Hii sidhani kabisa mkuu, labda madams waliomo humu watatupatia ukweli Joline Kalpana Leejay49 y To yeye .navojua mimi huwa wanaangalia na aina ya mwanaume wa kum-manipulate au kumfanyia izo drama, na nilicho-observe mostly wenye izo drama drama walishaathiriwa na izi tamthilia na series za mapenzi jaribu kuchunguza mzee, wengi wao hutumia izo drama na manipulations kitikisa kiberiti na kupima kina cha maji kwa mwanaume wake.Weka akilini kua kwa mwanamke mapenzi na drama vinaenda sambamba. Hasa hasa kipindi cha uchumba na ndoa changa
Eti madams wa humu, kutafuta attention au kuwa cared, ni lazima mtufanyie drama drama na manipulations zisizoisha ?
