Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,224
- 96,083
U nusu albino wako😀🤣🤣wananiogopea nn 😂
U nusu albino wako😀🤣🤣wananiogopea nn 😂
😂 unazingua mkuuU nusu albino wako😀🤣🤣
Mimi ni jobless pro max 🤒😂 unazingua mkuu
We lazima wakukatae labda ukatafute darasa la 4 B huko mpanda.Mimi ni jobless pro max 🤒
Halafu mzee usichukulie poah ban
Huyu mzee anachukulia poa mambo hayako hivyo kabisa uku nje ni tafouti Sana hupat mtu kabisaHalafu mzee usichukulie poah ban
Mwanaume unataka kujaliwa kama mjamzito?
Hiyo yako ni extreme maana mimi masaa matatu kusikiliza wimbo mmoja labda uwe unanipa vibe nikiwa nafanya kitu flani😁😁😁😁Kuna siku nime sikiliza wimbo zaidi ya siku 2.
👉Waka jua nime safiri🤣😀
Ulivyo toka Hawa kukimbia kweli🤣😀Hiyo yako ni extreme maana mimi masaa matatu kusikiliza wimbo mmoja labda uwe unanipa vibe nikiwa nafanya kitu flani😁😁😁😁
Ila zamani kuna sehemu niliishi niliwachanganya sana, nikiwa ndani hawajui na nikitoka hawajui. Kuna siku wanajichanganya wananipiga jungu wakati nipo ndani nawasikiliza 😁
Hapanaa na sikutaka wajue kwa sababu ilikuwa ni tabia yao kupiga majungu mtu ambaye katoka kwa wakati huo. Mbaya zaidi kati yao walikuwepo watu wenye career zao so, nikaona hawa hawatobadilika hata nikitoka na naliishi nao fresh tu hadi nilipoondokaUlivyo toka Hawa kukimbia kweli🤣😀
Uli wastahi vizuri, sema Mimi nisinge weza🤣😀Hapanaa na sikutaka wajue kwa sababu ilikuwa ni tabia yao kupiga majungu mtu ambaye katoka kwa wakati huo. Mbaya zaidi kati yao walikuwepo watu wenye career zao so, nikaona hawa hawatobadilika hata nikitoka na naliishi nao fresh tu hadi nilipoondoka
Oya nina Dem wa ndoto yako🤣😀We lazima wakukatae labda ukatafute darasa la 4 B huko mpanda.
Uwezi kuwa na dem wa ndoto zangu, nilishambwagaOya nina Dem wa ndoto yako🤣😀
Dem unaye muita kuwa naye, wahuni tusha rekebisha kitaambiiUwezi kuwa na dem wa ndoto zangu, nilishambwaga
Mkuu upweke ni ugonjwa mkubwa sana aisee
Hahaaaaa ukiweza kuishi kwenye jamii ya waswahili hakuna unafki hautoweza ustahimili..Uli wastahi vizuri, sema Mimi nisinge weza🤣😀
Mi siku hizi nawa potezea tu,Kuna mwana wa karibu sana.Hahaaaaa ukiweza kuishi kwenye jamii ya waswahili hakuna unafki hautoweza ustahimili..
Binafsi nikitoa energy yangu kwa mtu akifanya upuuzi bhasi ujue nathamini sana uhusiano wetu, nikipuuza ni aidha amenipuuza au la uhusiano wetu hauna umuhimu sana
Ishi humo mkuu ila usiangalie sana hisia kuliko life lenyewe na isitoshe kwa sasa uwezekano wa kukutana na watu real ni mdogo mnoo. Wengi ni wanafki bro, kwa hiyo ukiona unafki wa mtu, unamuwekea mipaka na kama ni wa kukuumiza haswa kwenye fursa ndio unamkataMi siku hizi nawa potezea tu,Kuna mwana wa karibu sana.
👉Nilivyo mkaushia haamini kabisa