Uliwezaje kuvuka maisha ya upweke na usingle?

Uliwezaje kuvuka maisha ya upweke na usingle?

Ivi izi drama drama kwa baadhi ya wasichana chanzo chake huwa nini ?.
Unakuta mtu analeta drama mpaka kwneye masuala ya afya yake, afu ndio ukute umempenda kwelikweli ni hatarii.
Weka akilini kua kwa mwanamke mapenzi na drama vinaenda sambamba. Hasa hasa kipindi cha uchumba na ndoa changa
 
Sijawahi kuhisi upweke hivi unnawaza pesa pesa
upate pesa
Uzalishe pesa zako binafsi
Zikue ziwe nyingi
TUtafuteni maisha ndugu zangu mapenzi yanakuja tu yenyewe 😂
Sijawahi kuhisi upweke hivi unnawaza pesa pesa
upate pesa
Uzalishe pesa zako binafsi
Zikue ziwe nyingi
TUtafuteni maisha ndugu zangu mapenzi yanakuja tu yenyewe 😂
Ukitembea meter 100 tu unatongozwa utaeleza nini kuhusu upweke
 
Kuwa mpeke sio upweke mkuu. Tengeneza kichaka chako cha furaha hata akija waubavu mnashea hiyo furaha. Lakini kama hauna furaha ukiwa mwenyewe hata akija mtu kwenye hicho kichaka ni majanga tu.
Hapa ndio watu hua wana feli. They can't be on their self.

Ni hatari sana hasa kwa mwanaume kama furaha yako inategemea kwa mke/Mpenzi wako. Ni hatari sana
 
Sijawahi kuhisi upweke hivi unnawaza pesa pesa
upate pesa
Uzalishe pesa zako binafsi
Zikue ziwe nyingi
TUtafuteni maisha ndugu zangu mapenzi yanakuja tu yenyewe
Hivi nyie pesa inanafasi yake hapa tunazungumzia kuwa mpweke na uku hela unazo huwezi kununua mapenzi
 
Hivi nyie pesa inanafasi yake hapa tunazungumzia kuwa mpweke na uku hela unazo huwezi kununua mapenzi
Mapenzi hayanunuliwi na hayaji kwa kulazimisha mapenzi ni hisia tu na wakati ukifika yanakuja tu
So relax.
Pia furaha ya kwanza inaaanza kwako mwenyewe jitengenezee mazingira ya kufurahia maisha bila wengine
Hata ukipata mwingine unaweza kumuambukiza kufurahia maisha mkafurahia wote
 
Mapenzi hayanunuliwi na hayaji kwa kulazimisha mapenzi ni hisia tu na wakati ukifika yanakuja tu
So relax.
Pia furaha ya kwanza inaaanza kwako mwenyewe jitengenezee mazingira ya kufurahia maisha bila wengine
Hata ukipata mwingine unaweza kumuambukiza kufurahia maisha mkafurahia wote
rubii sawa nakuelewa lakini point yangu ni hile kuna wakati unakuwa single mpaka unachanganikiwa afu then hupati mtu unakuwa upo upo Kama leo hii Valentine's lakin upo ndani alone na hela ipo mfukoni Kama Mama Kizmkaz
 
Back
Top Bottom