Anapaswa kujiuzulu mara moja!Wakuu habarini za uzima.
Niende moja kwa moja kwenye mada hivi mbona kama umaarufu wa raisi umepungua yaan raisi wetu hasikiki sana kama ilivo kuwa mwanzo.
Ma inside man Kuna Nini kinaendelea au ni hisia zangu tu?
Anapaswa kujiuzulu mara moja!Wakuu habarini za uzima.
Niende moja kwa moja kwenye mada hivi mbona kama umaarufu wa raisi umepungua yaan raisi wetu hasikiki sana kama ilivo kuwa mwanzo.
Ma inside man Kuna Nini kinaendelea au ni hisia zangu tu?
Unachokifanya ndio useless, na ungekuwa na kazi ya msingi ya kufanya usingekuwa na huo muda wa kujipa kazi ya kusifia na kutetea serikali humu JF maana hakuna faida yeyote zaidi ya uchawi tu.Gentleman,
mim sihitaji wala sina haya ya umaarufu wa aina yoyote popote pale, bali ile ya maana zaidi kwangu ni kuchapa kazi na kueleza ukweli mtupu kwenye mambo ya msingi tu,
hiyo maswala mengine kwangu ni useless na completely nonsense 🐒
😀. Nimecheka kama mazuri. Waingereza bana eti TryantMbona umaarufu wake umeongezeka toka Oct/29 hukuona January alipewa tuzo
Kama huamini nenda google andika
The "tyranty president of the year 2025" Rais katili zaidi
wa mwaka 2025 usipopata Jina lake mje hapa na mikwaju
mimi niko kazini kila saa na kila wakati gentleman,Unachokifanya ndio useless, na ungekuwa na kazi ya msingi ya kufanya usingekuwa na huo muda wa kujipa kazi ya kusifia na kutetea serikali humu JF maana hakuna faida yeyote zaidi ya uchawi tu.
Kama unadai Samia anapiga kazi na haitaji umaarufu basi acha tuone vitendo vikiongea kulikuwa hakuna haja wa watu kama nyie kuja kuelezea.
Acha huo ukweli uongee wenyewe au huo ukweli unakutegemea wewe kuongelea?mimi niko kazini kila saa na kila wakati gentleman,
baada ya kupata nafasi ya mapumziko kidogo dhidi ya kazi nzito na muhimu sana za wananchi, hivi sasa niko shambani nang'oa karanga, na majembe yangu hapa watu wa kazi, kabla ya kuanza kuvuna alizeti na mahindi next week, ekari zangu mi4, sijui itakuaje aise.
Gentleman,
mimi ni mtu kazi kazi kwenda mbele ingawa muda ni machache mno.
Sibabaiki wala sihangaiki na porojo nonsense jukwaani, bali kueleza ukweli mtupu, kwenye mambo ya msingi tu. Full stop 🐒
in fact,Acha huo ukweli uongee wenyewe au huo ukweli unakutegemea wewe kuongelea?
"Kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza”in fact,
kueleza ukweli mtupu kwenye mambo ya msingi tu ni Neema na Baraka za Mungu pekee.
Sio wote mnaweza kupata baraka hii gent, na ndio maana mnajikuta mnang'ang'ana na kubabaika sana na porojo 🐒
Hahahahaha hatari sana😀. Nimecheka kama mazuri. Waingereza bana eti Tryant
Ni kwa sababu hakustahili umaarufu tangu mwanzo.Wakuu habarini za uzima.
Niende moja kwa moja kwenye mada hivi mbona kama umaarufu wa raisi umepungua yaan raisi wetu hasikiki sana kama ilivo kuwa mwanzo.
Ma inside man Kuna Nini kinaendelea au ni hisia zangu tu?
Hahaha Ni kweli kabisaKumbe ni kweli mkuu
View attachment 3596244
KARIBU ANAKABIDHI COUNT DOWN 2 YRSWakuu habarini za uzima.
Niende moja kwa moja kwenye mada hivi mbona kama umaarufu wa raisi umepungua yaan raisi wetu hasikiki sana kama ilivo kuwa mwanzo.
Ma inside man Kuna Nini kinaendelea au ni hisia zangu tu?
Gentleman,"Kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza”
kila la heri kwenye huko kuelezea huo unaoita ukweli wa upande uliyouchagua.
Duuuh noma kweli kweliKARIBU ANAKABIDHI COUNT DOWN 2 YRS
Duh,Mbona umaarufu wake umeongezeka toka Oct/29 hukuona January alipewa tuzo
Kama huamini nenda google andika
The "tyranty president of the year 2025" Rais katili zaidi
wa mwaka 2025 usipopata Jina lake mje hapa na mikwaju
Salamu za amani ipi? Mbona huo wimbo ulishapitwa na wakati Tanzania, hakuna tena Tanzania ya amani.Gentleman,
hivi hayo hua ni maneno ya kwenye kanga na vitenge tu,
au huwa ni msemo wa wahenga?
karibu sana na na kutakia kila lililo jema katika huo upande ulojagua.
Nifikishie salamu zangu za amani kwa wote huko mtaani kwako 🐒