No 3, synopsis.
Ushawahi enda mahala, ukamtie demu A ukaishia kumtia demu B ambao ni best friends? nyapu haina sura. No 3 sijui niipe jina no 5?! maana zishakaa mbili katikati na device nliandika sinayo.

Wakati naibia dakika za boss hapa, nkakumbuka juzi nimekutana na demu A na akaishia kunilaumu sana, simtafuti siku hizi (yafika mwaka na ushee sasa). Nkakumbuka nyuma, miaka kadhaa ikiwa ishapita namna nlivomla rafiki yake.

Nlikua nmeongea na A niende mkoa aliopo, tulikua tunakutana huko kwa kazi fulani. Tukapanga game la ugenini, kipindi hicho mzee ana kampeni za kufanya mji ule uwe Dar ya nchi. Nmetoka hapa kwa Makalla na zile gari pendwa za wana zabibu, njiani nkichat na A aje anipokee na room alishapanga. Mimi pia nlishaandaa chumba kingine maana nlihitaji sehemu ya kufanyia kazi pia.

Wakati niko njiani, nkaona picha za B kwenye gallery, bila kujua yuko niendako. Nkamtania, leo ntakuona wapi, msg ambayo ilipata blue tick na haikujibiwa. Na vile nmezizoea blue ticks hata sikutuma msg nyingine ya kusumbua.

Nmeingia mji ule sa2 usiku, nkaoga na kutoka kumfata yule binti A. Binti A ni mlimbwende wa mwili wa wastani, ana rangi ya chungwa la Tanga kabisa, vidomo vitamu kuchezea koni, na ana miondoko ya madaha. Ukimuona mara ya kwanza, utasema hua haendi chooni au kile choo chake hakitoi harufu. Nmefika pale alipo, nkasikia kelele za muziki. Akaja nje kunipokea, akanikiss kisha akaniambia washkaji zake wamekuja hivyo anakunywa nao kidogo na kucheza mziki, nijiunge nao.

Sikuwa na mood ya muziki, nlikua nimechoka na safari, pia sipendi kukutana na watu wapya kwa surprise. Akanielewa, akasema chumbani kwake kuna mtu kapumzika, ngoja anipeleke kisha nimsubiri. Tunafika chumbani, namuona B... Akainuka na gauni la kulalia kuja kunisalimu. Rafiki ake akatoka akisema mtambulishane mimi nakuja.

Alipotoka B hana la kuongea nami sina la kuchombeza, nmekaa dakika 15 bize na simu yangu. Nkiikumbuka ile blue tick ya mchana, nkaona huyu mbuzi akafie mbali.

Nkaaga niondoke, ila John mfiadini bin ukuni akasema we matacore acha upuuzi, unaachaje hili goma? Akili ya juu na chini zikabishana sana, chini akashinda. Juu akaja na mbinu, muage kisha mkumbatie na mchokoze, akikubali kula asipokubali tukacheze muziki na kunywa, yaani inakua both team to score.

Plan in action, nkamwambia B ya kuwa ninaondoka ntamuona wakati mwingine, akaitika akiwa busy na simu. "Acha tabia mbaya, inuka unikumbatie nkuage, sina miba" b akainuka kwa aibu.

B ni mwanamke ambaye ningemjua mwanzo A nisingeweza mtongoza. Ana matacore yale ya bata, akitembea anakua kama anavuta tela dogo... Akikuangalia kama ni bank teller unaeza eka 100000 usijue kama umezidisha sifuri. Ana sauti hata mkeo akisikia, anaswma baba hapa katongoze. Umbo lake kiujumla ni sumaku tosha kwa rijali yoyote.

Lile kumbatio lilisababisha nsikie joto lake, nkahema kwa mtego hata akanisikia. Nkamwambia a minute more will do. Nkaenda shika zilipo zile vitako vya bastola. Alipotaka jitoa nkamfata alipo. Alieweka kitanda karibu na meza ashukuriwe sana. Akawa hana pa kwenda, kumbatio lilimtesa akawa anausikia ukuni kwa ukaribu toka kwenye hii bukta. Mara rafiki ake kagonga mlango, ananong'ona tumfungulie au tuache. Nkamwambia acha, akaondoka akijua tumetoka.

