Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Mkuu unataka tuanze kushuka ushuhuda wa nguvu za kiume?

Kuna dada nilimpata humuhumu, nikakaa naye kwa mapenzi ya kwenye simu kwa mwaka mmoja, siku tumekuja kukutana nilimchapa bao 17.!! Ndio, sijakosea. [emoji3] Bao KUMI NA SABA kwa SIKU 2 na nusu maana nilimuandalia tour kabisa. Bao ambalo lilichukua muda mfupi sana nahis dakika 15 au 20. Tena ni lile la kwanza siku nafika kwenye wilaya ya makazi ya kudumu ya Mkuu wa nchi. Sikuwahi kutumia dawa ama vitu vyovyote vya vichocheo, ni nguvu asili nilizonazo tu.

Idadi hii sikuijua mimi, kumbe yeye alikuwa anahesabu, baada ya siku kadhaa wakati tunarejelea matukio ya nyuma akasema niliweka rekodi kwenye maisha yake kuwahi kukutana na mtu mwenye nguvu.

Kipindi hicho nina ugwadu wa kutosha kama mwaka mzima na sehemu bila papuchi. Ilikuwa moto, sitasahau maisha yangu yote hadi natoka hapa.

Nami sijawahi kukutana na mtu mwenye kuhimili mikikimikiki kama huyu dada asee, maana hata mke wangu akizidi sana viwili. (ila siku ya kwanza tunakutana nilimchapa vitano usiku mmoja - naye huwa hasahau eti. Sema huwa sisemi kuna mtu alikula 10+ huko nyuma. [emoji3] [emoji3]).

Ni muda wa kulea familia na kutafuta vihela, Sina mpango wa kumsaliti mke wangu. Nishazoea kimoja au viwili mara tatu kwa wiki kwa ajili ya afya.

