CalvinKevoo
Member
- Feb 7, 2025
- 43
- 91
Kuhusu kutoka hawakuwah kuniuliza sababu nilikuwa nakaa kwa muda ule ule walio niandikia kwenye pasportMara ya mwisho umeingia lini? Je, umepewa siku ngapi baada ya kuulizwa maswala hayo? Ulipotoka, uliwahi kuulizwa kwa nini umechelewa?
Kwa nini usizidishe uoneKuhusu kutoka hawakuwah kuniuliza sababu nilikuwa nakaa kwa muda ule ule walio niandikia kwenye pasport
Ya nini nijitafutie matatizo kwenye nchi za watuKwa nini usizidishe uone
Hivi, kila mtu ameshakuwa mwanasiasa na msemaji wa jeshi huko? Unachokiita uchokozi ni nini? Kama imechokozwa, ilishindwa kujibu?Ikiwa mnajua kwamba hamuwezi kupigana vita na Tanzania hata kwa wiki moja kwanini mnaichokoza?
Kwamba sativa alilomba mke wa mfwele??? Weee jamaa kuchwani ni mweupe sanaSiyo kweli. Sativa alikuwa anacheat na mke wa Polisi. Polisi tu walitumia madaraka vibaya kwa kumjeruhi na kumtupa Katavi. Magufuli alikuwa anamiliki mwenyewe kikundi cha wasiojulikana chini ya Makonda. Ndicho lilomshambulia Tundu Lissu
Ni.3 ni mila zenu za ki Tutsi na haya tumekuwa tukishuhudia hata hapa bongo, ni vipi mambo ya kimila yakaingiliwa na serikali???1. Wanachoangalia ni umri: -Under 14 akipewa akidinyana na under 14 mwenzake, kuna gereza la watoto, huko wanaendelea na shule, si kama mtu mzima. Mara nyingi hawamalizi vifungu, kila mwaka raisi hutoa msamaha, hivyo uadilifu wake ndo utamfanya awahi kutoka .
a.) Kama mtoto ni under 14, hukumu ni kifungu cha maisha
b.) Kama mtoto ni under 18, nadhani kati ya 20 na 25 jera. Ila kama kitendo hicho kimemuachia ulemavu wa kudumu au kumuambukiza magonjwa yasiyo na tiba, debe maisha yako yote.
2. Kwa mjibu wa katiba ni 21.
Ila kwa sasa kama kuna sababu zinazoeleweka, uongozi wa wilaya unaweza kuruhusu ndoya kwa miaka 20.
3. Hilo halipo tena. Ikikutokea, basi ni kama kuteka kwa nia mbaya, na adhabu yake si chini ya miaka 10.
3. Sasa, unachokiita mila ni nini? Kumbuka, leo kuna haki. Wewe mdogo wako miaka 15 akiolewa pasi na ridhaa yake utalifumbia macho? Mbona kila kukicha kwenu mnakemea ukeketaji wa watoto wa kike! Si mila kwenu? Kumbuka, kuna maisha ya kipoli poli, nadhani ukienda Kagera kwa wanyambo unaweza ukayakuta hayo. Ila mjini huwezi.Ni.3 ni mila zenu za ki Tutsi na haya tumekuwa tukishuhudia hata hapa bongo, ni vipi mambo ya kimila yakaingiliwa na serikali???
Una chochote unachojiuliza kuhusu Rwanda?
Una chochote unachotaka kujua kiundani zaidi?
Una chochote ulichokisikia na bado umebaki njia panda!!
Iwe jambo la maana, iwe utani, iwe siasa, chochote, uliza utajibiwa hapa hapa.
Rwanda ndo nchi pekee barani Afrika, ukiingia huulizwi utakaa siku ngapi na unaenda kufanya nini. Kama unataka, funga mizigo yako hamia, kama una biashara yako, fanya, kama una ujuzi wako, omba ajira, ukipewa hakuna wa kuja kuuliza mbona huyu si mnyarwanda, kasoro serikalini tu. Ila na penyewe ikiwa una ujuzi ambao wanyarwanda hawana, kupata ajira ni simple.
Hilo si kweli. Endapo utajihisi, hapo litakukuta. Uwezo wa intelligensia ya Rwanda,upo juu. Wanayofanya magaidi kwingine, hata Rwanda mara kibao walijaribu,na hawakufanikiwa. Hivyo basi, unavyowasiliana na watu, unapotoka, mwenendo wako, kama vinatia shaka, hiyo hali inaweza ikawepo. Hata mawasiliano yako yanaweza yakafatiliwa, hakuna cha ajabu. Ila kama wewe huna nia mbaya, hayo utakutana nayo wapi?Kwa Nini hasa mtu mgeni au Raia wa Kigeni ukifika nchini Rwanda unakuwa unafuatiliwa sana kwa Siri na Mapolisi wa Siri wanaoitwa SEPO? Kwa nini hali ipo hivi ya kufuatiliwa sehemu zote kabisa utakazokuwepo kama vile nyumbani, Hotelini, Lodge, Sokoni na mahali kwingine kote utakapoenda?