Kilichofata ni kitanda kututunzie ile siri, nlikula ile kooma kama nna njaa ya mwaka. Nkahamia kunyonya kifua na shingo, udole mmoja ukicheze kiss me, kidole kimoja kikichezea ringi la tope. B kelele akawa na urafiki nazo, akililia awekwe ukuni moto uwake. Namuuliza niipeleke wapi, "popote baba" Nkitekenya mbele anasema weka hapo, nkitekenya nyuma anasema hapo. Ghafla nkapata kumbatio la ghafla toka kwa B, huku akilia polepole. "Nmemuumiza rafiki angu".

Nkaanza kumbembeleza taratibu, huku nkishika maeneo nayojua yataamsha, angalau nami nione ndani. Vilifaidi vidole kunizidi na Dulla kichwa wazi anataka ahakiki madini. Mtoto hakukawia kupata moto... Nkampeleka mezani, miguu ikapandishwa juu, ua nkiliona hili hapa... Nkachukua kichwa, kikaanza pigwa juu taratibu, mtoto akajinyonga akihangaika. Akililia iwekwe, ilipowekwa pumzi zikamtoka, hata haijaingia yote dafu limeanguka.

Tukahamia kitandani, ili awe comfortable. Yule mtoto hana mauno, ila ana uchizi mwingine. Alikua akiikamua ndani kwa ndani, akiifinya isilie akibana na kubanua. Nkataka tumalize wote, nkamwambia "nakuhesabia mpaka kumi, usipokojoa natoa" Nkihesabu kumi, naitoa na kuiweka na uno la Kijerumani kidogo, tukashuka tiiiiiisa natoa, nane natoa. Alisema No nyingi kuliko kura za kijani 2020. Nafika tatu, ile nasema natoa, mtu anajiibu "nakokokokokoj.... " hata haikuisha akawa anatetemeka sana na vimachozi kiasi.

Akafuta mwiko alolia chakula, kwa ustadi mkubwa. Kisha akashukuru, akasema na kweli nlikua na nyege, sijui hata umenila vipi... Nkacheka huku nkiwa busy kumshika shika. Best ake akarudi sa10 baada ya muziki kuisha, anakuta tumelala, akaingia na kuja kulala kati. Hakumaindi siku ile, ila tuliporudi mjini nlikalishwa chini na risala kama ya sherehe za uhuru. Shetty anko nkamtupia lawama zote siku ile, na kumlaumu yeye kuniacha mule.

A tukawa hatuelewani tena, ila B nkawa najilia sana mpaka siku nlipojua ana mtu wake. Mtu wake ni daktari, wanaishi mbali, demu anaeza kaa miezi 3 na ushee hajaguswa. Na jamaa ni wale wa kimoja alale. Hakutaka kunielewa nlipovunja mahusiano, ila nadhani sasa atanielewa maana ni kwa ajili yake ilikua na sio mimi.

NB: UKIMWI upo, cheza salama.
Hizi ni true story, majina ya mahali yako omitted ili kulinda wahusika.
Huu uandishi kidogo niseme ni lugumya in new ID
 
Wewe itakua ni mtu unayependa kujitenga kama mimi ( Introvert )

Masihara unakutana nazo ukiwa mtu wa kujichanganya, mimi nna 35+ lakini sijawahi kuambulia masihara hata moja

Maana nikitoka kazini nikiingia ndani sitoki mpaka niwe na shida ya kwenda dukani
kumbe siko mwenyewe afadhali
 