Samahan sana Darling kama utapita na kusoma hapa, huyu mtu kanichokoza kuhusu nguvu za kiume nikaamua kusema.
Tehehhh..mabao 17!
Umenkumbusha mwana mmoja alikujaga kijiweni na fix eti ametoka kumgonga demu bao 7 bila kishuka. Mshikaji mmoja akamwambia hivi..aidha ni we mi muongo au hujawahi kutom*a! Ilibidi mwana aondoke kijiweni kimya kimya, kuanzia hapo akajipatia jina la Mzee wa 7 bila kushuka. Alikuaga anachukia kinoma akiitwa hivo!
Sasa na ww utakua mzee wa 17!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka kadhaa imepita sasa, nikiwa safarini kuelekea Lushoto kwa ajili ya Usambara Mountain Hiking kama moja ya hobby zangu. Hiking ya mwaka huo niliipanga nianzie Lushoto mpaka Mkuzi ambayo ni kilomita 12.30 hivyo niliamua nianzie Lushoto.
Siku ya safari, nilifika Ubungo na kuelekea yanapopaki magari ya Lushoto, niliingia kwenye basi na kuanza kutafuta siti yangu, nilikuta binti mmoja amekaa, nikamsalimu na nikamjulisha kuwa hiyo ni siti yangu, akaniambia ni kweli ya ila angependa akae dirishani kama sitojali kwa kuwa hiyo ni safari yake ya kwanza kwa njia ya kaskazini, kwa ile sauti ya upole, haiba ya kike usoni na macho meupe yaliyochokachoka nikajuikuta nakubali kuwa akae dirishani.
Safari ikaanza na kila mtu akiwa bize na simu yake, tulipofika Ruvu darajani tukakuta kuna ajali, hapo sasa ndio stori zikaanza na kufamiana vizuri. Alikuwa mfanyakazi wa idara fulani lakini pia alikuwa akisoma shahada ya pili (master degree) pale University of Dar es Salaam Business School. Alikuwa anaenda kumtembelea rafiki yake huko Lushoto. Wakati huo mimi nilikuwa nafanya Masters of Science in Construction Management pale Ardhi.
Baada ya hapo tukawa tupo karibu na kuzungumza kama wapenzi wa siku nyingi. Kwenye siti yetu ilikuwa ni furaha tu, kushikana shikana mikono sana, kucheka sana, mara binti anilalie ili mradi tu ilikuwa ni kama tumejuana muda mrefu sana. ( Tahadhali ikitokea hivi hupaswi kuondoa umakini kama una hela nyingi au mzigo wa thamani).
Hata ilipofika mahali pa kulia chakula Highways – tulikula pamoja na nikalipia chakula japo binti alijifanya kutaka kulipa. Yeye alinunua vinywaji na matunda.
Awali ilikuwa amepanga ashukie kituo kinachoitwa Soni ili kutokea hapo aunganishe gari nyingine kwenda kwa huyo rafiki yake. Kwa sababu ya ajali iliyotuchelewesha Ruvu ikabidi nimshawishi kuwa Lushoto kuna Lodge nzuri zaidi hivyo ni bora akashukie Lushoto na alale hapo ili asubuhi aanze safari ya kwenda kwa huyo rafiki yake. Binti alikubali ushauri wangu hivyo tulipofika Soni hakushuka.
Tulifika Lushoto saa mbili na nusu usiku(Baridi ilikuwa inapuliza hatari) na kwa kuwa nilikuwa nimeshafanya Booking kwenye lodge fulani pale Kilimani karibu kabisa na Stendi ya Mabasi Lushoto, nikamueleza binti kuwa mimi naelekea kwenye hiyo lodge.
Tukashauriana kuwa twende pamoja ili kama kuna chumba kimebaki binti alale hapo pia. Tulipofika niliulizia kuhusu booking niliyofanya na mhudumu akanikabidhi funguo ya chumba , nilimuuliza pia kama kuna chumba kipo wazi kwa ajili ya huyu dada, mhudumu akajibu nilijua mpo pamoja, hapa vyumba vimejaa maana kuna wageni wengi kwa ajili ya hiking. Nikamuuliza kama tunaweza kupata chumba kwenye guest house au lodge yoyote ya karibu mhudumu akasisitiza kuwa guest nyingi za karibu na stendi zimejaa labda kama ni za mbali kidogo.
Nikamgeukia msafiri mwenzangu na kumuuliza, tunafanyaje sasa? Alijibu kwa kifupi yeye hana wazo lolote, amechoka na anataka kupumzika tu. Nillinua begi langu pamoja na begi lake dogo kuelekea chumbani na yeye akanifuata kwa nyuma. Tukajikuta tupo room pamoja, maswali ya hapa na pale yalifuata kila mmoja alioga kwa wakati wake kisha tukatoka kwenda stendi pale restaurant ya MGOSI ambaye alikuwa anachoma sana nyama ya mbuzi miaka ile.
Baada ya msosi tukarudi lodge binti akatangulia chumbani kwa ajili ya mapumziko mimi nikabaki sehemu ya mapokezi kwa ajili ya kuulizia ‘’zana za kazi’’ iwapo kama itatokea zari la mentali. Licha ya uzuri na mvuto wa huyu binti sikuwa tayari kuuza mechi. Nilifanikiwa kupata zana na nilirudi chumbani nikamkuta binti yupo kitandani akiwa amejifunika vizuri kabisa. Nami nikavaa pajama yangu nikataka kuzima taa ila binti akagoma basi nami nikapanda kitandani huku kila mmoja akiwa kimya. Binti aliamka na kukaa kisha akaniambia tufanye maombi kabla ya kulala kwa ajili ya ulinzi na usalama, nikajiona bonge la mdhambi, yaani mimi nimeshafikiria kula tunda kumbe binti ni mtu wa dini kiasi hawezi kulala bila maombi.
Hatimaye akanitakia good night huku akisema kwa tabasamu niwe gentleman na nisimsumbue. Nami nikamtakia good night na kumhakikishia kuwa sitamsumbua, kila mmoja akageukia upande wake tayari kwa kulala tukiwa ndani ya hizi blanket nyepesi pamoja na shuka. Kwa ile hali ya ubaridi na baada ya yale maombi ya binti nikaona hapa hakuna habari nyingine zaidi ya kulala tu.
Saa nane usiku binti akajisogeza mgongoni kwangu na kupitisha mkono wake juu ya kiuno changu, nikajigeuza upande wake, nikasikia tu akisema - it is so cold here, sikuwa na jambo la ziada zaidi ya kumvuta karibu na kumkumbatia. Ile kushikanashikana na kumpapasa mtoto nikajikuta nimefika maeneo ya tunda, kila naposhika binti anatoa miguno tu, nikajua huyu anataka.Baada ya kissing ya dakika kadhaa tulijikuta kama tulivyozaliwa ndani ya shuka, binti kwa ufundi kabisa akaishika mashine na kuielekeza mahali pake. Tuliishia kulana usiku ule na tukaendelea kulana asubuhi yake. Alikwenda kwa rafiki yake baada ya kulala naye pale siku mbili. Huyu ni aina ya mabinti ambao wanatoa miguno ya mahaba wakati wa kugegedana mwanzo mwisho. Hii ni sababu iliyonifanya nimgande maana ile miguno ya kimahaba kama una masikio mazima inatia nyeg** sana na kuhamasisha kuwa na hamu na tendo. Tulilala kama wasafiri na tukaamka wapenzi tukifurahia tunu za dunia.
Niliamka na kukuta zana zikiwa kwenye pakti zake kama nilivyozichukua kwa mhudumu pale reception.
Nikaenda zangu hiking mpaka Mkuzi, akanisubiri alipokuwa anarudi kutoka kwa rafiki yake tukalala tena pale Kilimani na nikamla tena, tukarudi wote Dar.
Kilichotokea baada ya hapo na kinachoendelea kutokea ni siri yangu na msafiri mwenzangu.
Dunia ina raha sana hii ukiwa mtulivu na kufurahia hizi tunu za hawa dada zetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mambo huwa ni magumu sana. Licha ya kufikiria na kubeba zana zako za kazi kabla ya kufika vitani, unajikuta umeingia vitani pasipo zana za vita na vita tayari vimeshaisha. Kinachofuataga hapa huwa ni maombi yasiyoisha hata kama hujui mahali msikiti au kabisa lilipo.
 
