Ngoja nikustopishe kunipa stress 28 yrs nina mtoto mmoja alafu kidume,sema nini mamaake siishi nae kwasababu ya mm kuhama hama kutafuta huku na kule.Ngoja nikuongeze stress 28yrs Nina mke na watoto wawili differ mother..
Nilipata kazi teenage yrs 19yrs..
Sema nini mzee yasikutishe Ma umr!
Unapoishi usisahau kuish!!
Kwa ushauri wa paragraph ya mwisho,nashukuru kwa ushauri.