Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,091
- 111,711
ngoja niishie apaDem unaye muita kuwa naye, wahuni tusha rekebisha kitaambii
ngoja niishie apaDem unaye muita kuwa naye, wahuni tusha rekebisha kitaambii
Ng'ombe wa mayai😀😂🤣ngoja niishie apa
Wachache nime kutana nao humu, Ni Wana na nusu.Ishi humo mkuu ila usiangalie sana hisia kuliko life lenyewe na isitoshe kwa sasa uwezekano wa kukutana na watu real ni mdogo mnoo. Wengi ni wanafki bro, kwa hiyo ukiona unafki wa mtu, unamuwekea mipaka na kama ni wa kukuumiza haswa kwenye fursa ndio unamkata
Kwa style hiyo ujobless nawewe kuachana ni ngumuNg'ombe wa mayai😀😂🤣
Mimi ndo mwasisi wa u jobless, kwanini Niki ache chama change😂😀🤣Kwa style hiyo ujobless nawewe kuachana ni ngumu
Komaa kuna mshahara hukoMimi ndo mwasisi wa u jobless, kwanini Niki ache chama change😂😀🤣
Zuo mshahara tu, Kuna pepo pia🤒Komaa kuna mshahara huko
Ndio hapo sasa. Unaweza kutegemea kupewa furaha na mtu mwingine ukaishia kuwa na sonona. Tutafute furaha zetu bila kutegemea mtu.Hapa ndio watu hua wana feli. They can't be on their self.
Ni hatari sana hasa kwa mwanaume kama furaha yako inategemea kwa mke/Mpenzi wako. Ni hatari sana
Hahaha................ mahusiano Siku hizi ni ghali sana, ukiweza bora uoe mapema ili kutunza kipato chakoMzee hebu kavutie ugoro ndani, hapa nje utatuvulia msuli 🙄🤣
Mkubwa niwe muwazi, Mimi kuoa lands miaka 3-4 baadayemHahaha................ mahusiano Siku hizi ni ghali sana, ukiweza bora uoe mapema ili kutunza kipato chako
Ni kweliHpa na yenyewe inahitaji maombi kupata mtu sahihi kinyume chake unaongeza tatzo
Ushauri wangu ni kuwa wakati unaendelea Kujitafuta basi hakikisha unaendelea kuilinda Afya yako.Mkubwa niwe muwazi, Mimi kuoa lands miaka 3-4 baadayem
👉Mambo ni mengi mnoo, kuwa mfaome lazima uhangaike
Hahaha............Wazee tunajua ku-pickBabu babu Nina tembo card masterna hile Golden tilip wanaita
alafu hao wajukuu zako hayo mambo sio ya Mloganzila kweli??
Babu nipe code za hao wajukuu zako nitume intellegencia yangu kwanza kujuayaliyomo yamo?
Ni kweli
Upweke umefanya Wazee wengi kuwataka Watoto wao waolewe ama waoe ili wapate Wajukuu wa kucheza nao.
Maana kawaida Mtoto wako akishaanza maisha ya kujitegemea ni obvious anaondoka nyumbani kwako, hivyo utajikuta nyumba inabaki tupu
Nyie wazee macho hayaoni mtanichagulia vitu vikawa vibovu bure niteseke navyo maishaHahaha............Wazee tunajua ku-pick
Wajukuu wote ni PisiKali kama msemavyo Vijana![]()
Kuoa ni kuzuia umri usiende?
Ni afadhali kuishi kwenye kisiwa Cha Ukara pekeyangu kuliko kuoa haya mazwazwa yasiyo na shukrani Wala utu. Kumània zao



Dawa gani mzee🤣, maana mi u single ni asili yangu😀🤣Ushauri wangu ni kuwa wakati unaendelea Kujitafuta basi hakikisha unaendelea kuilinda Afya yako.
Unaweza kujikuta umeanza kufikia mafanikio yako na Afya inaanza kuwa mgogoro, maana Siku hizi mabinti na Vijana wengi wanatumia dawa
Mbona mm napenda hayo maisha jamni full kupumzika
Napika huku naimba
natoka chooni sijavaa nguo had chumbani naenjoynacheza mziki humo ndani nikitosheka naingiamtandaoni Nacheka had jino la mwisho




😂😂😂Itakuwa ndugu sisiuna hakika mm naww sio ndugu kwel![]()
Hahaha............pitia Uzi wa Selfika uone Wajukuu zangu walivyo PisiKaliNyie wazee macho hayaoni mtanichagulia vitu vikawa vibovu bure niteseke navyo maisha