rkidilu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2019
- 381
- 336
Hujawi kuona msichana ana maziwa yameisha yamekuwa kama masikio ya Mbwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Itabidi nianze kuchunguza asee
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujawi kuona msichana ana maziwa yameisha yamekuwa kama masikio ya Mbwa.
Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu unataka tuanze kushuka ushuhuda wa nguvu za kiume?Kila mtu humu alipiga show ambayo bao la kwanza lilichukua 20, 30, 40 minutes kisha show ilichukua zaidi ya bao3+ hivi mnataka kusema kuwa lile tatizo la upungufu wa nguvu za kiume lipo mtaani tu humu JF halimo?
acheni uwongo tumechoka na story zenu za kutudanganya hovyo, sisi sio wapumbafu kiasi hicho.. ama wanao uza vumbi la mkongo wao huwauzia misukule?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bao KUMI NA SABA kwa SIKU 2 na nusu maana nilimuandalia tour kabisa. Bao ambalo lilichukua muda mfupi sana nahis dakika 15 au 20. Tena ni lile la kwanza siku nafika kwenye wilaya ya makazi ya kudumu ya Mkuu wa nchi. Sikuwahi kutumia dawa ama vitu vyovyote vya vichocheo, ni nguvu asili nilizonazo tu.
).
basi kweli mzambuli nikachukua zila miracle kisha kama kawaida nikasepa kwa yule demu mishale ambayo tumezoea kuonana, nilimkuta anaosha vyombo hivyo akanipa ishara nimsubiri ilikuwa kama saa11 jioni yaani mpaka ilifika saa1 kasoro ndio akaja, nilivyoona anakuja nikachukua ile dawa na kuiweka magigoni, nikampatia Hi kisha tukaanza story nilivyoona anajibu fresh basi nikamkumbushia swala langu, mazee yule demu alinijibu hovyo kushinda siku zote ambazo nimewahi kuonana nae yaani alinitolea faka za maana kuwa me ni mtu gani nisiye mwelewa yaani alinitukana kiasi kwamba nilijiona fala la mwaka
basi akamalizia na unikome na mambo yako ya kijinga kisha akasepa..baharia nilijisepea nikiwa mnyonge kama niliejamba ukweni, but niliilaumu sana ile dawa na kumlaumu mshikaji kwa kunisababishia makubwa zaidi, hivyo ile dawa niliitupa mbali mno, baada ya mda nilivyokutana na jamaa na kuniuliza feedback kisha nikamjibu kinyonge aiseee hakuamini.
..najua mtakuwa mmeelewa..ile napiga tambo ili nivuke mzee kama vile niliteleza na kumlalia dada wa watu ile naenda kujizuia ili nisijibamize kwenye kichwa chake, mzee nilikutana na bonge la lips kisha ikafuata French kiss ya maana, tulikiss baada ya mda nikapeleka mkono kupima oil, yule demu aligoma, itakuwa hapendi kushikwa kwa finger huko down nilishuka chini na kulamba sana (ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kuzama uvinza) mzee nilikutana na radha flani ya chumvi yaaani sio nyingi wala sio mdogo yaani utamu flani kama wa jasho ulivyo baaada ya hapo nikamsaula nguo..tomasa sana, kutokana na kunisumbua kwa mda mrefu aiseee nilimpiga pu*mbu kiasi kwamba sijawahi kupiga kama nilivyompiga yule bidada, alikuwa kavalia makilikili zile kamba mpaka magotini wala sikumvua alibaki nazo hivyo hivyo kama jinsi mademu wa xvideoz hufanya.. kiukweli nilimchapa na mvua nayo ilizidisha kunipa company hivyo akitaka kuondoka namwambia hii mvua utaenda vp, haujui tumeumbiwa kwa udongo basi anacheka sana
..nilipiga round 4 fupi fupi, kutokana na kumkamia kwa miezi kadhaa, baada ya mvua kukata alijisepea..
ila nahisi nikimrudia natajithibitisha kuwa nipo wa chini sana kitu ambacho sitaki kabisa.Wako wazi Sana kuelezea hisia zao linapokuja suala la mapenzi.Saluti sana aisee!
Ni kweli kabisa wazungu wanapenda mboo sana. Halafu wanapenda waafrika kwa sababu hatuna utani kwenye papuchi!
Hata mkipanga kuonana weekend, utashangaa Jtano tu yuko mlangoni anakwambia amekuja akunwe!
Hawajui kukatika ila wanatoa ushirikiano mwanzo mwisho au hadi anapochoka.
Na ukipiga show mbovu siku hiyo anakusema hadi kwa marafiki zako na rafiki zake kwamba leo amekushinda!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimechekaaa..usitoe shoo mbovu.Leo nahisi nitakula tunda kimasihara. Kuna text zinaingia kwenye simu yangu sizielewi elewi. Subiri kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
share mkuu achana nao haoMe nlitaka kushare yangu moja jinsi nlivompa shida kijana mmoja (Mzanzibari mwenzangu)
Ila hawo wenzangu juu washanigopesha
Mhh wataanza kusema vidada vya cku hiz vmalaya
Tehehhh..mabao 17!Mkuu unataka tuanze kushuka ushuhuda wa nguvu za kiume?
