Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Nikiwa chuo mwaka wa kwanza (2013) ule mda wa field nakumbuka ilikua ni miez mitatu au miwili kama sijakosea, mnajua kuna yale magroup ya wanafunzi wa college moja nzima. Sasa kuna manzi alielewa comments zangu akaingia inbox tukaanza stories, ukweli sikua namfaham coz kile kijiji kina watu wapya kila siku, tukachati na hatimae tukawa marafiki.

Field ilivoisha tukarudi chuo tukaonana tukafahamiana lkn sikumtongoza, yule dada alikua mnene wa uzuri lakini kapanda hewani kunizidi. Siku moja jioni saa kumi na moja hivi marafiki zangu wameenda kucheki mpira na mimi nisivompenzi wa mpira nikakaa room. Nilikua bored baadae nikaona nimstue best angu aje tupige story, yule dada hakua na hiana kaja room tumecheki movie kwa mda nikaanza kumtachi tachi naona anarespond positively, piga mate ikaja, lahaula nikaenda kupima oil, dah yule dada alikua na ku***a kubwa balaa, nikajipa moyo nitagonga hivo hivo 😀😀😀.

Nikaweka kibamia changu mle, loh asee hii ni gemu ya pili ya hovyo kwangu kupiga. Kesho yake demu ananipigia simu nikamnunulie chakula cafeteria sikuthubutu kwenda nikamblock na kuanza kumkwepa hata class nikaacha kwenda tukiwa tuna pindi la pamoja. Ila ile kitu bhana nilikuja kusimulia rafiki zangu walinicheka sana wakanitisha yule dem ana ngoma, asee nilihaha. Kuna jamaa angu alikua anakazia kabisa bro una ukimwi tayari, nilikua nammaindi bila yeye kujua. Nilikuja kupima nikiwa naelekea kuoa na nikawa fresh.
Sahizi tunahitaji mliopima na mkakutwa na ngwengwe, wa kuwa fresh mmekuwa wengi sana..sasa kila mtu akiwa fresh mnataka tuamini kuwa HIV haipo ama?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sahizi tunahitaji mliopima na mkakutwa na ngwengwe, wa kuwa fresh mmekuwa wengi sana..sasa kila mtu akiwa fresh mnataka tuamini kuwa HIV haipo ama?

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu uzi ulinifanya nikapime keyboard nilikuwa situmii condom sababu zinapasuka haraka.
Nikakutana na mpya kuwa kuna vipimo vinadetect infection ya siku moja.

Dokta alipojidai anenda kutafuta madude yake chumba cha ndani nikachota 6 kwenye boksi.
 
Kila mtu humu alipiga show ambayo bao la kwanza lilichukua 20, 30, 40 minutes kisha show ilichukua zaidi ya bao3+ hivi mnataka kusema kuwa lile tatizo la upungufu wa nguvu za kiume lipo mtaani tu humu JF halimo?

acheni uwongo tumechoka na story zenu za kutudanganya hovyo, sisi sio wapumbafu kiasi hicho.. ama wanao uza vumbi la mkongo wao huwauzia misukule?

Sent using Jamii Forums mobile app
Soma Uzi hatua kwa hatua. Kuna watu wengi tu humu wame-admit kupiga show mbovu kuliko zote. Halafu Kama unahasira hivi Nini shida mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu wewe haupo bongo bahati mbaya?

#kwa nini usingechukua hiyo no. yake ukapata uraia kwa mabeberu mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilichukua email yake tukaendelea kuwasiliana tatizo nilikuwa siingii kwa kuweka password sababu ilikuwa ni simu yangu hivyo nilikuwa naingia automatically.

Sasa nikapoteza simu na password siikumbuki ya email, niliweka password zote ninazozijua bila mafanikio then wakaiblock Google baada ya kufanya attempt nyingi zaidi wakahisi ni mhalifu. Ndio nkapoteza matumaini.

