Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,808
- 26,644
Huyo mtu unataka uongee nae nini mkuu 😁Ile hali unarudi ndani halafu pako kimya.
Hakuna wa kukupokea Wala kukuongelesha.
Unajikuta simu na Tv ndio mfariji wako.
Halooo.
Kuongea na mtu live mpaka kazini tena
Ila ndivyo ulivyoumbwa mkuu, binafsi yangu hakuna kitu hunivuruga akili kama kukosa huo ukimya na utulivu kwa muda mrefu.


