Sasa ukiwa na mwenza kwani anakuzuia kufanya yote hayo 😄Mbona mm napenda hayo maisha jamni full kupumzika😀
Napika huku naimba
natoka chooni uchi had chumbani naenjoy 😂😂nacheza mziki humo ndani nikitosheka naingiamtandaoni Nacheka had jino la mwisho
Nina aibu 😂😂Sasa ukiwa na mwenza kwani anakuzuia kufanya yote hayo 😄
Mwanamke unakuwaje mpweke wakati kwa siku unatongozwa mara 10Mi nishazoea saiv najionea sawa tu, niliona ntakuja kufa bure kabla ya wakati![]()
Yatapita tu hayo..Aisee! Ukiwa single unakuwa mpweke sana unakuwa Kama umetengwa kwenye kakisiwa kako uko Ukerewe ndani ndani. Kuna muda mpaka unapata mawazo ya kuanza kuwaza umri wako wa miaka 30 plus aisee hii mbaya sana.
Wapendwa mniombee in magu voice!!
Babu babu Nina tembo card masterNina Wajukuu 2 humu wenye hivyo viwango.
Ila suala la muhimu ambalo kama Babu yao nitatakiwa kujua ni kwamba Unamiliki Akaunti ya Benki yenye tarakimu 8 na kuendelea?
Mambo ya kumlaza njaa Mjukuu wangu haitapendeza
Akikuzalia mtoto wenu wa Kwanza basi mpe kazawadi hata ka IST awe anaendesha kwenda Kliniki![]()




na hile Golden tilip wanaita 

alafu hao wajukuu zako hayo mambo sio ya Mloganzila kweli?? 
yaliyomo yamo?Mkuu alafu ukijitahidi sana kupata mpenzi unapata mshangaziWengine tunaonaga wenye wapenzi kama waliobarikiwa.
Tushazoea






Au mtu unaishi Jupiter uko na mazombi zombi maisha haya ya mapenzi hayako fair kabisaInauma sana, mtu kama unaishi shimoni vile





Kivipi kujitakia nadhani mwanamke kuwa single ndio kujitakia sio mwanaumeila mwanaume kuwa single ni kujitakia mwenyewe tu
Ngoja nijipe moyo NduguYatapita tu hayo..
Mbona umeandika ViseVersaYes mwanaume kuwa single mara nyingi huwa ni maamuzi tu nafikiri ni tofauti na wanawake.
Mwanaume kuwa single au bachelor huwa ni maamuzi tu
Basi ni kwa jinsia zoteMbona umeandika ViseVersa
Hpa na yenyewe inahitaji maombi kupata mtu sahihi kinyume chake unaongeza tatzoUpweke ni hatari Mkuu
Mwezi January nimepeleka Wanangu wote Shuleni - Bweni.
Pamoja na uwepo wa Bibi yenu, lakini bado nyumba naiona kubwa sana wakati huu as nilizoea zile pilikapilika zao za Mwezi December.
Nafikiria Upweke tutakaouishi watakapokuwa Watu Wazima na wameondoka nyumbani.
Fanya uoe walau utapata mtu atakayekuwa anakujali utakapokuwa unahisi Upweke
Hautaki🤣
Sio jinsia zote, u single ni kwa wanaume tu ukiona mwanamke yupo single ujue kaamua awe single kwasababu mwanamke akiamua kutembea tu kilometer 10 kwa mguu tiali kashaitwa na wanaume zaidi ya 5 na katika hao wanaume 4 wako na nina ya dhati kwake so mwanamke kuwa single ni ngumu kuliko kuwa kwenye mahusiano.Basi ni kwa jinsia zote