No 6
"Habari, tunapiga simu kutoka @#£& bima, @#£& bima ni....." alipomaliza nkamwambia nshawahi jiunga (ilikua fix) lakini follow up yao ni hafifu na sikuridhika, akahangaika pale kujaribu kuniridhisha, nkamwambia kujiunga tena ni hadi niwe na mtu ambaye nkisumbuliwa naeza mpigia moja kwa moja sio kusubiri kwenye line. Akashawishika kunipa dials zake, akijua ni potential client kumbe ni potential fisi.
Nkasave ile no, nkawa naangalia status hata sitii neno. Siku moja jpili asubuhi, kapost ameshika andiko fulani, nkachombeza "the way am down, one verse is enough to heal me" akajaa na maneno mengi. Nkamuuliza kama yuko kwake, swali lilichukua masaa kujibiwa.
Mida ya jioni, nshasahau km nliuliza mtu jambo, anajibu ndo nafika nyumbani, nilikua na mizunguko mingi. Nkamwandikia, nitumie location nije, hakikisha iko accurate sana nisipotee, eka na maji yaanze pata joto nkukande miguu in exchange ya neno ulilonipa limenisaidia. A minute later, location hii hapa, nkaita uber inisogeze.
Nmefika kweli kaandaa maji, nkaomba mafuta na kumwambia let's do this fast niondoke, asije nijuta mmeo ukaachwa. Akanipa assurance kua hana mtu, na hapo kahamia hata wiki haijaisha na mm ndo mgeni wa mwanzo.
Nkachukua mafuta, nkampaka miguu, hadi magotini, nkachukua handkerchief nlokuja nayo nkailoweka. Nkawa namkanda taratibu mguu mmoja baada ya mwingine, hadi magotini, nkawa namuona anahangaika ila sijali, nasubiri aloe kabisaa. Nkamwambia kavue nguo, uje na khanga, nikande hadi juu ya magoti, aliinuka pasi na kusubiri maelekezo ya ziada.
Alitoa nguo hadi chupi kaja na khanga, nkafanya kazi kazi hadi mapajani, macho yake yakielekeza nipandishe juu, ila mdomo wake hauwezi. Nkamwambia haya lala, kisha geuka. Nkamwambia natoa nguo nisijipake nafuta, mtu anatikisa kichwa tu.
Nkamtia mafuta juu ya khanga, kisha nkaanza peleka mikono taratibu, naona khanga inatupwa huko, mikono ikawa inatembea vema.
Nkahama toka mapajani hadi kifuani, na tumboni, mtoto wa watu acha ajinyonge hapo. Nkamgeuza nyuma, nkamtia mafuta mgongoni, na mengine nkatia kati ya milima.
Wakati nakanda mgongo, mwili umekaa juu ya milima, na ukuni umesimama wamgusa gusa. Alilowesha godoro kabla hajaguswa, namwambia nimemaliza hataki niinuke, muda huo ukuni nmeugusisha kwa bibi makusudi.
Nkamuuliza nikutiee, anaitika kwa kichwa... Nkampelekea moto mdogo mdogo huku akiendelea haribu godoro lake maana alikua anamwaga sio kidogo. Ilibidi nilale pale siku ile, japo akili haipo kabisa, nahesabu kila miguu inayopita huko nje ya geti. Asubuhi nkawahi kuamka, nkapasha moja la nguvu, nkamwacha amalizie usingizi.
Kaamka anakuta nmemuandalia chai, na mikate nlopaka yai, akanywa huko anacheka. Anauliza ulinitiaje hivi? Nkawa nacheka tu, namwambia si uliomba, toka siku hiyo akihitaji alikua anasema naandaa maji njoo. Ila tuliachana for good, mimi nkaenda nje kuzurura and she is "happily married"
Siku sio nyingi unaingia kwenye list ya akina intergrity,maana wao ndio wataanza kuingia motoni wakiongozwa na mwenye kiti wao lugumya
 
No 7
Watieni vizuri, waandaeni, vinginevyo tutawachapia sana.

Nmeingia kwenye huu mgahawa hapa mjini ili nipate chai, ni mgahawa unaijielewa maana ile Mirinda yao wanauza elfu 3. Hivyo kuukuta hauna watu ni kawaida. Hua napenda kuja kutuliza kichwa, na kupata AC za bure hapa ili hii perfume ya kupima isiishe nguvu.

Sina A wala B, kumbe meza zenye viti viwili zimejaa imebaki yangu. Kaja dada ana umbo alilojichagulia na kigauni kina vidoa vyekundu. Anauliza km kuna mtu akae, nkamwambia huku nkitabasamu "nlikuekea wewe, karibu".

Bibie aliagiza chai, na katlesi mbili na mishkaki miwili. Nkamwambia muhudumu mwekee na kipande cha limao, muda huo namwangalia kama vile nmemfahamu muda mrefu. Akaanza kuingia aibu na kuchezea simu yake. Vilipofika alivoagiza, akaniambia limao lako hili, nkacheka na kumwambia leo katlesi zimokosewa, tia limao uongeze ladha. Alikula nikiwa busy nazurura Twitter na kurudi JF, alipomaliza akawa anaaga. Nikamwambia usilipe nilishalipa, maana alikuja kwenye meza yangu hivyo ni mgeni wangu. Tulibishana kidogo, ila akakubali akaondoka.