Facebook nimemsakua Hadi Basi nakutana na wenye majina Kama yake kibao na wote Sioni sura yake. Nika give up.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mtu humu alipiga show ambayo bao la kwanza lilichukua 20, 30, 40 minutes kisha show ilichukua zaidi ya bao3+ hivi mnataka kusema kuwa lile tatizo la upungufu wa nguvu za kiume lipo mtaani tu humu JF halimo?

acheni uwongo tumechoka na story zenu za kutudanganya hovyo, sisi sio wapumbafu kiasi hicho.. ama wanao uza vumbi la mkongo wao huwauzia misukule?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usituharibie uzi wetu mbona Kuna wadau wako wazi na wameshasema sana tu siku ya Kwanza walipiga show mbovu au hizo comment huwa unaziskip?

Kama unaona story za uongo nenda jukwaa la international mkajadili ukweli jinsi ya kumtoa Trump au nenda jukwaa la siasa mkabishane tuachie uzi wetu

Uwe Ni ukweli uwe Ni uongo tunaishi humo.
 
Wanawake tuachane na ujinga wa kugawa nyapu hovyo kwa watembeza kengele wasio na mbele wala nyuma

Tutafute pesa, tuwe na financial freedom

Account hii nilianza na $1000 mwezi January mwaka huu. Cheki sasa ilipo.

View attachment 1297324

Last week was a good week for me.
I managed to secure $500+ profit for the first time.

View attachment 1297330

Hakuna mtembeza kengele wa kuniambia fyoko fyoko. Pesa najitafutia mwenyewe.
Sitegemei jasho la mume wangu.

Wanawake tuache umalaya jamani.
Tutafute pesa, pesa pesa.
Sawa wamekusikia tuachie uzi wetu basi nenda kwa wajasiriamali wenzako mjadili forex
 
Kila mtu humu alipiga show ambayo bao la kwanza lilichukua 20, 30, 40 minutes kisha show ilichukua zaidi ya bao3+ hivi mnataka kusema kuwa lile tatizo la upungufu wa nguvu za kiume lipo mtaani tu humu JF halimo?

acheni uwongo tumechoka na story zenu za kutudanganya hovyo, sisi sio wapumbafu kiasi hicho.. ama wanao uza vumbi la mkongo wao huwauzia misukule?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unataka tuanze kushuka ushuhuda wa nguvu za kiume?

Kuna dada nilimpata humuhumu, nikakaa naye kwa mapenzi ya kwenye simu kwa mwaka mmoja, siku tumekuja kukutana nilimchapa bao 17.!! Ndio, sijakosea. [emoji3] Bao KUMI NA SABA kwa SIKU 2 na nusu maana nilimuandalia tour kabisa. Bao ambalo lilichukua muda mfupi sana nahis dakika 15 au 20. Tena ni lile la kwanza siku nafika kwenye wilaya ya makazi ya kudumu ya Mkuu wa nchi. Sikuwahi kutumia dawa ama vitu vyovyote vya vichocheo, ni nguvu asili nilizonazo tu.

Idadi hii sikuijua mimi, kumbe yeye alikuwa anahesabu, baada ya siku kadhaa wakati tunarejelea matukio ya nyuma akasema niliweka rekodi kwenye maisha yake kuwahi kukutana na mtu mwenye nguvu.

Kipindi hicho nina ugwadu wa kutosha kama mwaka mzima na sehemu bila papuchi. Ilikuwa moto, sitasahau maisha yangu yote hadi natoka hapa.

Nami sijawahi kukutana na mtu mwenye kuhimili mikikimikiki kama huyu dada asee, maana hata mke wangu akizidi sana viwili. (ila siku ya kwanza tunakutana nilimchapa vitano usiku mmoja - naye huwa hasahau eti. Sema huwa sisemi kuna mtu alikula 10+ huko nyuma. [emoji3] [emoji3]).

Ni muda wa kulea familia na kutafuta vihela, Sina mpango wa kumsaliti mke wangu. Nishazoea kimoja au viwili mara tatu kwa wiki kwa ajili ya afya.

