupa KIJIJINI haswa Njombe ndani ndani uko so pow, mwaka huu kalima heka 1 kapata gunia 13 za mahindi.
Najua wengi humu mmepitia/kuona haya mna experience za kutosha, hivyo mawazo yako ni muhimu.
Nitachukua kile ambacho kitafaa ili nifanye maamuzi sahihi zaidi kwamba "nibaki Dar au niende Njombe"
Natanguliza shukrani, karibu nipate mawazo yenu🙏🙏
Niende moja kwa moja tu bila chenga, akili imewaza ila sijapata mwafaka.
Thread zangu za nyuma zinaweza kuwa reference ya kile nachopitia, anyway:
Wakuu nipo mjini DSM na hadi Saivi nipo mahakama fulani nijitolea, kuna kipindi nilipitia wakati mgumu hadi nikatamani kurudi kwa mzazi mwenzangu, shida tu alikuwa likizo na bahati mbaya niliondoka baada ya ugomvi mkubwa sana - Saivi karudi na anataka niende nkafanye kilimo nikiwa nasubiri pengine kibarua, mwanzo nilishindwa kukubali moja kwa moja sababu nilikuwa nasubiri passport yangu, mpaka kuja kuipata tayari nilikuwa nimeshapata mahali pa kujitolea(mahakamani) niliona sawa kupata elfu tano tano mara moja moja kuliko kubaki iddle nyumbani.
Probability ya kuja kuajiriwa ni ndogo Sababu hasa wanahitaji watu wenye diploma (Rumors nilizosikia) kazi niliyopewa ni ukarani-kwa wiki mbili tu nlizoserve itoshe kusema wanaume tuwe makini sana na wanawake hasa hawa wanawake wa ndoa 🙌
Nistoke kwenye mzizi wa thread, nafanya with no hope kwamba pengine naweza kupata gape la kuja kuajiriwa, kiuhalisia sioni kama itakuwa kama navyotamani, kumbuka yote yanajiri nipo kwa mshikaji wangu-haonyeshi kunichoka kulingana na hali yangu ananisaport sana kwa kila namna. Kuna muda hadi nasikia aibu hapa ndipo mawazo yanapoanza kwamba nikiondoka ataona nimedharau jitihada zake, lakini pia fursa dar ni nyingi; je naondoka dar then What?? changamoto nyingine ni mimi nitabaki kwake hadi lini, jibu linakuja lazima nitafute kwangu kama kidume-kwa kazi ipi? Hili ni swali jingine.
Option yangu inabaki bora nirudi kwa mzazi mwenzangu ila changamoto kama mnavyojua jinsia upande wa pili hisia zikipungua plus yeye anahudumia dharau zinaanza, ijapo tayari tumeshapangilia nini cha kufanya, bad thing TAMISEMI wamemtupa KIJIJINI haswa Njombe ndani ndani uko so pow, mwaka huu kalima heka 1 kapata gunia 13 za mahindi.
Najua wengi humu mmepitia/kuona haya mna experience za kutosha, hivyo mawazo yako ni muhimu.
Nitachukua kile ambacho kitafaa ili nifanye maamuzi sahihi zaidi kwamba "nibaki Dar au niende Njombe"
Natanguliza shukrani, karibu nipate mawazo yenu🙏🙏