Miezi mitatu baadaye, niko pale pale akaja na rafiki yake. Ile siku aliwaka, nkasahau hata kama nna kazi nafanya, nkaona niangalie ule uumbaji. Walikuja moja kwa moja upande wangu, akafungua mikono kunisalimia.

Akakaa na rafikiye na story mbili tatu, rafiki ake alipotoka kwenda washroom akaniuliza mbona siko sawa, sina lile tabasamu analolijua. Nkamjibu nitakuambia, ila sio sasa hivi, rudi kazini mkitoka find me here. Aliposema okay, nkasema kichwani ushaliwa leo wewe.

Nkamfata manager, nikamwambia naomba chumba kulala, na akija yule bibie kuniulizia wamruhusu maana sijampa no ya simu. Nlipoona muda wa kutoka wao unakaribia, nkaandaa mazingira. Nkainuka nkavua nguo, nkaingia bafuni kujimwagia maji, hazijapita dakika 10 mlango unagongwa. Nkamwambia aingie. Niko bafuni nkamtania aje aoge akasema hawezi, amekuja kunisikiliza kisha aondoke. Nkajifunga taulo nkatoka, sasa inabidi nijifute maji naona ananiangalia kwa kuvizia, nkalitoa taulo na kujifuta nkiwa sina kitu, nkamuomba anisogezee mafuta. Aisee, naona mtu hataki kuinuka na mdomo ushakua mzito.

Nkamfata alipokaa na kumuuliza vipi rafiki, anajibu hamna kitu. Utaoga? jibu ni No, nkafanya ajali ya makusudi. Lile kopo la mafuta sikulifunga vizuri, nkamdondoshea, ile ainuke haraka ikawa ameyapa nafasi yaharibu ile suruali ilomkaa vema. Plan A ya kumvua nguo ikawa imetiki. Hakueza kunilaumu, maana alijua ni bahati mbaya. Na haikua ngumu sasa kumshawishi akaoge, akaingia na nguo zote zilizobaki bafuni. Nliposikia maji yanatiririka nkamfata hukohuko.

Nkaanza kumcheze mgongoni, polepole... Alikua akinitoa mkono lkn nkaona huyu keshaliwa. Baada ya dakika kadhaa naona kaanza sogea kwangu, nkaongeza gia. Nkawa nagusa sehemu zenye utata. Ukuni ukiwa umesimama vema unamgusagusa maungoni. Lile umbo lake nkajua nkilianzisha bafuni, tutaanguka. Nkaishia mpiga romance tukatoka.

Nkamkalisha kitandani, nkamleta juu kisha nkatengeza interlocking posture, yaani miguu imepishana ambapo ukuni unagusa kiss me vile mimi nnavotaka. Nkawa namuangalia macho yako, huku nkimchezea. Kila akipeleka mwili ili ukuni uingie inakua haifikii. Nlipoona ashatoa maji ya kutosha, nkamlaza ubavu, kisha mguu wake mmoja ukakunjwa. Nkimueka bonge bonge hivi hachoki upesi. Nlikamua lile zigo mpaka anaomba iachwe, na alikua ana mashine tamu ukunj haulali. Imefika saa 4 usiku shughuli iko mapumziko, akapiga simu kwao kua hawezi kurudi, naona wakamuelewa baada ya kuongopa kiasi.

Siku ya pili hakwenda kazini, suruali ilikua haijakauka, tulikuja kutoka jioni sana. Alikua ni mwanamke mwelewa sana, ila nliacha kupiga siku nlipofuatwa na nsiowafahamu. Wakaniambia kwa wema tu, kijana acha pale, wenye mali wana wivu, tutakupoteza. Ikabidi niwaachie wenye vitambi waendelee kumtia shombo nikaendelea na mademu zangu wengine

NB: UKIMWI Upo, play your part... Sikuupata kipindi hiki ila now sichezi kavu. Nliwahi kukoswa koswa nkaingia akili
 
We mseng siku sio nyingi unaingia kwenye list ya akina intergrity,maana wao ndio wataanza kuingia motoni wakiongozwa na mwenye kiti wao lugumya
Mzee usifanye niishie hapa, kwenye list yao simu... Naishi Mbagala, kwahiyo na ile foleni napata kuandika kisa nnachokumbuka vizuri kabisa.
 