Kuna dada nilimpata humuhumu, nikakaa naye kwa mapenzi ya kwenye simu kwa mwaka mmoja, siku tumekuja kukutana nilimchapa bao 17.!! Ndio, sijakosea.Bao KUMI NA SABA kwa SIKU 2 na nusu maana nilimuandalia tour kabisa. Bao ambalo lilichukua muda mfupi sana nahis dakika 15 au 20. Tena ni lile la kwanza siku nafika kwenye wilaya ya makazi ya kudumu ya Mkuu wa nchi. Sikuwahi kutumia dawa ama vitu vyovyote vya vichocheo, ni nguvu asili nilizonazo tu.
Idadi hii sikuijua mimi, kumbe yeye alikuwa anahesabu, baada ya siku kadhaa wakati tunarejelea matukio ya nyuma akasema niliweka rekodi kwenye maisha yake kuwahi kukutana na mtu mwenye nguvu.
Kipindi hicho nina ugwadu wa kutosha kama mwaka mzima na sehemu bila papuchi. Ilikuwa moto, sitasahau maisha yangu yote hadi natoka hapa.
Nami sijawahi kukutana na mtu mwenye kuhimili mikikimikiki kama huyu dada asee, maana hata mke wangu akizidi sana viwili. (ila siku ya kwanza tunakutana nilimchapa vitano usiku mmoja - naye huwa hasahau eti. Sema huwa sisemi kuna mtu alikula 10+ huko nyuma.![]()
).
Ni muda wa kulea familia na kutafuta vihela, Sina mpango wa kumsaliti mke wangu. Nishazoea kimoja au viwili mara tatu kwa wiki kwa ajili ya afya.
Samahan sana Darling kama utapita na kusoma hapa, huyu mtu kanichokoza kuhusu nguvu za kiume nikaamua kusema.
Haya mambo huwa ni magumu sana. Licha ya kufikiria na kubeba zana zako za kazi kabla ya kufika vitani, unajikuta umeingia vitani pasipo zana za vita na vita tayari vimeshaisha. Kinachofuataga hapa huwa ni maombi yasiyoisha hata kama hujui mahali msikiti au kabisa lilipo.Miaka kadhaa imepita sasa, nikiwa safarini kuelekea Lushoto kwa ajili ya Usambara Mountain Hiking kama moja ya hobby zangu. Hiking ya mwaka huo niliipanga nianzie Lushoto mpaka Mkuzi ambayo ni kilomita 12.30 hivyo niliamua nianzie Lushoto.
Siku ya safari, nilifika Ubungo na kuelekea yanapopaki magari ya Lushoto, niliingia kwenye basi na kuanza kutafuta siti yangu, nilikuta binti mmoja amekaa, nikamsalimu na nikamjulisha kuwa hiyo ni siti yangu, akaniambia ni kweli ya ila angependa akae dirishani kama sitojali kwa kuwa hiyo ni safari yake ya kwanza kwa njia ya kaskazini, kwa ile sauti ya upole, haiba ya kike usoni na macho meupe yaliyochokachoka nikajuikuta nakubali kuwa akae dirishani.
Safari ikaanza na kila mtu akiwa bize na simu yake, tulipofika Ruvu darajani tukakuta kuna ajali, hapo sasa ndio stori zikaanza na kufamiana vizuri. Alikuwa mfanyakazi wa idara fulani lakini pia alikuwa akisoma shahada ya pili (master degree) pale University of Dar es Salaam Business School. Alikuwa anaenda kumtembelea rafiki yake huko Lushoto. Wakati huo mimi nilikuwa nafanya Masters of Science in Construction Management pale Ardhi.
Baada ya hapo tukawa tupo karibu na kuzungumza kama wapenzi wa siku nyingi. Kwenye siti yetu ilikuwa ni furaha tu, kushikana shikana mikono sana, kucheka sana, mara binti anilalie ili mradi tu ilikuwa ni kama tumejuana muda mrefu sana. ( Tahadhali ikitokea hivi hupaswi kuondoa umakini kama una hela nyingi au mzigo wa thamani).
Hata ilipofika mahali pa kulia chakula Highways – tulikula pamoja na nikalipia chakula japo binti alijifanya kutaka kulipa. Yeye alinunua vinywaji na matunda.
Awali ilikuwa amepanga ashukie kituo kinachoitwa Soni ili kutokea hapo aunganishe gari nyingine kwenda kwa huyo rafiki yake. Kwa sababu ya ajali iliyotuchelewesha Ruvu ikabidi nimshawishi kuwa Lushoto kuna Lodge nzuri zaidi hivyo ni bora akashukie Lushoto na alale hapo ili asubuhi aanze safari ya kwenda kwa huyo rafiki yake. Binti alikubali ushauri wangu hivyo tulipofika Soni hakushuka.
Tulifika Lushoto saa mbili na nusu usiku(Baridi ilikuwa inapuliza hatari) na kwa kuwa nilikuwa nimeshafanya Booking kwenye lodge fulani pale Kilimani karibu kabisa na Stendi ya Mabasi Lushoto, nikamueleza binti kuwa mimi naelekea kwenye hiyo lodge.
