Majeshi ya Tanzania yanahusikaje sasa na hiyo taarifa ya M23 kuufikia mji wa Walikale? Wewe akili zako ziko matakoni tu
Ikiwa mnajua kwamba hamuwezi kupigana vita na Tanzania hata kwa wiki moja kwanini mnaichokoza?
Unaandika upumbavu tu kwa vile na wewe ni Mnyarwanda. Kitu pekee anachojivunia Paul Kagame ni sympathy ya dunia dhidi ya genocide ya 1994.
Dunia inamhurumia, period. Mwakibolwa mwaka 2013 wakati wa KIKWETTE aliwasha moto na Kagame anaujua
Hukumbuki tuliwasambaratisha m23 aka Rwanda army mpaka Rais wao paka akaanza kulialia?Tanzania ikiamua wiki tu wanajeshi wetu wanakunywa chai hapo ikulu yenu.mnaionea DRC kwa sababu ni failed state.Tanzania ipi? Hii ya jeshi kuambiwa isimamie uchaguzi. Punguza utani.
Wewe muambie huyo kagame wako asijaribu Tanzania hata kidogo au tutamuweka mtu mwingine awe Rais.Hivi ilikuwa ni Kagame au M23. Kagame hamumuwezi hata kidogo. Nyie endeleeni kuwateka akina Soka.
Hivi, hiyo Mwanza unayoiongelea unaijua au unaongelea Mwanza ya mwaka 2000!Ukubwa wa Kigali unalingana na Mwanza Jiji. Magufuli City padogo Sana.
Funga safari uende utapata tuNapataje pisi Kali ya kitusi?
Hahahahaha waachie mashetani watatembelewa na mashetani wenzaohyo sikai hata kwa bakora.nyie ni mashetani
kabisaa kiukweli tangu lile tukio la 1994 hyo nchi siitamaniHahahahaha waachie mashetani watatembelewa na mashetani wenzao
Unaenda mbali Sana. Weka akiba ya maneno.Mimi ni Mtanzania Rwanda ikiamua inaweza kuichukua Tanzania nzima asubuhi na mapema. Wanajiamini ndio maana wanatuchokoza huu ndio ukweli.
Hatuna jeshi. Yaani njooni tu mchukue nchi au hamuitaki?Hamna ndugu yangu leta facts hapa kwamba tuna jeshi. Jeshi letu imegfanya nini la maana ndani ya miaka kumi iliyopita. Kama sio kusafisha miji wapinzani wakiandamana ?
Hahahahahahahaha kwa hiyo, unahisi bado yale yale? Je, ungekumbwa nalo sasa si ungejinyonga? Nakuhakikishia hakuna sehemu salama na nzuri ya kutembelea kama unataka kurelax kama ilekabisaa kiukweli tangu lile tukio la 1994 hyo nchi siitamani
alitumia account yake kuupa airtime ule mgomo, ukifuatilia kwa umakini watekwaji wengi wanatekwa kwa visababu vidogo mno, kuliko uhalisia mfano sababu ya Russia kuivamia Ukraine haindenani na mauaji yanayoendelea…Hiyo ndiyo excuse yenu ya kibwege. Yeye ana biashara gani sokoni Kariakoo mpaka awe FRONT?
Watusi wafup kama beseni tupo wengi saana asee wazee kwa vijana.Hivi Rwanda kuna wazee wafupi ambao ni watutsi
ungeanza wewe kujiheshimu sio unakuja hapa na stress za maisha unaleta mdomo mrefu kama mwaka wa njaaJiheshimu.
Kama kweli magu alilindwa na wanyarwanda ktk ardhi ya tz hilo sio kosa la JWTZ. Nikama raisi kuvuta bhangi anapokuwa kwenye vikao nyeti vyq maamuzi hiyo ni hulka ila ina madhara kwa taifa husika au kwa kiongoz husika.Kwa nini Magu alilindwa na wanajeshi wa Rwanda ? Kwa nini M23 ameteka mji mwingine na dunia nzima hakuna wanachofanya ? Baada ya Rais Filipe Nyusi kuja kuomba msaada . Kwa nini JWTZ ilishindwa kwenda msumbiji na kuangamiza magaidi waliowaua watanzania huko ? Amka usingizini hatuna jeshi na Rwanda ikiamua inachukua nchi nzima.