Wakati nasuburi hii foleni ya Mbagala isogee, ngoja niwasogezee hii mojawapo ya miaka ya karibuni. Leo nimekumbuka pia ule uzi wa kula mazingira hatarishi nkabaki nacheka tu.

No 9

Dodoma, 2020 kampeni za uchaguzi

Nlikua ni miongoni mwa watu wasiopenda falsafa ya utawala wa Jiwe, ila kampeni zake zilinipatia ulaji. Nikiwa kama meneja wa kampeni za watu, nlibahatika kupeleka chochote nyumbani.

Tarehe za katikati Oktoba, kampeni zimeoamba moto. Nna mwezi mmoja sijafika nyumbani nazurura kuhakikisha mteja wangu anapata kura zote. Dodoma mji ulifurika huku lodge mpaka guest bubu zikikosa nafasi.

Katika hotel moja kongwe nlikua nna chumba nmekilipia mwezi mzima hata kama sipo, ilikua ni chumba executive, kina sehemu ya kukaa kwa kikao, kula meza ya kazi na kitanda.

Nmerudi kutoka mihangaiko ya siku, nmechoka sana nakutana na dada mwenye asili ya Kiarabu akiwa kavimba na kufura. Akionekana wazi kuna jambo halijamfurahisha, alikua akikokota mabegi yake akisema wale watu ni mbwa kwa lugha ya kwao. Nkamuuliza muhudumu wa jirani, akasema alifanya booking lakini kachelewa kulipia na hakutoa taarifa, chumba kimeuzwa.

Nkamwambia mhudumu aniitie yule dada. Uzuri alikubali kuja, nkamkaribisha twende kwenye ukumbi wa hotel akapate soda kisha nimsaidie kutafta chumba. Hakua na namna ila kukubali tu, nami nlikua nafanya kwa moyo mweupe bila kutarajia malipo.

Tumemaliza kula, nkamwomba mizigo tuweke room kwangu, nibadili nguo nvae walau nguo casual tutoke. Akaingia akaona room yangu, nmemaliza kuvaa tunatoka akawa ameanza kukaa sawa akantania you look younger than before, nkacheka tu.

Tukazunguka logde kadhaa, yapata 7 au 8 tunakosa vyumba au tunapata visivyo na sifa anayoitaka. Nkamwomba alale kwangu, hakukataa ila nliuona kabisa woga wake. Tulipofika, nkamwagizia kula kisha nkakaa mezani kufanya kazi. Kumbe ni mtaalamu wa ususi na make-up, maana nliona vifaa na nlijua baada ya kunambia kuna harusi kubwa kaja kupamba. Niliendelea na kazi hadi usiku sana, kisha nkalala kwenye sofa yeye nkimuachia kitanda.

Imefika saa 11 asubuhi kaja niamsha nisali, kisha tukakaa kuongea maana aliniomba yeye akakae kwenye sofa na mie nijinyooshe kidogo. Muda ule nkaona uzuri ambao sikuuona kabla, yule binti ni km haishi dunia hii, ana tabasamu ambalo linafuta madeni hata ya nchi nzima.

Akauliza kwanini nmemkirimu na hata simjui, na wala sijafanya matamanio juu yake. Nkacheka, nikamwambia wanaume wazuri bado tupo, huku nkimshika nywele zake ndefu hadi kiunoni. Alikua akiniangalia katika namna ambayo ukuni ulikosa haya ukasimama, alipogundua akacheka akasema sijui nkusaidie vipi. Nkamvuta kwangu nkamkumbatia, nkamwambia taratibu sikioni "kill me or kiss me". Akanipiga na vigumi vyake vilivyo laini kifuani, " acha tambia mbaya mpemba".

Kilichofuata, tulijikuta tuko km tulivozaliwa, yule binti ni mzuri wa kukiss, na vidomo laini mithili ya mtoto. Kilimi kitamu mithili ya pipi ivory, na ngozi laini utasema hajawahi toka nje.