Samahan sana Darling kama utapita na kusoma hapa, huyu mtu kanichokoza kuhusu nguvu za kiume nikaamua kusema.
 
mwaka 2016 baada ya majibu ya form iv kuja yakiwa kombo nilibaki nyumbani nikiwa sina hili wala lile, ikabidi wazazi waniangalizie kachumba kangu ka kiaina hapo hapo home ila kwa nje kidogo, hivyo nikawepo tu nyumbani sikuwa na mishe yeyote zaidi ya kwenda kijiweni kwa washikaji zangu kipiga story mbili tatu ktk mabanda ya kuuzia kuku pale katoro mjini..siku nenda siku songa nikiwa zangu kitaa sina hili wala lile mzeee nilikutana na pini la màana kiasi kwamba kwa kipindi kile sikuwahi kuona pini kali kama ile kwanza; guu la bia, kiuno nyigu, chuchu mwiba arafu mtoto chocolate colour asee kama kidume udenda ulinitoka sijapata kuona..basi bwana nikawa nimeipa Hi kisha nikajisepea zangu huku nikiisindikiza kwa maneno yale ya bwana AY nakula kwa macho.. kwa kuwa kwa kipindi kile sikuwa na mishe yeyote hivyo nilikuwa na mda wa kufuatilia mabinti kwa mida wowote ninapo jisikia hivyo ndani ya siku chache nikawa nimejua yule binti anapoishi..
Basi bwana baada ya kujua anapoishi nikawa nasikilizia maeneo karibu na kwao, nikimkuta anaosha vyombo au anafanya shughuri yeyote alikuwa akinionyesha kwa ishara kuwa nimsubiri nami niliganda pale hata akikaa all most 30mns, kwa kuwa mtaftaji hachoki sikuwa na namna zaidi ya kumvumilia, basi baada ya kumaliza shughuli zake alikuwa anakuja napiga nae story za hapa na pale hatimaye baada ya mda nikawa nimemuweka wasi juu ya hisia zangu kwake ila alinitolea nje, kama ilivyo kawaida mabaharia huwa hatuchoki basi bwana nikawa mtu wa kokamaa nae hivyo hivyo ila binti tizi hataki katakata.
Siku moja nipo na mshikaji wangu tunapiga story nikawa nimemdokeza kuhusu hilo swala ambalo hakuwa akilijua kabla (maana huwa sipendi kuwaambia washikaji zangu mambo za mademu wangu sana maana huwa naogopa competition). Jamaa akawa kaniambia kuwa nilikuwa nimechelewa kama ningesema mapema mbona ningeshamla kitambo, basi akanishauri kuwa huwa ana dawa ya mapenzi(nahisi ni aina ya wale vijana wanaopenda sana kuishi kwa kuwa amini witch doctors), jamaa akazama ndani akachukua vidawa flani vyeusi akaniambia weka magigoni kwa hiyo kila neno utakalo kuwa unaongea yeye atakuwa anaona ni taamu TU[emoji23]basi kweli mzambuli nikachukua zila miracle kisha kama kawaida nikasepa kwa yule demu mishale ambayo tumezoea kuonana, nilimkuta anaosha vyombo hivyo akanipa ishara nimsubiri ilikuwa kama saa11 jioni yaani mpaka ilifika saa1 kasoro ndio akaja, nilivyoona anakuja nikachukua ile dawa na kuiweka magigoni, nikampatia Hi kisha tukaanza story nilivyoona anajibu fresh basi nikamkumbushia swala langu, mazee yule demu alinijibu hovyo kushinda siku zote ambazo nimewahi kuonana nae yaani alinitolea faka za maana kuwa me ni mtu gani nisiye mwelewa yaani alinitukana kiasi kwamba nilijiona fala la mwaka[emoji25]basi akamalizia na unikome na mambo yako ya kijinga kisha akasepa..baharia nilijisepea nikiwa mnyonge kama niliejamba ukweni, but niliilaumu sana ile dawa na kumlaumu mshikaji kwa kunisababishia makubwa zaidi, hivyo ile dawa niliitupa mbali mno, baada ya mda nilivyokutana na jamaa na kuniuliza feedback kisha nikamjibu kinyonge aiseee hakuamini.