Je, ina maana Jeshi la Rwanda limewapatia Raia wake wote Matunzo ya kuwafuatilia (Surveillances) Wageni wote wanaowasili kwenye nchi hiyo ya Rwanda?
Je, hamuoni kwamba hilo ni tatizo kubwa sana kwa Wageni au Watalii wenye nia ya kuzuru kwenye nchi hiyo hususani kuhusiana na Kampeni yenu ya Visit Rwanda???
Hahahahaha waache waulize. Wakati mwingine pia inasaidia kujua watu wana pesa za kuchezea, akili zao zimekaeje. Kuna maswali mhimu na ya maana, kuna na wengine kama vile hawana cha kuulizaMnauliza maswali ya kijinga jinga
Na ndio sifa ya mjinga kutaka kuelevuka kwa kile ambacho hakijui so, tuliza simi lako refu Msimbe wewe, mtu kasema maswali yeyote hata ya utani wewe unakuja speed kama malaya bar kaona biaMnauliza maswali ya kijinga jinga
Hivi wale wa Tutsi kama sio wanyarwanda waliojazana kwa wingi kuanzia ukingo wa ziwa chamchuzi, maeneo ya halmashauri ya wilaya ya kyerwa ukiwa unaelekea Kaisho, pamoja na wale walio sehemu za kihanga barabara ya kuelekea mto kagera, walio poli la nyaishozi mpaka kule mbele panaitwa kyanyamisa kuelekea pori la benako mpaka burigi mna taarifa nao sahihi kwa maana ya idadi yao na wapo nchini hapa kwa mission gani, maana sio idadi kubwa kiasi kile kuna mda unafika maeneo Yale mpaka unaingiwa na hofu kana kwamba usha visit Rwanda, hivi jinsi walivyo wengi huku kwetu ni sawa na wa bongo walio vuka huko upande wa Rwanda???Hilo si kweli. Endapo utajihisi, hapo litakukuta. Uwezo wa intelligensia ya Rwanda,upo juu. Wanayofanya magaidi kwingine, hata Rwanda mara kibao walijaribu,na hawakufanikiwa. Hivyo basi, unavyowasiliana na watu, unapotoka, mwenendo wako, kama vinatia shaka, hiyo hali inaweza ikawepo. Hata mawasiliano yako yanaweza yakafatiliwa, hakuna cha ajabu. Ila kama wewe huna nia mbaya, hayo utakutana nayo wapi?
Mimi ni Mtanzania Rwanda ikiamua inaweza kuichukua Tanzania nzima asubuhi na mapema. Wanajiamini ndio maana wanatuchokoza huu ndio ukweli.Ikiwa mnajua kwamba hamuwezi kupigana vita na Tanzania hata kwa wiki moja kwanini mnaichokoza?
Acha ubwege wewe unaishia kujutana na maafisa ugavi tu hakuna unachojuwa kuhusu TPDFHuko kote nimepita ni ujinga mtupu mpaka unajiuliza hivi tunawapa jeshi hela kweli ?
Unaandika upumbavu tu kwa vile na wewe ni Mnyarwanda. Kitu pekee anachojivunia Paul Kagame ni sympathy ya dunia dhidi ya genocide ya 1994.Mimi ni Mtanzania Rwanda ikiamua inaweza kuichukua Tanzania nzima asubuhi na mapema. Wanajiamini ndio maana wanatuchokoza huu ndio ukweli.
Tatizo wewe bwege umemjua Sativa baada ya yeye kuokotwa Katavi. Lakini nina ku assure Sativa siyo mwanaharakati bali ni kijana wa betting 24/7Kwamba sativa alilomba mke wa mfwele??? Weee jamaa kuchwani ni mweupe sana
Kwani kuwa mwana betting na kutekwa kinahusisna vp, mambo ya utekaji kwani yameanzia kwa sativa au wote waliotekwa wana vinasaba vya kutembea na wake za watekaji??? Issue yake kutekwa ilihusishwa na yeye kuwa frontline kuhusu suala la wafanyabiashara wa k/koo kugoma kufungua madukaTatizo wewe bwege umemjua Sativa baada ya yeye kuokotwa Katavi. Lakini nina ku assure Sativa siyo mwanaharakati bali ni kijana wa betting 24/7