Shughuli ikaja nlipotaka eka ukuni, kumbe bibie haujui hata kwa kuuona. Akawa anasema mbona kubwa sana, itaweza kweli kupita. Nkamrai rai niingize kichwa tu, tena pale juu tu. Nkawa nmemweka missionary, ukuni upo juu nkiuchezesha taratibu. Nkiingiza aumia aitoa, nkaona huruma haizai mwana. Nkamlaghai kwa kumkiss, nkainua kidogo kiuno, nkapeleka mbele nyuma, mbele nyuma ya tatu ilikua ni spidi ya jet. Alipiga ukunga wa juu sana, nadhani ulisikika huko nje, akilalama nmemuumiza. Nkamwomba asitoe ataumia zaidi, nkawa naendelea kumchezea na kumnyonya hata akasahau km imo ndani, akawa anatoa viuno kidogo kidogo japo sio vya ufundi.

Tulipomaliza yule binti akanifuta, kisha akachukua chupi yake akajifuta damu. Akanambia hawezi itupa pale, kuna vile wanafanya kwao kwa ile damu (sijui ni nini hadi leo). Kisha akaja lala kifuani tukaanza kujuana zaidi. Ilibidi ratiba zangu zote zife, nikawa +1 wake kwenye harusi aliyoenda pamba. Nadhani rangi nyeusi hatukuzidi kumi ukumbini.

Jioni yake baada ya sherehe tukarudi hoteli, nkamwomba turudie ili njia ifunguke zaidi. Hakua mbishi, alinipa ushirikiano na mara hii ali-enjoy. Safari ya siku 2 ikageuka 4. Alikuja na kufuli akarudi wazi.

Aliporudi kwao tukawa tunawasiliana, na tunakutana akipata muda wa kuikimbia familia na nyegee zinazohitajika ufundi wangu, kwao ni mama yake tu anaenijua na kujua binti hana usichana tena.

Nae ni msomaji mzuri wa humu, na akiiona hii atajua (Hey D, uliniomba niandike hii story yako, it's me J)
aaaah aaah aah wewe jamaa nakuonea wivu ujue daaa Kuna watu mnajua kufaidi Sana aiseee!
Hongera aiseee!
 
Kwanza niombe radhi kwa wale walimu wa miandiko. Sina mwandiko mzuri sana.

Baada ya kupitia huu uzi kwa muda mrefu nikang'amua mbwinu kadhaa za kuwanasa hawa upande wa pili bila jasho jingi. Nilianza kwa kununua ka baby Walker kangu (sio kwamba nilinunua kwa ajili yao, no. Nilinunua ili na mm nijipime kama naweza kumiliki miguu minne mjini pia kuweka History kwenye kafamily ketu na mm nimeweza kununua) basi nikawa nazurura nako kuelekea job sasa kuna huyu mdada alikuwa kifaa na nusu. Yaani kakamilika mpaka shetani anatamani aingie ulingoni. Huyu kiumbe alikuwa ofisi za jirani na hapa ninapofanyia kazi zangu. Siku hiyo ibilisi wa zinaa na ngono za reja reja akawa zamu. Nikakutana na huyu mdada anatoka kazini nikampa lift mpaka anapoelekea. Nilifanikiwa kupata namba za simu kwa gia ya kuwa namshtua ili kumpa lifti next time( shetani huyu). Siku hiyo sikupata usingizi mzuri maana sijui hata nianzie wapi kumpigia (mm ni wale madomo zege mpaka skuli a.k.a yangu ilikuwa domo zege niliyobatizwa baada ya mtoto mmoja wa kigogo ku maindi flag halafu nikashindwa kumalizia mpira ambao ulishaelekea wenyewe golini nikabutua nje). So nililala na mawazo sana. Lakini ibilisi alinipa moyo kuwa nia ninayo, sababu ninayo na uwezo ninao. So nisubiri pakuche. Siku iliyofuata nilienda job kama kawa na nusu saa kabla ya kutoka. Nikampigia. Hakukuwa na stori mingi coz sijui niongee nn. Nikamwambia akupitia akakubali. Nilimkuta eneo tulilokubaliana ila Sijui alifanya makusudi maana alipigilia kagauni flani kwa kweli ndugu msomaji uzalendo ukaenda kwao. Nikajifanya gentleman nikasimama na kumfungulia mlango. Alionekana kushangazwa kidogo ila hakumaind. Baada ya salamu ilipita ukimya mrefu mpaka nikajiona boya. Kitu pekee nilichofanya ni kuchukua simu na kumtext kuwa asishuke kwenye kituo chake nina maongezi nae. (Sorry traffic police. Ilibidi nitumie njia hiyo maana mdomo haukunipa ushirikiano kabisaaa ) akajibu sawa kwa text message pia. Nikanyoosha ghetto. Wala hakuulizia swali mpaka ndani. Picha linaanza kafikia sebuleni kwa sofa. Naanzaje kumtoa pale. Ikabidi na mm nikakae hapo hapo nikamletea juisi ya embe natural. Alikaa nusu saa sijaongea la maana story hazina mpangilio so akawa bored akaomba kuondoka. Nikaomba nim hug na kumkiss then nimruhusu aende. Mwanzo alisita nika insist akakubali. Hapo lichwa cha chini kishachafua boxer( kwa wale ambao hawajasex muda mrefu ni hali ya kawaida) mnara unasoma 5g. Akasimama nikamhug na nikahakikisha naigusa nundu na huyu abdala kichwa wazi. Kinamkiss shingoni. I am not a good kisser so nilikimbilia shingoni nisije kujiaibisha. Kumbe ndipo network zake zilipo. Nikaona anarespond kwa kunizungushia mikono yake then akalengesha mdomo. It was like nimenunua dunia halafu nyie wote wapangaji wangu. Nikamuomba tuhame uwanja, hajibu ananiangalia tu. Nikakumbuka sijawasha hata sabufa. Nikakimbilia remote nikaweka ule wimbo niupendao. Sikumbuki iliimba bendi gani.