Tukashauriana kuwa twende pamoja ili kama kuna chumba kimebaki binti alale hapo pia. Tulipofika niliulizia kuhusu booking niliyofanya na mhudumu akanikabidhi funguo ya chumba , nilimuuliza pia kama kuna chumba kipo wazi kwa ajili ya huyu dada, mhudumu akajibu nilijua mpo pamoja, hapa vyumba vimejaa maana kuna wageni wengi kwa ajili ya hiking. Nikamuuliza kama tunaweza kupata chumba kwenye guest house au lodge yoyote ya karibu mhudumu akasisitiza kuwa guest nyingi za karibu na stendi zimejaa labda kama ni za mbali kidogo.
Nikamgeukia msafiri mwenzangu na kumuuliza, tunafanyaje sasa? Alijibu kwa kifupi yeye hana wazo lolote, amechoka na anataka kupumzika tu. Nillinua begi langu pamoja na begi lake dogo kuelekea chumbani na yeye akanifuata kwa nyuma. Tukajikuta tupo room pamoja, maswali ya hapa na pale yalifuata kila mmoja alioga kwa wakati wake kisha tukatoka kwenda stendi pale restaurant ya MGOSI ambaye alikuwa anachoma sana nyama ya mbuzi miaka ile.
Baada ya msosi tukarudi lodge binti akatangulia chumbani kwa ajili ya mapumziko mimi nikabaki sehemu ya mapokezi kwa ajili ya kuulizia ‘’zana za kazi’’ iwapo kama itatokea zari la mentali. Licha ya uzuri na mvuto wa huyu binti sikuwa tayari kuuza mechi. Nilifanikiwa kupata zana na nilirudi chumbani nikamkuta binti yupo kitandani akiwa amejifunika vizuri kabisa. Nami nikavaa pajama yangu nikataka kuzima taa ila binti akagoma basi nami nikapanda kitandani huku kila mmoja akiwa kimya. Binti aliamka na kukaa kisha akaniambia tufanye maombi kabla ya kulala kwa ajili ya ulinzi na usalama, nikajiona bonge la mdhambi, yaani mimi nimeshafikiria kula tunda kumbe binti ni mtu wa dini kiasi hawezi kulala bila maombi.
Hatimaye akanitakia good night huku akisema kwa tabasamu niwe gentleman na nisimsumbue. Nami nikamtakia good night na kumhakikishia kuwa sitamsumbua, kila mmoja akageukia upande wake tayari kwa kulala tukiwa ndani ya hizi blanket nyepesi pamoja na shuka. Kwa ile hali ya ubaridi na baada ya yale maombi ya binti nikaona hapa hakuna habari nyingine zaidi ya kulala tu.
Saa nane usiku binti akajisogeza mgongoni kwangu na kupitisha mkono wake juu ya kiuno changu, nikajigeuza upande wake, nikasikia tu akisema - it is so cold here, sikuwa na jambo la ziada zaidi ya kumvuta karibu na kumkumbatia. Ile kushikanashikana na kumpapasa mtoto nikajikuta nimefika maeneo ya tunda, kila naposhika binti anatoa miguno tu, nikajua huyu anataka.Baada ya kissing ya dakika kadhaa tulijikuta kama tulivyozaliwa ndani ya shuka, binti kwa ufundi kabisa akaishika mashine na kuielekeza mahali pake. Tuliishia kulana usiku ule na tukaendelea kulana asubuhi yake. Alikwenda kwa rafiki yake baada ya kulala naye pale siku mbili. Huyu ni aina ya mabinti ambao wanatoa miguno ya mahaba wakati wa kugegedana mwanzo mwisho. Hii ni sababu iliyonifanya nimgande maana ile miguno ya kimahaba kama una masikio mazima inatia nyeg** sana na kuhamasisha kuwa na hamu na tendo. Tulilala kama wasafiri na tukaamka wapenzi tukifurahia tunu za dunia.
Niliamka na kukuta zana zikiwa kwenye pakti zake kama nilivyozichukua kwa mhudumu pale reception.
Nikaenda zangu hiking mpaka Mkuzi, akanisubiri alipokuwa anarudi kutoka kwa rafiki yake tukalala tena pale Kilimani na nikamla tena, tukarudi wote Dar.
Kilichotokea baada ya hapo na kinachoendelea kutokea ni siri yangu na msafiri mwenzangu.
Dunia ina raha sana hii ukiwa mtulivu na kufurahia hizi tunu za hawa dada zetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
njoo kwetu,
Kwa harakaharaka inaonekana kitandani ni 0 manake kama ungekuwa unayaweza mambo lazima angekukubali....hakunaga mwanamke anayekunwa vizuri halafu akaja kumkataa mkunaji
Usicheke,jitafakari
Haters bhanaNiliposoma tu heading ya Uzi huu
Kumbe haiitaji maelezo ni jibu la ndio au Hapana
Jibu langu ni HAPANA
Sent using Jamii Forums mobile app