Basi nikaamua kuvunja matumaini yote kwa yule bidada na kuendelea na mambo yangu tu, hata nikikutana nae kabla sijamfikia babadili njia na kujisepea zangu... kama masihara siku moja kama kawaida nilivyomuona nika-change njia akawa kaniita, nikamuuliza vp akajibu mbona hivyo Bulaya001 fanya kunisikiliza tu akawa kaja karibu yangu na kuniambia relax kisha akaniambia naomba unisindikize sehemu basi mida yenyewe ilikuwa kama saa10 hivi, tumetembea wee naona anajisemesha maneno kibao mimi hata simjari baadae akajisemesha hivi kwako huwa ni wapi nikawa nimemuonyesha kwa kidole uelekeo wa ghetoni kwangu akasema tutapita wakati wa kurudi.. wakati tunarudi kama masihara akasema embu twende nikapaome, hao tukapitia uani ili wazazi wasilete shobo tumefika kama zari mvua ngoja ianze kunyesha me nikaona ngoja niwashe ka- runinga kangu ka chogo inch 10 hivi pale si nikaweka nyimbo za west life, dada wa watu mara ooh hizo nyimbo huwa zinanikumbusha mbali sana kuna ex wangu ndie alikuwa akinipigia ila baadae akanitenda mara ooh nasikia joto( wakati mvua inanyesha ila yeye eti anahisi joto) si akapunguza baadhi ya nguo mimi sijasema chochote mda wote huo yeye ndie anajisemesha na kujijibu, maana nilikuwa nikikumbuka zile faka zake nashindwa cha kusema, baadae kipindi natoka zangu kitandani yeye yupo kwenye kochi, nilikuwa naenda kuchukua ndoo ili nikinge maji ya kunywa, si kwenye kunipisha ili nipite akapanua miguu ili mguu wangu mmoja uanzie ktk ya miguu yake kisha mwingine uvuke[emoji125]..najua mtakuwa mmeelewa..ile napiga tambo ili nivuke mzee kama vile niliteleza na kumlalia dada wa watu ile naenda kujizuia ili nisijibamize kwenye kichwa chake, mzee nilikutana na bonge la lips kisha ikafuata French kiss ya maana, tulikiss baada ya mda nikapeleka mkono kupima oil, yule demu aligoma, itakuwa hapendi kushikwa kwa finger huko down nilishuka chini na kulamba sana (ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kuzama uvinza) mzee nilikutana na radha flani ya chumvi yaaani sio nyingi wala sio mdogo yaani utamu flani kama wa jasho ulivyo baaada ya hapo nikamsaula nguo..tomasa sana, kutokana na kunisumbua kwa mda mrefu aiseee nilimpiga pu*mbu kiasi kwamba sijawahi kupiga kama nilivyompiga yule bidada, alikuwa kavalia makilikili zile kamba mpaka magotini wala sikumvua alibaki nazo hivyo hivyo kama jinsi mademu wa xvideoz hufanya.. kiukweli nilimchapa na mvua nayo ilizidisha kunipa company hivyo akitaka kuondoka namwambia hii mvua utaenda vp, haujui tumeumbiwa kwa udongo basi anacheka sana[emoji16][emoji16]..nilipiga round 4 fupi fupi, kutokana na kumkamia kwa miezi kadhaa, baada ya mvua kukata alijisepea..

Baada ya hapo showz ziliendelea kupigwa daily mpaka akajikwalia ujauzito wangu ila alikuja kudai kuwa umeharibika kisa ana michango, ndio ukawa mwisho wa mahusiano yetu maana me nilijua kabisa katoa, ila yeye alinithibitishia kuwa kama nahisi kaitoa basi nimpe nyingine ila niligoma na kumwambia kuwa sikuwa nimejiandaa kuwa baba hivyo kama ni kweli umetoka ujauzito ule basi tusiendee maana hata taarifa za ujauzito wake zilinitia presha sana..ila sahizi nimekumbwa na ukata sana sijui nimrudie tu maaana ugwadu unanitafuna sana, arafu mademu wote wangu wame- separate na kubaki kama nilivyo[emoji16][emoji16]ila nahisi nikimrudia natajithibitisha kuwa nipo wa chini sana kitu ambacho sitaki kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Saluti sana aisee!

Ni kweli kabisa wazungu wanapenda mboo sana. Halafu wanapenda waafrika kwa sababu hatuna utani kwenye papuchi!

Hata mkipanga kuonana weekend, utashangaa Jtano tu yuko mlangoni anakwambia amekuja akunwe!
Hawajui kukatika ila wanatoa ushirikiano mwanzo mwisho au hadi anapochoka.

Na ukipiga show mbovu siku hiyo anakusema hadi kwa marafiki zako na rafiki zake kwamba leo amekushinda!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wako wazi Sana kuelezea hisia zao linapokuja suala la mapenzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom