mrsleo
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 2,588
- 3,886
wewe ni mwanaume so huwezi kuelewa, mambo sio marahisi kama unavyozani unaweza umalize miezi 6 hujatongozwa na huyo anaekutongoza unakuta ni mume wa mtu, au ni mtu asieleweka huwezi tu kusema ndio kwa kila mtu my brother kisa tu unahitaji mahusianoMwanamke kwasiku anatongozwa na wanaume zaidi ya 3 kwa mwezi mmoja list ya wanamsumbua inafika 10 kuwa single ni kuamua aside hata na mmojs maana ticketi ya mwanamke kuwa kwenye mahusino ni kutamka tu "nimekubari" mwanaume tofauti kabisa
Hemu tumia ubongo kuchambua hoja mzee