'nina mdodo wangu eeee...
Naangusha moja moja leo...
Inama inuka ooo....
Naangusha moja moja leo.'

Nikamkamata mkono nikapeleka room. Naona anakuja tu nikasema eeee shetani leo umeniweza. Kuna wanawake ni watundu nyie. Hakupi hata nafasi ya kupumua ukimgeuza anakubali kama mchemsho wa samaki. Ukizubaa anabadili style haraka haraka. Yaanii baada ya show nilipitiwa na usingizi huo. Kushtuka saa nne usiku binti kalala kifudi fudi. Tako hili. Nakumbuka nilipiga simu kibanda jirani aniletee chipsi kuku halafu nikamuamsha tukaenda kuoga na huko huko shetani akatuvagaa tukaanzisha ila alilalamika akasema tumalizie kuoga baada ya kuona simalizi mapema. Tukarudi sebuleni nikaweka ile frozen flower. Hii jina niliitoa humu humu. Kwani hata ilifika kati naona mtu ananiangalia kama ananiita nikamhug akajaa nilishtushwa na hodi ya jamaa wa chipsi nikaendela mzigo wangu huku nalaani si angesubiri hata dakika kumi ndo alete. Kifupi nilijipigia kwa miezi kadhaa. Nilikuja kushindwa foleni. Maana kulikuwa na jam sana. Na ndio sikutumia kinga siku hiyo. So what? Kila nafsi itaonja mauti. Ila tulipima kabla ya show ya pili majibu yalikuwa poa. Popote ulipo M. Ungetulia ningejimilikisha mzigo. Nawasilisha.
Eti kila mafsi itaonja....
Hongera mkuu kwa kula kimasikhara
 
Umechanja?! Korona inaua chap, UKIMWI unavutavuta haha😂🤣.

March 6, India

Hakuna kitu kinaboa kama kwenda nchi ya kigeni na hauna maenyeji toka kwenye nchi yako. Maisha hua sio poa kabisa.

Nlipangiwa kazi miezi 3 katika mji ambao weusi ni adimu kwenda. Nlikaa takriban miezi miwili bila kukutana na mtu kutoka Afrika, nkawa nmejenga urafiki na watu wa Mataifa mengine ya Ulaya au Asia tofauti na India.

Siku moja nmetoka dinner nakutana na binti mweusi, kavaa ribon ya Tanzania mkononi, akiwa na wahindi wawili mabinti. Aliponiona alishtuka, akaja mbio akanikumbatia na kusema "see a black man". Mie nlishajua ni mtanzania ila yeye hakunigundua, wakaniomba tukale Ice cream and have some fun. Nkawakubalia, nkaingia room kubadili nkatoka nao. Wakati tunarudi, nkawa nawatania kua leo ntaenda kuwatia wote watatu, wakawa wanasema like how is that possible? Nikawaambia you'll see.

Tumefika hotel, nkawa nmeenda kwanza room kwao. Nlipofika nkaongea kiswahili, nikamwambia yule binti "leo nawatia hadi mshangae" alishindwa alie au acheke. Akanlaumu kwanini nlikua nnamu-enjoy. Akawaambia wenziwe huyu kumbe kwetu kumoja.

Yeye kaenda fanya Phd yake, na wale rafiki zake wako nae darasa moja. Hivyo wakawa wanamtembeza some places kabla hajarudi bongo.

Nlipoona muda waenda nkaingia bafuni, kisha nkawaita waje waniogeshe, mwanzo walisita. Ila yule mmoja alivoanza kuja, nakuta wote wamekuja.

Nimewahi nyonywa ila ile siku ilivunja rekodi. Raha niliipata, ila sio kitu nachopenda kuja kukirudia. Nlizichakata zile kuuma mpaka nkikojoa ni upepo tu unatoka.

Kwa kipindi cha mwezi ulobakia ikawa kama ile miwili haikua kitu, ilibidi wahamie kwangu bill yao ilivoisha. Ule mwezi nlitia bana, maana muda wote lazima mmoja awepo. Na nlikuja gundua ukitia sana na ukala sana unaongezeka uzito na unene.
Kwa sasa tunawasiana tu, kila mmoja wao ana maisha yake
 
Umechanja?! Korona inaua chap, UKIMWI unavutavuta haha.

March 6, India

Hakuna kitu kinaboa kama kwenda nchi ya kigeni na hauna maenyeji toka kwenye nchi yako. Maisha hua sio poa kabisa.

Nlipangiwa kazi miezi 3 katika mji ambao weusi ni adimu kwenda. Nlikaa takriban miezi miwili bila kukutana na mtu kutoka Afrika, nkawa nmejenga urafiki na watu wa Mataifa mengine ya Ulaya au Asia tofauti na India.

Siku moja nmetoka dinner nakutana na binti mweusi, kavaa ribon ya Tanzania mkononi, akiwa na wahindi wawili mabinti. Aliponiona alishtuka, akaja mbio akanikumbatia na kusema "see a black man". Mie nlishajua ni mtanzania ila yeye hakunigundua, wakaniomba tukale Ice cream and have some fun. Nkawakubalia, nkaingia room kubadili nkatoka nao. Wakati tunarudi, nkawa nawatania kua leo ntaenda kuwatia wote watatu, wakawa wanasema like how is that possible? Nikawaambia you'll see.

Tumefika hotel, nkawa nmeenda kwanza room kwao. Nlipofika nkaongea kiswahili, nikamwambia yule binti "leo nawatia hadi mshangae" alishindwa alie au acheke. Akanlaumu kwanini nlikua nnamu-enjoy. Akawaambia wenziwe huyu kumbe kwetu kumoja.

Yeye kaenda fanya Phd yake, na wale rafiki zake wako nae darasa moja. Hivyo wakawa wanamtembeza some places kabla hajarudi bongo.

Nlipoona muda waenda nkaingia bafuni, kisha nkawaita waje waniogeshe, mwanzo walisita. Ila yule mmoja alivoanza kuja, nakuta wote wamekuja.

Nimewahi nyonywa ila ile siku ilivunja rekodi. Raha niliipata, ila sio kitu nachopenda kuja kukirudia. Nlizichakata zile kuuma mpaka nkikojoa ni upepo tu unatoka.

Kwa kipindi cha mwezi ulobakia ikawa kama ile miwili haikua kitu, ilibidi wahamie kwangu bill yao ilivoisha. Ule mwezi nlitia bana, maana muda wote lazima mmoja awepo. Na nlikuja gundua ukitia sana na ukala sana unaongezeka uzito na unene.
Kwa sasa tunawasiana tu, kila mmoja wao ana maisha yake
4some
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom