Last one, kabla sijaenda nje ya mtandao...
June in Mwanza.
Mara nyingi kazini nkipata nafasi ya kwenda Mwanza hua nnaikimbia sana. Sipendi umbali, na sijapenda yale mazingira kwangu sio rafiki sana. Ile mara hii ilinirudisha Mwanza na kufanya niendelee kuipenda kwa miaka kadhaa.
Nmeingia kwenye semina kama mwezeshaji. Umbo langu lilivo, wakati naingia ukumbini hawakujua kama mimi ndie wanaemsubiri. Akasimama manager akawaambia tuanze sasa.
Nkawa nafanya kazi ilonipeleka kwa kuangalia maadili na miiko ya kazi nkihakikisha kila aliyehudhuria ananielewa vema. Macho yangu yakanisaliti katikati ya kazi kwa kuangalia zaidi sura ya mrembo mmoja.
Alikua ni mweusi, mwenye umbo la wastani, ana kisura kidogo dogo chenye nuru haswaa. Kwa kumtazama, ukiwa na stress zote zinaisha. Alitabasamu aliponiona namwangalia. Nkauambia moyo koma, yasikukute ya Ngoswe.
Mapumziko ya mchana yalipofika nilitembelea meza mbalimbali, nkiwasalimia na kujua kama kile tunachofanya kinawasaidia. Nlipofika kwenye meza ya yule mrembo, nikakaa kabisa. Nliifanya ya mwisho makusudi kabisa. Nkaanza kula chakula huku nkidodosa mawili matatu.
Watu walipoanza kurudi ukumbini nkamwomba abakie, hakusita. Nkamwuliza maoni yake binafsi, huenda wengine wakawa wanadanganya. Alichojibu kilifanya nianze kuwaza kumtafuna, "kusema ukweli Dr, ulivyo na unavyovijua mtu akikuona hawezi kufikiria".
Tulipomaliza nkampa biz card, nikamwambia najua vingi zaidi. Ukiwa na muda tukitoka njoo uvimalizie.
Tumetoka nkarudi nlipofikia, ikaingia msg save number yangu xoxo. Nikamwambia njoo ili nii-save, tukavutana kidogo ila akakubali kuja.
Sikumbuki kilianza vipi, ila kilichondelea ni mimi kuanza kumyoa Mqvuzi kisha kumla. Si maskhara alikua mtamu, since kipindi hicho. Kila safari ya Mwanza ilikua yangu. Fast forward, miaka mi3 mbele ilitokea fursa ofisini kwetu ya kwenda kusoma, nkapeleka jina lake na akakubaliwa. Sasa hivi yuko nchi za baridi akila kuni za kizungu