Uliwezaje kuvuka maisha ya upweke na usingle?

Uliwezaje kuvuka maisha ya upweke na usingle?

Tafuta wimbo wa Mwasiti unaitwa SEREBUKA utakupa faraja sana

Wengine wanalia sababu ya kupenda lakini wameachwa... wameachwa
Wengine wanapigwa bado wang'ang'ana sababu ya mapenzi...
Wengine wafumania lakini waendelea sababu ya kupenda
Wengine wajiua wao walipendwa lakini wameachwa Leo

Labda tunapenda tusipopendeka aaah tusipotakiwa tunavumilia
Labda tunapendwa tusipopapenda tusipopataka tunasubiria

Serebuka2 unaweza penda tena we

Wengine nao waua ili wapendwe maishani mwishowe wateseka
Wengine walishaapa watawapenda milele wakarudia yaleyale
Wapo walioroga kushinda kwa waganga kupigania penzi Lao lao
Wengine zao kuhonga wao walipendwa pesa zao zikaisha wewe

Maisha ndivyo yalivyo kupata na kukosa
Maisha ndivyo yalivyo kutenda na kutendwa
Lakini yote mipango ya mola alichopanga
Lala lala eeh



Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu ngoja nitafute bhana unifariji na hii Valentine's
 
Mwanzo niliteseka sahivi nimezoea bro imechukua miezi 6 upendo wangu kwake kufa sahivi hakuna tena hata chembe ya upendo juu yake na maisha ya peke yangu ndo ya furaha kwahiyo na wewe utazoea taratibu
 
Upweke ni hatari Mkuu

Mwezi January nimepeleka Wanangu wote Shuleni - Bweni.

Pamoja na uwepo wa Bibi yenu, lakini bado nyumba naiona kubwa sana wakati huu as nilizoea zile pilikapilika zao za Mwezi December.

Nafikiria Upweke tutakaouishi watakapokuwa Watu Wazima na wameondoka nyumbani.

Fanya uoe walau utapata mtu atakayekuwa anakujali utakapokuwa unahisi Upweke
 
Mwanzo niliteseka sahivi nimezoea bro imechukua miezi 6 upendo wangu kwake kufa sahivi hakuna tena hata chembe ya upendo juu yake na maisha ya peke yangu ndo ya furaha kwahiyo na wewe utazoea taratibu
Aisee mzee hii mbaya sana unakuwa kama upo peke yako kisiwani sema maisha lazima yaendee ntazoea taratibu
 
Upweke ni hatari Mkuu

Mwezi January nimepeleka Wanangu wote Shuleni - Bweni.

Pamoja na uwepo wa Bibi yenu, lakini bado nyumba naiona kubwa sana wakati huu as nilizoea zile pilikapilika zao za Mwezi December.

Nafikiria Upweke tutakaouishi watakapokuwa Watu Wazima na wameondoka nyumbani.

Fanya uoe walau utapata mtu akayekuwa anakujali utakapokuwa unahisi Upweke
Babu yani leo nimeamka nimewaza sana sana nimekuwa mpweke aisee kuna umuhimu wa kuoa aisee ngoja nizichange mambo yakae sawa nivute jiko.
Yani Kama hii Valentine's even a text olaa! Dah! Babu niombee
 
Babu yani leo nimeamka nimewaza sana sana nimekuwa mpweke aisee kuna umuhimu wa kuoa aisee ngoja nizichange mambo yakae sawa nivute jiko.
Yani Kama hii Valentine's even a text olaa! Dah! Babu niombee
Kuoa Muhimu Mkuu

Kuoa kunaongeza uwezo wa Mwanaume kufikiri na ku-solve changamoto zake za Kiuchumi.

Zamani ilikuwa kawaida Mwanaume Kuoa mapema sio kama ninyi miaka yenu unakuta Mwanaume anaoa akiwa na miaka 45, ilikuwa kawaida kumkuta Kijana wa miaka 20's tu akiwa tayari na familia yake 🤗
 
Back
Top Bottom