Mie nina visa vingi na vingine navikumbuka baada ya kusoma vya wadau

Kuna kipindi nikiwa Chuo Kikuu kimoja maarufu Moro mwaka wa tatu, sina ili wala lile alikuja demu mmoja mzuri sana mtoto anasoma kidato cha sita shule moja maarufu ya dini ya muda mrefu karibu na pale Tafori wazee wa codes mtakuwa mmenielewa.

Yule demu alikuwa anamtafuta jamaa yake anasoma pale ila demu hakuwa na simu miaka hiyo kumiliki simu ilikuwa issue so demu alikuja bila ahadi. Nikampokea nikampeleka room mida kama ya saa kumi na moja jioni.

Mzee nikajifanya msamalia mwema nikajitolea kumtafuta mshikaji wake pia nikamnunulia demu soda nikamwacha room. Nikamsaka jamaa nikaambiwa kaenda town na hana simu. Nikawaachia maagizo kuwa akirudi aje kunicheki room namba flani bweni flani. Mzee nikarudi room tukawa tunapiga stori na yule demu yaani alikuwa ananichangamkia utadhani tunajuana miaka kibao. Ikafika saa mbili usiku jamaa hajatokea nikaenda kumnunulia demu chips yai akala. Mara anaomba nimpeleke chooni (hostel za wanaume) nikampeleka. Sasa kuna mwanangu mmoja (sasa hivi mtu mkubwa sana nchini) nilikuwa nimeshamwelekeza kuwa kuna demu niko nae room anamtafuta jamaa yake ila jamaa yuko town na hana simu. Jamaa alinipa wazo la mbolea sana kuwa kwa kuwa nimeshauza ramani ya chumba nachokaa jamaa akirudi atamkuta demu wake na mie nitakuwa nimeingia loss ya misosi bila kumla demu, jamaa akashauri nihamie chumbani kwake (yeye mate wake alikuwa kaenda Dar) ili yeye akalale kwangu.

Lile wazo lilikuwa zuri sana nikamwambia demu nimwamishe room akalale kwa kuwa pale nilikuwa na mate wangu hapo mida ya saa nne hivi akakubali. Nikamwamisha room akaomba nimpeleke kwenda kuoga. Mzee nikampeleka akaoga alivyorudi akaniomba mafuta yaani wakati anajipaka mapaja yote wazi mzee nilisimamisha mnara demu akaona. Akawa anacheka anasema mbona umesimamisha hivyo nikamjibu nakutamani kupita maelezo, demu akanivuta tukaanza denda. Kilichoendelea baada ya hapo nilimgonga yule demu siku mbili mfululizo mpk nikawa nahisi sina nguvu kabisa. Kule room yule dogo alikuja mida ya saa sita yuko pombe akakutana na jamaa wakamwambia demu aliondoka kwenda mjini so dogo akawa mpole.

Huyo demu tuliendelea kama miaka mitano mbele mpk baadae nilipokutana na wife ndio nikamwacha rasmi. Alinitambulisha kwa mama yake na ndugu zake karibu wote. Tatizo lake alikuwa ana mambo ya kupenda umjini sana hakuwa wife material so sikutaka kumuoa. Mpk leo hajaolewa bado na imepita miaka kama 14
 
Kuna siku nilikua zangu geto alone nachat Facebook, enzi hizo Fb ndo maarufu, kuna kadada hata sikajui kalikua online, nikaanza kuchat nako, kakasema kanasoma CBE, mara kakasema kanasikia njaa, kiutani nikamwambia njoo geto kimara nimepika, akasema poa ngoja nipande Gari nakuja, muhuni nikaingia jikoni nikapika chakula kizuri, kamefika kweli kalikua na njaa kakala kisha nikakala na kenyewe, kiukweli milage zilikua zinasoma chache sana, toka siku ile ikawa ni mikasi tu kusaidiana mahitaji madogo madogo hadi alipokuja kuolewa, japo huwa nikienda huo mkoa tu nakumbushia
Dah umenikumbusha Facebook nilikulaga demu mmoja mkali sana alikuwa anaishi UK. Tulikuwa tunachat ujinga ujinga miaka karibia miwili wala hatujuani demu alikuwa anaishi UK ila she is from Mikocheni. Kama mtapendezwa nitawapa story yake nilivyomla aliporudi Bongo one time na kuondoka
 
mwaka 2016 baada ya majibu ya form iv kuja yakiwa kombo nilibaki nyumbani nikiwa sina hili wala lile, ikabidi wazazi waniangalizie kachumba kangu ka kiaina hapo hapo home ila kwa nje kidogo, hivyo nikawepo tu nyumbani sikuwa na mishe yeyote zaidi ya kwenda kijiweni kwa washikaji zangu kipiga story mbili tatu ktk mabanda ya kuuzia kuku pale katoro mjini..siku nenda siku songa nikiwa zangu kitaa sina hili wala lile mzeee nilikutana na pini la màana kiasi kwamba kwa kipindi kile sikuwahi kuona pini kali kama ile kwanza; guu la bia, kiuno nyigu, chuchu mwiba arafu mtoto chocolate colour asee kama kidume udenda ulinitoka sijapata kuona..basi bwana nikawa nimeipa Hi kisha nikajisepea zangu huku nikiisindikiza kwa maneno yale ya bwana AY nakula kwa macho.. kwa kuwa kwa kipindi kile sikuwa na mishe yeyote hivyo nilikuwa na mda wa kufuatilia mabinti kwa mida wowote ninapo jisikia hivyo ndani ya siku chache nikawa nimejua yule binti anapoishi..
Basi bwana baada ya kujua anapoishi nikawa nasikilizia maeneo karibu na kwao, nikimkuta anaosha vyombo au anafanya shughuri yeyote alikuwa akinionyesha kwa ishara kuwa nimsubiri nami niliganda pale hata akikaa all most 30mns, kwa kuwa mtaftaji hachoki sikuwa na namna zaidi ya kumvumilia, basi baada ya kumaliza shughuli zake alikuwa anakuja napiga nae story za hapa na pale hatimaye baada ya mda nikawa nimemuweka wasi juu ya hisia zangu kwake ila alinitolea nje, kama ilivyo kawaida mabaharia huwa hatuchoki basi bwana nikawa mtu wa kokamaa nae hivyo hivyo ila binti tizi hataki katakata.
Siku moja nipo na mshikaji wangu tunapiga story nikawa nimemdokeza kuhusu hilo swala ambalo hakuwa akilijua kabla (maana huwa sipendi kuwaambia washikaji zangu mambo za mademu wangu sana maana huwa naogopa competition). Jamaa akawa kaniambia kuwa nilikuwa nimechelewa kama ningesema mapema mbona ningeshamla kitambo, basi akanishauri kuwa huwa ana dawa ya mapenzi(nahisi ni aina ya wale vijana wanaopenda sana kuishi kwa kuwa amini witch doctors), jamaa akazama ndani akachukua vidawa flani vyeusi akaniambia weka magigoni kwa hiyo kila neno utakalo kuwa unaongea yeye atakuwa anaona ni taamu TU[emoji23]basi kweli mzambuli nikachukua zila miracle kisha kama kawaida nikasepa kwa yule demu mishale ambayo tumezoea kuonana, nilimkuta anaosha vyombo hivyo akanipa ishara nimsubiri ilikuwa kama saa11 jioni yaani mpaka ilifika saa1 kasoro ndio akaja, nilivyoona anakuja nikachukua ile dawa na kuiweka magigoni, nikampatia Hi kisha tukaanza story nilivyoona anajibu fresh basi nikamkumbushia swala langu, mazee yule demu alinijibu hovyo kushinda siku zote ambazo nimewahi kuonana nae yaani alinitolea faka za maana kuwa me ni mtu gani nisiye mwelewa yaani alinitukana kiasi kwamba nilijiona fala la mwaka[emoji25]basi akamalizia na unikome na mambo yako ya kijinga kisha akasepa..baharia nilijisepea nikiwa mnyonge kama niliejamba ukweni, but niliilaumu sana ile dawa na kumlaumu mshikaji kwa kunisababishia makubwa zaidi, hivyo ile dawa niliitupa mbali mno, baada ya mda nilivyokutana na jamaa na kuniuliza feedback kisha nikamjibu kinyonge aiseee hakuamini.

Basi nikaamua kuvunja matumaini yote kwa yule bidada na kuendelea na mambo yangu tu, hata nikikutana nae kabla sijamfikia babadili njia na kujisepea zangu... kama masihara siku moja kama kawaida nilivyomuona nika-change njia akawa kaniita, nikamuuliza vp akajibu mbona hivyo Bulaya001 fanya kunisikiliza tu akawa kaja karibu yangu na kuniambia relax kisha akaniambia naomba unisindikize sehemu basi mida yenyewe ilikuwa kama saa10 hivi, tumetembea wee naona anajisemesha maneno kibao mimi hata simjari baadae akajisemesha hivi kwako huwa ni wapi nikawa nimemuonyesha kwa kidole uelekeo wa ghetoni kwangu akasema tutapita wakati wa kurudi.. wakati tunarudi kama masihara akasema embu twende nikapaome, hao tukapitia uani ili wazazi wasilete shobo tumefika kama zari mvua ngoja ianze kunyesha me nikaona ngoja niwashe ka- runinga kangu ka chogo inch 10 hivi pale si nikaweka nyimbo za west life, dada wa watu mara ooh hizo nyimbo huwa zinanikumbusha mbali sana kuna ex wangu ndie alikuwa akinipigia ila baadae akanitenda mara ooh nasikia joto( wakati mvua inanyesha ila yeye eti anahisi joto) si akapunguza baadhi ya nguo mimi sijasema chochote mda wote huo yeye ndie anajisemesha na kujijibu, maana nilikuwa nikikumbuka zile faka zake nashindwa cha kusema, baadae kipindi natoka zangu kitandani yeye yupo kwenye kochi, nilikuwa naenda kuchukua ndoo ili nikinge maji ya kunywa, si kwenye kunipisha ili nipite akapanua miguu ili mguu wangu mmoja uanzie ktk ya miguu yake kisha mwingine uvuke[emoji125]..najua mtakuwa mmeelewa..ile napiga tambo ili nivuke mzee kama vile niliteleza na kumlalia dada wa watu ile naenda kujizuia ili nisijibamize kwenye kichwa chake, mzee nilikutana na bonge la lips kisha ikafuata French kiss ya maana, tulikiss baada ya mda nikapeleka mkono kupima oil, yule demu aligoma, itakuwa hapendi kushikwa kwa finger huko down nilishuka chini na kulamba sana (ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kuzama uvinza) mzee nilikutana na radha flani ya chumvi yaaani sio nyingi wala sio mdogo yaani utamu flani kama wa jasho ulivyo baaada ya hapo nikamsaula nguo..tomasa sana, kutokana na kunisumbua kwa mda mrefu aiseee nilimpiga pu*mbu kiasi kwamba sijawahi kupiga kama nilivyompiga yule bidada, alikuwa kavalia makilikili zile kamba mpaka magotini wala sikumvua alibaki nazo hivyo hivyo kama jinsi mademu wa xvideoz hufanya.. kiukweli nilimchapa na mvua nayo ilizidisha kunipa company hivyo akitaka kuondoka namwambia hii mvua utaenda vp, haujui tumeumbiwa kwa udongo basi anacheka sana[emoji16][emoji16]..nilipiga round 4 fupi fupi, kutokana na kumkamia kwa miezi kadhaa, baada ya mvua kukata alijisepea..

Baada ya hapo showz ziliendelea kupigwa daily mpaka akajikwalia ujauzito wangu ila alikuja kudai kuwa umeharibika kisa ana michango, ndio ukawa mwisho wa mahusiano yetu maana me nilijua kabisa katoa, ila yeye alinithibitishia kuwa kama nahisi kaitoa basi nimpe nyingine ila niligoma na kumwambia kuwa sikuwa nimejiandaa kuwa baba hivyo kama ni kweli umetoka ujauzito ule basi tusiendee maana hata taarifa za ujauzito wake zilinitia presha sana..ila sahizi nimekumbwa na ukata sana sijui nimrudie tu maaana ugwadu unanitafuna sana, arafu mademu wote wangu wame- separate na kubaki kama nilivyo[emoji16][emoji16]ila nahisi nikimrudia natajithibitisha kuwa nipo wa chini sana kitu ambacho sitaki kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kiranja wa huu uzi nasema hii sio kula kimasihara, hii ni kutongoza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom