Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,849
Watu8 msome hapaTrue, kule wameshika sana dini, halafu wapishi wa kipemba hawapendi kukirimu wageni Wagalatia!, kiukweli kuna watu tuna dhambi!, mkisikia tunaadhibiwa!, acheni tuu tuadhibiwe!, mtu unadanganya uonjeshwe na ukipendezewa, eti uko tayari kusilimu!, mtu hadi unavaa kanzu na baraghashia ili tuu ukirimiwe, ukaribishwe chakula!.
P