Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,491
Saaaana. Dunia inakwenda kasi sana I see. Zamani ukimtongoza demu lazima akuulize umeoa. Siku hizi hilo lipo lipo tu limekaa hewani. Hata akikuuliza ukimwambia ndio nimeoa,bado tu ataliwa tu hivyo hivyo kimasihara
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ilikua chai haifikirishi hata kidogo yaan huo ujasiri hauwezekani jamaa atoke kwenda kuongea na Simu alafu wewe upige viwili hapana aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Baadae naleta kisa cha kumla class mate wangu wa sekondari kimasihara
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke na ni daktari hospital fulani Old Bagamoyo Road....
Wengine hawajali sana hizo detail za kujaza kama ni KE au ME wanachotaka ni ID ya JF tu.
Wengine wameandika wamezaliwa 1920 sasa wewe ukisoma profile yake utaanza kubishana naye kuwa hawezi kuzaliwa 1920.
Ndio maana ya "anonymous" kuwa na ID inayoficha utambulisho wako.
Sasa jina feki halafu wewe unahangaika na details nyingine kwa shughuli gani? Unataka kumpa kitambulisho cha taifa?![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eti viwili na cha pili kilivyo kibishi hata mimi hiyo nimeikataa chai imezidi tangawizi
Ndo mana.
Kule umeongelea kuwa una simi, nilikua na demu wa singida ametahiriwa. Wewe vp!
Alikula ban kwa kulalamika dhidi ya tabia za mods kufuta baadhi ya nyuzi.zilizokuwepo humu. Wasingefuta nadhani zingekuwa zaidi ya 7000.
Nami nililalamika sana maana sikuona sababu ya kufutwa. Hazikuwa na kitisho chochote dhidi ya usalama wa mtu binafsi (human security) au usalama wa kikundi/jamii (societal security) wala usalama wa taifa (national security). Naamini walifuta kwa sababu zao za hovyo tu nadhani wivu baada ya kudindisha kwa kusoma pono
Bazazi
Sent using Jamii Forums mobile app
akimalizia nitag pleaseJuma malizia bhasi hicho kisa cha demu chizi
kivipi boss?Mkuu uyu so chizi Uyo mtu wetu wa kazi maalumu, na alikupenda ila kazi ilikuwa mbele kwanza