Uliwezaje kuvuka maisha ya upweke na usingle?

Uliwezaje kuvuka maisha ya upweke na usingle?

Maisha ya hivyo nayamudu na kuyapenda sana, kiufupi nayafurahia mno.
 
Moja ya kitu huwa sielewi ni hiki, upweke huwa unaletwa na nn? Inakuwaje hadi unakua mpweke?
 
Arggh, Sina makando kando mzee.
👉Beside kwa sasa sitarajii kuwa na mahusiano,. Natazama maisha kwa utofauti sana.

Why nipo hapa duniani, naishi kwa sababu ipi??
👉Is it about doing reproduction on Earth, U Kuna next step we Africans tunaeza fanya!! Grahams
That's Maturity perspective 👏👏👏

Ukiona umefanikiwa kujitambua mapema hivyo, huna budi kumshukuru Mungu.

Wengi kwenye Umri wako, wameshakuwa waraibu either kwenye Uzinzi/Pombe/Madawa ya Kulevya n.k

Keep it up young man
 
That's Maturity perspective 👏👏👏

Ukiona umefanikiwa kujitambua mapema hivyo, huna budi kumshukuru Mungu.

Wengi kwenye Umri wako, wameshakuwa waraibu either kwenye Uzinzi/Pombe/Madawa ya Kulevya n.k

Keep it up young man
Let's keep the race on mzee💪, Kuna siku naangalia documentary pale discovery channel.
👉Baadae kukawa na mjadala fulani kwenye ki group Chetu, aisee sisi waafrika tuko nyuma ya wakati.

Tuna behave na ku act as if tuko Zama za utumwa
 
Ile hali unarudi ndani halafu pako kimya.
Hakuna wa kukupokea Wala kukuongelesha.
Unajikuta simu na Tv ndio mfariji wako.
Halooo.

Kuongea na mtu live mpaka kazini tena
Hamjazuiliwa kuvusha😄
 
Let's keep the race on mzee💪, Kuna siku naangalia documentary pale discovery channel.
👉Baadae kukawa na mjadala fulani kwenye ki group Chetu, aisee sisi waafrika tuko nyuma ya wakati.

Tuna behave na ku act as if tuko Zama za utumwa
Bado tupo zama za mawe za kati 😜

Kwa kweli Mungu awasaidie Vijana muweze kufikiri sawasawa, seems uwezo wenu wa kupambanua mambo umekuwa mdogo Kwa wengi wenu
 
Bado tupo zama za mawe za kati 😜

Kwa kweli Mungu awasaidie Vijana muweze kufikiri sawasawa, seems uwezo wenu wa kupambanua mambo umekuwa mdogo Kwa wengi wenu
Yap ni kweli, Kuna muda una pata wazo na deal nzuri.
👉Shida ni mtonyo wa ku finance Hilo.

Juzi nilikuwa sehemu Michelle kg 4000, ila nasikia Rwanda una uzwa elfu 10+.
Ni super safiii mzee
 
Tema mate chini mkuu Kuna nyakati hujawahi kuziexperience mshukuru mungu kakupitisha
Mimi ni mwanamke najua, na naijua sitution ilivyo kwasisi wanawake kwenye swala la mahusiano, ni mpaka usubiri kutafutwa na mwanaume, au ujitoe ufahamu ujilengeshe napo kuna mawili uonekane malaya uishie kuumizwa au ubahatike upate muelewa, either way situation kwa wanawake na wanaume ni tofauti, sasa mwanaume nyinyi ndo watafutaji unaamua leo nimtongoze yupi au nioe au nisioe, kuwahiyo kuwa single kwa mwanaume ni swala la kutaka
 
Mimi ni mwanamke najua, na naijua sitution ilivyo kwasisi wanawake kwenye swala la mahusiano, ni mpaka usubiri kutafutwa na mwanaume, au ujitoe ufahamu ujilengeshe napo kuna mawili uonekane malaya uishie kuumizwa au ubahatike upate muelewa, either way situation kwa wanawake na wanaume ni tofauti, sasa mwanaume nyinyi ndo watafutaji unaamua leo nimtongoze yupi au nioe au nisioe, kuwahiyo kuwa single kwa mwanaume ni swala la kutaka
Kuna kipindi mwanaume unaweza Togoza mademu hata mia ukakubaliwa na mmoja nae akakuzungusha na kukupa tunda asikupe
 
Kuna kipindi mwanaume unaweza Togoza mademu hata mia ukakubaliwa na mmoja nae akakuzungusha na kukupa tunda asikupe
hakuna kitu kama hicho unless uwe unatongoza wale ambao wako nje ya uhalisia wako. Mfano diamond huyu mwanamuziki wanawake wote ambao ameshakuwa nao mpaka sasa, kama nyota yake isingeng'aa kwenye muziki na kupata mafanikio aliyokuwa nayo kiuhalisia hakuna kati yao ambae angemkubalil hata mmoja
 
hakuna kitu kama hicho unless uwe unatongoza wale ambao wako nje ya uhalisia wako. Mfano diamond huyu mwanamuziki wanawake wote ambao ameshakuwa nao mpaka sasa, kama nyota yake isingeng'aa kwenye muziki na kupata mafanikio aliyokuwa nayo kiuhalisia hakuna kati yao ambae angemkubalil hata mmoja
Sasa ndo wanawake waliokuzunga inamaana kwa mantiki hiyo wote wako njee ya uwezo wako
 
mwanaume ndie anaetongoza mwanamke unasubiri kufatwa
Mwanamke kwasiku anatongozwa na wanaume zaidi ya 3 kwa mwezi mmoja list ya wanamsumbua inafika 10 kuwa single ni kuamua aside hata na mmojs maana ticketi ya mwanamke kuwa kwenye mahusino ni kutamka tu "nimekubari" mwanaume tofauti kabisa

Hemu tumia ubongo kuchambua hoja mzee
 
Back
Top Bottom